jeshi la polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DOKEZO Jeshi la polisi Bunda itazameni ITKata ya Bunda Mjini kwa jicho la tatu

    Nimekuwa nikiandika makala nyingi sana kuhusu kuwepo kwa ongezeko la vijana katika magenge ya kihalifu wilaya ya bunda hasa kata ya bunda mjini. Kwa kifupi kata ya bunda mjini inaundwa na mitaa ya nyerere,posta na sabasaba.Mitaa hii ipo katikati ya mjin wa bunda. Hawa vijana wamejikita zaidi...
  2. Jeshi la Polisi: Mchezo wa Kirafiki au Jaribio la Kusafisha Taswira?

    Leo tarehe 11 Januari 2026, Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limetangaza mechi ya kirafiki itakayochezwa majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa Manispaa ya Kinondoni (KMC), Mwenge. Mchezo huo unawakutanisha timu ya Tanzania Sport Influencer—iliyoundwa na mashabiki wa Azam, Simba na...
  3. Q

    Jeshi la polisi Arusha linachunguza kifo cha Raia wa Rwanda anayeelezwa kujinyonga akiwa mahabusu

    Jeshi la polisi limesema linafanya uchunguzi kifo cha Viollete Uwumuhoza, raia wa Rwanda, aliyefariki tarehe 7 Januari, 2026 ikielezwa kuwa ni baada ya kujinyonga akiwa mahabusu katika kituo cha Polisi Jijini Arusha, alikokuwa akishikiliwa kwa kosa la kuingia na kuishi nchini kinyume cha sheria...
  4. H

    Afisa wa Cheo cha juu wa Jeshi la Polisi Auawa Iran, Kulipiza Kisasi cha Mauaji ya Polisi kwa Waandamanaji

    Taarifa za karibuni ni kwamba waandamanaji wamefanikiwa kumwua afisa wa juu wa jeshi la polisi, mmoja wa watoa amri kwa maafisa wa chini. Afisa wa polisi aliyeuawa ni Luteni Shahin Dehghan. Naonawananchi wa Iran wameamua kupambana na mzizi wa fitina badala ya polisi wa kawaida. Na hakika, kama...
  5. Jeshi la Polisi Tanzania huenda likawa Jeshi namba 1 duniani kwa umahiri

    1. Wakati wamarekani wamemteka Maduro kama kuku, jeshi la polisi Tanzania wiki chache zilizopita lilifanikiwa kumtia mbaroni mwanajeshi wa Marekani tena akiwa na silaha na Trump ameogopa kuongea chochote maana anajua nini kingempata. 2. Umahiri wa kamanda Mafwele na Afande Muliro. Hii...
  6. PostGE2025 Clemence Mwandambo akamatwa (tena) na Polisi kwa tuhuma za kijinai

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Awali ya "Saint Clemence" ndugu Clemence Kenani Mwandambo, mkazi wa Uzunguni "A" Jijini Mbeya kwa tuhuma za kuchapisha na kusambaza taarifa za uongo pamoja na kukashfu imani za dini zingine. Mtuhumiwa alikamatwa mnamo Disemba 29...
  7. K

    Waziri Simbachawene inawezekana hujui watanzania wanataka Nini kutoka Jeshi la Polisi, pitia hapa nikwambie

    Mh. Waziri, Soma mkasa huu kwa makini na uweze kujua haswa watanzania wanataka Nini kuliko kuanza kuwahubiria kuhusu maboresho mnayotaka muyafanye kwa Jeshi la Polisi. Mnamo tarehe 29 Oktoba - 03 November, 2025 Kuna familia zilishuhudia wapendwa wao wakikamatwa na Jeshi la Polisi na...
  8. DOKEZO Jeshi la Polisi lifuatilie hii kashfa ya OCD Georgina Matage kutaka kumpulizia Godbless Lema pilipili sehemu za siri

    Wakuu kama alichosema Lema ni kweli basi huyu Georgina Matage ni mwanamke katili kwelikweli. Simjui Georgina Matage ila nashindwa kuelewa ujasiri alionao kuweza kumvua nguo mtu mzima kama Lema hadi kuona nyeti zake na kutaka kumpulizia pilipili sehemu za siri. Lema alishawahi kuwa mbunge wangu...
  9. PostGE2025 Simbachawene: Rais Samia ameagiza mabadiliko Polisi ili kurejesha mahusiano mazuri na wananchi

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameweka wazi maelekezo aliyoagizwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yanaenda kugusa jeshi la polisi nchini. Mabadiliko makubwa yakidhamiriwa ili kuboresha utendaji kazi wa jeshi hilo na kuweza kurejesha mahusiano mazuri na wananchi...
  10. R

    Jeshi la polisi, hakuna AMANI as long as hakuna HAKI

    Mmetoa pongezi kwa wananchi kuwa wametunza amani. Ukweli ni huu: Watu bado wanatafakari the way forward baada ya vifo vya watu 10,000 ( as per current unconfirmed testaments). As long as hamjatenda HAKI, basi hakuna AMANI watu wamepoa kidogo wanatafakari what next! HAKI HAKI HAKI then AMANI...
  11. PostGE2025 Jeshi La Polisi: Tunawashukuru wananchi kwa kutambua thamani ya kulinda amani. Hadi usiku huu hali ya nchi ni shwari

    Jeshi la Polisi Tanzania limewashukuru wananchi kwa ushirikiano katika kulinda amani wakati wa Sikukuu ya Krismasi na kusema kuwa hali ya usalama nchini imeendelea kuwa shwari. Polisi wamesema wananchi wanaendelea kusherehekea bila bughudha na wametoa wito wa kuendelea kutii sheria ili amani...
  12. Jeshi la Polisi Tabora lawahakikishia ulinzi na usalama kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka

    Jeshi la polisi mkoani Tabora limewahakikishia wananchi ulinzi na usalama katika sherehe za Krisimasi na Mwakampya.. Akizungumza na Waandishi wa habari leo Disemba 24, 2025 Kamanda wa polisi mkoa wa Tabora,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa polisi, Richard Abwao amesema jeshi la polisi litaendesha...
  13. C

    Jeshi la polisi ndio chombo kitacho ongoza kwa kuvunja sheria mambo mengi wanayafanya kienyeji na kimazoea tu na hawasikii

    Hiki chombo kwakweli nadhani ndio chombo ambacho baada ya rais kuwa juu ya sheria basi chombo kinacho fuata ni jeshi la polisi wakifuatiwa na usalama wa taifa lakini kinara wa kuvunja sheria za nchi na kukiuka katiba ya nchi ni jeshi la polisi. Hiki chombo kikifuatiwa na usalama wa taifa ndio...
  14. W

    Polisi kushirikiana na nyumba za ibada ili kuzuia vitendo vya kihalifu kuelekea msimu wa sikukuu

    Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro ameeleza kuwa wameanza ukaguzi wa kushtukiza kwa madereva wa magari wenye dalili za kutaka kusababisha ajali. Pia ameeleza kuwa wamejipanga kushirikiana na nyumba za ibada ibada ili kutanzua uhalifu...
  15. PostGE2025 Baada ya kelele nyingi mtandaoni, Jeshi la Polisi lamwachia Fortunatus Buyobe kwa dhamana

    Wakuu, baada ya kelele nyingi mtandaoni, Jeshi la Polisi Ofisi ya Chang'ombe limemwachia Fortunatus Buyobe kwa dhamana. Enyi jeshi la Polisi msiosikia, mbona mmegoma kuwa wastaarabu na kufuata PGO? Kwanini mnakamata watu kimyakimya, hamtoi taarifa na hamtoi haki ya dhamana kwa wakati...
  16. Naomba kuandamana kupinga furaha za watanzania wanapofariki viongozi kutoka CCM

    Badala ya kutoa taarifa, sasa Jeshi la Polisi mmejipa mamlaka ya kuombwa ruhusa ya kuandamana. Haya, mimi Sifi Leo sifurahishwi na raha na furaha wanayokuwa nayo vijana wa Kitanzania pale anapokufa kiongozi yeyote kutoka Chama Cha Mapinduzi. Hili ni doa kubwa mno katika taifa. Maandamano...
  17. Jeshi la polisi limegeuka wapotoshaji kulingana na sheria za nchi maandamano hayana kibali, hawa wenzetu wanatumia nini ?

    Jeshi la polisi limegeuka wapotoshaji kulingana na sheria za nchi maandamano hayana kibali, na Kwenye kamusi maandamano ni mkusanyiko sasa kibali cha kufanyia nini kwenye kukusanyika ? Maandamano hayana kibali chochote labda hawa jamaa wananfanya siasa na kuna viashiria vya rushwa kama wanauwa...
  18. L

    PostGE2025 Jeshi La Polisi: Tunaimarisha Zaidi Ulinzi Na Usalama Usiku Huu

    Ndugu zangu Watanzania, Jeshi letu la Polisi limesema ya Kuwa Limeimarisha na linaimarisha zaidi ulinzi na Usalama Usiku huu. Ambapo Doria kali zitapigwa usiku kucha kuhakikisha amani na utulivu vinatamalaki na hakuna uhalifu wa aina yoyote ile unaofanyika wala kutokea. Rai yangu kwenu...
  19. Ninawatakia kila la heri jeshi la polisi kwa kazi wanayoenda kuifanya kesho

    Mwenyezi Mungu alitangulie jeshi letu la polisi kwa kazi ya kuhakikisha kesho kunakuwa na utulivu baada ya kutokuwa na sintofahamu ya kuwepo uhalifu kwa kisingizio cha maandamano. Ninalisihi jeshi la polisi lisisite kutumia virungu, mabomu ya machozi au hata risasi za moto kulingana na ukaidi wa...
  20. Geita: Polisi yawaonya Viongozi wa makundi ya WhatsApp 😄

    Kila kukicha mwisho mtavua nguo sasa. Viongozi wa makundi ya whatsapp mnatakiwa mje kutoa taamko.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…