israel

  1. ILAN RAMON

    Kiongozi wa Hezbollah asema Serikali ya Lebanon inapaswa kufanya zaidi kukomesha mashambulizi ya Israel

    Kiongozi wa Hezbollah asema Serikali ya Lebanon inapaswa kufanya zaidi kukomesha mashambulizi ya Israel Kiongozi wa Hezbollah, Naim Qassem, ameitaka serikali ya Lebanon kuchukua hatua zaidi kukomesha mashambulizi ya kila siku ya Israel nchini humo. Haya yamekuja siku moja baada ya shambulio la...
  2. Ritz

    Ripoti ya amnesty international: Israel inafanya mauaji kwa wapalestina

    Wanaukumbi. NNA - Katibu Mkuu wa Amnesty International Agnes Callamard alithibitisha Jumanne kwamba vikosi vya Israel vinafanya mauaji ya halaiki kwenye televisheni ya moja kwa moja katika Ukanda wa Gaza. Callamar aliongeza katika ripoti yake: "Amnesty International imeandika mauaji ya halaiki...
  3. Echolima1

    Israel sasa yafikisha idadi ya watu Million kumi

    Katika mkesha wa Siku ya Uhuru Israel kufikisha miaka 77 , idadi ya watu inasimama kwa watu milioni 10.094: kati yao • Wayahudi milioni 7.732 na wengine (77.6%) • Waarabu milioni 2.114 (20.9%) • Watu wengine 248,000 wasio Waarabu (2.5%) Tangu Siku ya Uhuru iliyopita, idadi ya watu wa...
  4. Echolima1

    Leo ni siku ya mashujaa- Israel

    Leo Siku ya Jumanne jioni, Israeli itaadhimisha Siku ya Ukumbusho kwa askari waliokufa na wahasiriwa wa ugaidi, na ving'ora vya kitaifa saa 8:00 PM na Jumatano saa 11:00 asubuhi. Tangu 1948, wanajeshi 24,981 na raia 4,070 wamekufa, wakiwemo 716 katika vita vinavyoendelea sasa vya "Upanga wa...
  5. Echolima1

    Israel yakataa mkataba wa miaka Mitano kuwaachia mateka wote wanao sikiliza na Hamas huko Gaza

    Rasmi: Israel haitakubali mapatano ya miaka 5 ya Gaza, Qatar haisaidii mazungumzo ya utekaji nyara ya hivi karibuni Afisa wa Israel anasema kuwa wapatanishi "hivi karibuni wamekuwa na ushawishi ambao haukuwa mzuri kwenye mazungumzo" kwa kuwaachilia mateka kutoka Gaza. Afisa mmoja wa Kiarabu...
  6. Echolima1

    Majeshi ya Israel yatoa amri ya watu kuondoka huko Dahiya,Beirut,Lebanon

    IDF imetangaza kwa watu nchini Lebanon kuhama majengo fulani huko Beirut ambayo yatashambuliwa na Drone kutoka angani ambazo zinazunguka juu ya Beirut. Binafsi Siwezi kuvumilia tunapomwonya adui yetu kabla ya kumshambulia. Wajinga gani wanafanya maamuzi haya katika jeshi. Je, hawajifunzi...
  7. Echolima1

    Mbunge wa Iran aishutumu Israel kwa mlipuko wa Bandar Abbad

    Mbunge wa Irani anaishutumu Israel kwa mlipuko katika bandari ya Bandar Abbas na kufichua maelezo mapya kuhusu kilichotokea jana: Mohammad Saraj, Mbunge wa Irani, kwenye mlipuko kwenye bandari ya Bandar Abbas: "Mlipuko katika bandari ya Bandar Abbas haukuwa wa bahati mbaya. Kuna dalili za...
  8. Ritz

    Vikosi vya Al-Qassam:Jana, tulifanikiwa kuwateka wanajeshi wanne na maafisa wa Jeshi la Israel

    Wanaukumbi. BREAKING: Al-Qassam Brigades: Yesterday, we successfully sniped four soldiers and officers of the Israeli occupation army, killing and wounding them east of the town of Beit Hanoun. ================ BREAKING: Vikosi vya Al-Qassam: Jana, tulifanikiwa kuwateka wanajeshi wanne na...
  9. Echolima1

    Israel inaweza kuingia vitani na Iran. Ikiwa hatutafikia makubaliano - Donald Trump!!!

    Trump amesema "Netanyahu anaweza kuingia vitani na Iran. Ikiwa hatutafikia makubaliano na yeye nitaongoza kipigo hicho!! Katika mahojiano na jarida la Time linaloadhimisha siku 100 tangu arejee Ikulu ya White House, Rais wa Marekani alidai kuwa hakusimamisha Shambulizi dhidi ya vituo vya...
  10. Mlaleo

    Syria yasema yataka Uhusiano rasmi na Israel - Abrahma Accord ishike hatamu

    Mbunge wa Marekani Cory Mills anaiambia Bloomberg alizungumza na Rais wa Syria Ahmed al-Sharaa kuhusu vikwazo vya Marekani, kuondolewa kwa silaha za kemikali, na uwezekano wa Syria kujiunga na Makubaliano ya Abraham. Kiongozi mpya wa Syria ana nia ya kujiunga na Makubaliano ya Abraham, Mbunge...
  11. Webabu

    Mahmoud Abbas amechanganyikiwa. Isingekuwa ulinzi wa Israel Hamas wangemuweka ndani

    Hajielewi hata anachosema. Israel inaua na kuvunja majengo na kunyang'anya mashamba ndani ya maeneo yanayotajwa yako chini ya mamlaka yake na hakuna Hamas. Israel katika mapendekezo yote ya kumaliza vita imeshaweka wazi inakataa eneo la Gaza kuwekwa chini ya mamlaka ya Palestina inayoongozwa...
  12. gallow bird

    Askari wa israel aliwa na papa

    Askari wa jeshi lowezi huko palestina aliliwa na papa alipokua akipoza fuvu kwa kuogelea baharini huko palestina Ufuo huo sasa unaogopwa na wazayuni,maana papa walionekana kurudi tena na kurandaranda baada ya kuonja kitoweo cha kilowezi
  13. gallow bird

    Moto mkubwa wazuka Israel

    Moto mkubwa umezuka israel kiasi cha watumiaji wa vyombo vya moto kutelekeza vyombo vyao barabarani Inadaiwa ni kutokana na halo mbaya ya hewa,lakini usiku wa kuamkia leo houthi walifanya mashambulizi na wazayuni wananukuliwa kusikia mishindo mikubwa ya mabomu Israel panawaka kama bandari ya...
  14. Echolima1

    Tukiwaambia jeshi la Israel lina mkono mrefu muwe mnaelewa!

    KIPONDO CHA NGUVU 🔴 Kamanda wa Hezbollah Ali Kaid Hashem katika kijiji cha Khania, kusini mwa Lebanon. Kakoswa na kombola la kwanza kaamua kukimbia lakini akakutana na bomu la pili ambalo hakuweza kupona aliangamizwa palepale bila huruma. https://x.com/osint613/status/1914638512684458055?s=61
  15. Lord Denning

    Ukiwaangalia Wanavyoshupaza shingo kutetea Palestina asionewe na Israel alafu ukiona Wanavyotetea Wauaji CCM utaelewa hakuna Masheikh pale.

    Dini ya kweli ni Dini inayosimamia kweli na haki. Dini ya kweli ni dini inayosema kweli haijalishi kweli hiyo inaumiza au inafurahisha. Viongozi wa Dini wa kweli ni Viongozi wanaosema ukweli wa Mungu bila kuogopa utawapendeza au kuwafurahisha Watawala. Viongozi wa kweli wa Dini ni wale...
  16. Webabu

    Rais wa Lebanon asema hana haraka na kuwanyang'anya silaha Hizbullah wakati Israel inaendelea kuvunja mkataba wa amani wa Novemba 2024

    Uhusiano wa serikali ya Lebanon na chama cha Hizbullah umezidi kuimarika baada ya raisi Joseph Aoun kukasiririshwa sana na mauwaji yanayoendelea kufanywa na majeshi ya kiyahudi ya IDF ndani ya ardhi ya nchi yake.Tamko hilo linafuatia baada ya shambulizi lililoua watu wawili leo. Katika...
  17. Webabu

    Israel inavuna ilichopanda mashariki ya kati na Afrika.Tatizo hawataweza kuandaa na kula karamu yake

    Kuna taarifa kuwa hakuna utawala wa nchi yoyote ile ya kiarabu na kiislamu ambayo haina kiongozi wa ngazi ya juu ambaye si wakala wa Israel.Baadhi ya nchi zina mpaka kiongozi mkuu ambaye ni mjumbe anayefanya kazi za kiyahudi. Utafiti huo umekuwa ukitajwa muda mrefu lakini haikujulikana ukweli...
  18. Echolima1

    Kombola la Ballistic kutoka Yemen lapopolewa asubuhi hii huko Israel

    Baada ya magaidi kupata kipondo cha kufa mtu baada ya hifadhi zao za mafuta kuangamizwa Wahouth wa kaamua kumali Zia hasira zao kwa kurusha makombola ya Ballistic kwa israel ambayo nayo yote yamepopolewa kwa ustami wa hali ya juu na mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel. Wahouthi sasa hivi...
  19. Echolima1

    Hamas wapata kipondo baada ya maficho yao kuangamizwa na majeshi ya Israel

    Hamas huko Gaza wanaendelea kupata kichapo cha mbwa-koko baada ya Jeshi la anga la Israel kuyashambulia maficho yao. Inasemekana magaidi wote waliokuwa wamejichimbie eneo hilo hat uko nao wameangamizwa!!!
  20. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel Mwamba Benjamin Netanyahu atembelea wanajeshi wake huko Gaza

    Waziri Mkuu wa Israel Mwamba Benjamin Netanyahu a.k.a. BIBI leo hii kaamua kuwa te Bełda wanajeshi wake walioko huko Gaza aliambatana na Waziri wa Ulinzi wa Israel na Mkuu wa Majeshi wa Israel na kuwatia moyo kwa kuwaambia kuwa wako huko kwa ajili ya kulinda Taifa lao na wako huko ili...
Back
Top Bottom