israel

  1. Wahouth huko Yemen wapata kipigo cha mbwa-koko kutoka Majeshi ya Israel!!!

    Jumapili ya leo Wahouth huko Yemen wamepata kipondo cha mbwa-koko tuwaombee tu!!
  2. Houth wasema wana aina mpya za silaha ambazo wanakusudia kuanza kuzitumia kwa Israel.Na wameweza kuzuia mashambulizi ya jana yaliyofanywa dhidi yao

    Msemaji wa wapiganaji wa Houth wa Yemen amesema mashambulizi ya jana waliyofanya na kuwatia hasara mayahudi ni madogo kuliko yale wanayoweza kuyafanya kwa kutumia silaha mpya ambazo wanatengeneza wenyewe. Msemaji huyo amesema katika mashumbulizi mapya ya Israel wao wamefanikiwa kuzuia sehemu...
  3. U

    Mshtuko mkubwa: Makazi ya Rais wa Yemen yashambuliwa na ndege za Israel, bado haijulikani rais wa nchi hiyo kama yuhai

    Ni makosa kisheria kushambuliwa makazi ya rais wa nchi kwa sheria za UN. Taarifa kutoka Israel muda huu:Israel Air Force strikes against the Houthis in Yemen’s capital, Sanaa, hit a military compound where the presidential palace is located, two power stations and a fuel depot, the military...
  4. jeshi la anga la Israel limefanya mashambulizi katika mji mkuu unaoshikiliwa na Wahouthi nchini Yemen

    Jeshi la anga la Israel IDF limefanya mashambulizi katika mji mkuu unaoshikiliwa na Wahouthi wa Yemen, Sanaa, Taarifa hii imetolewa na vyombo vya ndani nchini isarel Mashambulizi hayo yanakuja baada ya waasi wa Houthi siku ya Ijumaa kurusha ndege isiyo na rubani na kombora la balestiki...
  5. Yemen yaishambulia Israel kwa kombora jipya linalogawanyika hewani.

    Inaonekana huu ni mpango wa muda mrefu kwa Yemen. Ambapo Jana imefanikiwa kufanya mashambulizi ya kombora la masafa marefu na kulenga shabaha katika miji ya Tel Aviv na lod huko nchini Israel baada ya kurusha aina mpya ya kombora linalogawanyika hewani zaidi ya mara 80 kabla ya kupiga shabaha...
  6. Israel yajiandaa kwa vita kuitwaa tena Gaza!

    Katika mkutano wa ngazi ya juu katika Amri ya Kusini, PM Netanyahu, DM Katz, na Mkuu wa Wafanyakazi Zamir walipitia mpango wa uendeshaji wa kuliteka Jiji la Gaza - uwezekano wa mabadiliko katika vita. Hamas awali ilikubali makubaliano ya sehemu, lakini ikaongeza madai mapya, yasiyokubalika...
  7. Operation Rising Lion II kuna uwezekano ikazinduliwa na Majeshi ya Israel wakati wowote!

    Wachambuzi wa Israel wanaamini kuwa Israel inajiandaa kwa duru nyingine ya mapigano dhidi ya Iran. Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Ulinzi, Meja Jenerali Amir Baram, aliuagiza ujumbe wa Wizara ya Ulinzi nchini Marekani kutia saini mkataba wa kununua ndege mbili za ziada za kujaza mafuta kwa IDF...
  8. Waziri Mkuu wa Israel atoa maagizo ya kuachiliwa mateka wote na kwa mara moja kwa Masharti anayoyataka yeye!!!! “Yajayo yanafurahisha

    Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu: "Nimeagiza kuanza mazungumzo ya haraka ya kuachiliwa kwa mateka wetu wote na kumaliza vita chini ya masharti yanayokubalika kwa Israeli. Tuko katika hatua ya ushindi wa uhakika. Nimekuja leo kwenye Kitengo cha Gaza ili kuidhinisha mipango iliyowasilishwa kwangu...
  9. Hamas zaidi ya 10 waangamizwa kwenye jaribio la kuteka askari wa Israel

    Shambulizi lililoratibiwa na Hamas kwenye Kituo cha IDF Karibu na Khan Yunis IDF ilithibitisha kuwa Hamas walianzisha shambulio lililoratibiwa kwa kutumia bunduki na vifaru, na hivyo kufanikiwa kuruka kizuizi cha karibu na Khan Yunis. Askari mmoja kutoka Brigedi ya Kfir alijeruhiwa vibaya na...
  10. Makundi ya ajabu yaibuka kwenye vifusi Gaza kupambana na majeshi ya Israel

    Kilichoipta Urusi kule Afghanistan miaka ya 1979 na Marekani kule Vietnam mwaka 1975 na Afghanistan tena mwaka 2021 ndicho kilnachoelekea kuipata Israel huko Gaza mwaka huu 2025 Marekani na Urusi walimiliki kila kitu lakini katika hali ya ajabu kabisa wakalazimika kuwakimbia kwa hofu watu...
  11. Israeli Minister admits: Israel to have deliberately withheld Gaza Food/Aid for 2 .5 months

    Israeli Minister Admits: Deliberately Withheld Gaza Food/Aid 2 1/2 Months! August 19, 2025 Hits: 14438 Israel Finance Minister Bezalel Smotrich has admitted on TV the Israeli government deliberately withheld food and other aid from 1.5 Million people in Gaza, for two and a half months! It...
  12. Israel inatarajia kuwaita askari wa akiba 60,000 ili kumalizia Operation ya kuiteka Gaza!!

    Wakati akina Webabu wanaeneza Propaganda uchwara za kudai kuwa askari 14,600 wa Israel wamekimbia vitani- IDF itaanza kutoa maagizo ya kuwaita askari wa akiba takriban 60,000 katika siku zijazo kwa ajili ya mpango wake wa kushambulia mji wa Gaza, ambao Waziri wa Ulinzi Israel Katz ameidhinisha...
  13. Israel kuwatuma wanajeshi 50,000 wa akiba Gaza

    Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, ameuidhinisha mpango wa kijeshi wa kuuteka mji wa Gaza na pia ameidhinisha hatua ya kuwashirikisha askari wa akiba katika zoezi hilo Wizara ya Ulinzi ya Israel imethibitisha kwamba majenerali wakuu tayari wameidhinisha operesheni hiyo mpya inayolenga...
  14. Israel Taifa La Mungu

    Mungu aliahidi jambo hili katika kitabu cha Mwanzo 12:3 alipomwambia Ibrahimu ya kuwa:”….Nitawabariki wakubarikio….Na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa”. Unaweza kuungana nasi katika kuibariki Israeli kwa njia zifuatazo: 1. OMBEA NCHI YA ISRAELI Nchi ya Israeli haipo pale kama nchi...
  15. Israel kuzindua ofisi ya Ubalozi huko Zambia!!!

    Waziri wa Mambo ya Nje Gideon Sa’ar ataondoka leo (Jumanne) kwa ziara ya kidiplomasia barani Afrika, ambapo atazindua Ubalozi wa Israel nchini Zambia. Akiwa nchini Zambia, Waziri Sa’ar atakutana na Rais Hakainde Hichilema, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mulambo Haimbe, na...
  16. Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel Itamar Ben Gvir Asema Rais wa Syria Al Jolan auwawe!

    Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel Itamar Ben Gvir atoa wito wa kuangamizwa kwa Rais wa Syria, Ahmad al-Sharaa, akimwita mpiganaji wa jihadi: "Yeyote anayeua, kukata masharubu, kudhalilisha, na kubaka hapaswi kujadiliana naye, suluhisho pekee na al-Jolani ni kumuangamiza bila huruma yoyote...
  17. Israel ni kidume huko Mashariki ya Kati hadi Uajemi!!!

    Nimekuwa nikiwaambia Wafuga Midevu na Majini kila wakati kuwa Majeshi ya Israel ni miamba isiyotikisika huko Mashariki ya Kati mpaka huko kwa wa aje I!! Pichani hapo ni Damascus Syria hebu waangalie askari wa Syria wanavyozimenya mbio kukimbia baada ya ndege-vita za Israel kute Bełda jiji hilo...
  18. M

    Israel ikifanikiwa katika mpango wake wa Greater Israel Watanzania tujiandae kupoteza Ziwa Victoria

    Bila shaka sasa siyo siri, Israel imeonyesha kwa vitendo na maneno kuwa Inataka ile kitu inayoitwa "Greater Israel". Hilo lilithibitishwa na Bwana Benjamin Netanyahu wakati akihojiwa na mbunge wa zamani ktk bunge la Israel bwana Gal. Netanyahu aliulizwa kama anaamini katika Greater Israel...
  19. Kuna uwezekano mkubwa Iran atatandikwa tena bila huruma na Israel

    https://www.youtube.com/live/rd4iTiIAyWE?si=Ln7ESumnzg-nX6oS Je, Israel iko tayari kuishambulia Iran tena kabla ya mwaka kuisha? Majenerali wakuu wa Iran wamekiri wazi kuwa wanajiandaa kwa vita vikubwa na vyenye umwagaji damu zaidi — na Netanyahu amefichua maelezo ya kushangaza kuhusu maendeleo...
  20. Russia yawasaidia Iran kutengeneza mifumo ya vita iliyoharibiwa na Majeshi shupavu ya Israel kipindi cha vita ya siku 12

    ❗️Ndege za usafiri za kijeshi za Urusi ziliripotiwa kutua katika kambi kadhaa za jeshi la wanahewa nchini Iran katika siku kadhaa zilizopita. Utawala wa ayatollah unaonekana kurejesha haraka vikosi vyake vya kijeshi baada ya pigo kubwa walilopata katika Operesheni ya Simba inayoinuka ya Israel...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…