israel

  1. M

    Hasa mliowahi kutembelea Israel tujuzeni: Je wakristo walioko Israel huabudu siku ipi? Jumapili au Jumamosi?

    Ningependa kufahamu mambo yafuatayo: Najua Israel kuna dini ya kiyahudi wanaoabudu Jumamosi. Lakini pia kuna wakristo wa kiyahudi walioamua kumwamini Yesu. Je hawa wakristo wa kiyahudi huabudu siku ipi kati ya jumapili na jumamosi?
  2. Mossad yatajwa kutibua shambulio dhidi ya Waisraeli katika nchi za Tanzania, Ghana na Senegal

    Watu watano wanaripotiwa kutiwa mbaroni katika nchi za Tanzania, Ghana na Senegal wakihusishwa na jaribio lililotibuliwa la shambulio dhidi ya Watalii wa Israel, Kituo cha Televisheni cha Channel 12 cha Israel kimeripoti. Kituo hicho kimenukuu taarifa za kiintelijensia zikionesha kuwa watu hao...
  3. Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku

    Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku Nov 04, 2021 12:02 UTC Kamanda wa Operesheni za Kambi ya Ndani ya utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ina uwezo mkubwa wa makombora ambao unaiwezesha kuushambulia...
  4. Zimebaki siku 10 za Israel kuishambulia Iran

    Hawa jamaa walitangaza siku 60 tu za kuishambulia Tumehesabu leo ni siku ya 50 bado siku kumi tu Na wanasema maana walidai ndani ya siku 60 iran atakua na bomu kamili Sasa na Iran alivyo kichaa akaongeza kurutubisha mpaka 80% huko if am not mistaken kama nimekosea percentage mnambie Tukasema...
  5. Kukiri Israel udhaifu wa "Ngao ya Chuma" na kutoweza kwake kujilinda na makombora ya Wapalestina

    Kamanda wa ulinzi wa anga wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kwamba, mfumo wa kujilinda na mashambulizi ya makombora uliopachikwa jina la "Ngao ya Chuma" hauwezi kudhamini usalama wa utawala huo mbele ya vipigo vya makombora kutoka kwa wanamuqawama wa Palestina. Kituo cha...
  6. Iraqi Kurdistan says backs Baghdad rejection of normalization with Israel

    The Kurdistan Regional Government (KRG) has chastised "some of the organizers" of a gathering held by a US think tank in the semi-autonomous northern Iraqi region, pushing for a full normalization of ties with Israel. In a statement, the KRG’s interior ministry stressed that it supports the...
  7. Five Palestinians killed in overnight clashes with Israeli forces across West Bank

    Israeli troops have shot dead at least five Palestinians across the occupied West Bank after intense clashes that erupted in at least four towns following overnight arrest raids. According to official Palestinian news agency Wafa, military forces stormed the northern town of Burqin near al-Quds...
  8. Serikali ya Kurdistan yalaani mkutano wa Erbil wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya eneo la Kurdistan la Iraq lenye utawala wa ndani sambamba na kusisitiza kuwa, itawachukulia hatua watu walioitisha na kuandaa mkutano wa jana wa Erbil kwa kupotosha malengo ya mkutano huo na badala yake kuwa ni kwa ajili ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel...
  9. Israel will be ‘gone’ in 20 years, says ex-US State Department aide

    A retired United States Army Colonel and former chief of staff to secretary of state Colin Powell says Israel will not survive the next 20 years, as Tel Aviv is delegitimizing itself as an apartheid regime. He pointed to the 1946 Joint Chiefs of Staff to State-War-Navy Coordinating Committee...
  10. Activists urge Puma boycott over support for Israel

    News / InfoClips Activists urge Puma boycott over support for Israel Thursday, 23 September 2021 10:40 AM [ Last Update: Thursday, 23 September 2021 10:40 AM ] Puma is a global sportswear manufacturer. It’s now the sponsor of the Israel Football Association (IFA) which operates in Israeli...
  11. Mandela’s grandson slams AU status for ‘apartheid Israel’ as ‘fatally flawed’

    The grandson of South African anti-apartheid revolutionary and philanthropist Nelson Mandela has joined a growing chorus of opposition to a recent decision by the African Union Commission to grant “apartheid Israel” observer status at the continental body, slamming the movie as "fatally flawed"...
  12. Israel: Wafungwa wanne kati ya 6 waliotoroka wakamatwa tena

    Maafisa wa usalama wa Israel wasibitisha kuwakamata wafungwa wa 4 kati ya 6 hatari wa wanamgambo wa kipalestina waliotoroka kwenye gereza lenye ulinzi mkali la Gilboa.
  13. Taliban: Tupo tayari kushirikiana na nchi zote duniani isipokuwa Israel

    Uongozi wa Taliban nchini Afghanistan umesema upo tayari kufanya kazi na nchi zote duniani isipokuwa Israel. Msemaji wa Kundi hilo, Suhail Shaheen ameliambia Shirika la Habari la Sputnik News la nchini Urusi kuwa Taliban ipo tayari kufanya kazi na Marekani hata baada ya kusubiri kwa miaka 20...
  14. Wadukuzi wadai kuiba taarifa za 74% ya Waisrael wote

    Wadukuzi wanaojiita Sangkancil wamedai kudukua taarifa binafsi za zaidi ya watu milioni 7 nchini Israel. Wadukuzi hao wamesema wamedukua taarifa hizo kutoka kwenye tovuti ya CITY4U ambayo hutumiwa na mamlaka za Israel kushughulikia malipo mbalimbali kama bili za kawaida, faini, kodi nk...
  15. After Portugal Now Sweden Bans Travellers From The Most Vaccinated Nation Israel

    After Portugal, now Sweden has become the second European nation to ban travellers from the most vaccinated nation Israel. Sweden also banned the entry of citizens from the United States, Kosovo, Lebanon, Montenegro, and North Macedonia. After Portugal Now Sweden Bans Travellers From The Most...
  16. Je, kuna wakati Waethiopia walitawala Misri yote hadi Israel?

    wakati wa mfalme Asa wa Yuda (913-869 BC) kitabu cha pili cha mambo ya nyakati, sura ya 14. Mstari wa 9-14 kisa hiki kinasimuliwa. 9Zera, Mwethiopia aliishambulia nchi ya Yuda akiwa na jeshi la askari 1,000,000 na magari 300, akasonga mbele hadi Maresha. 10Asa alitoka akaenda kupigana naye...
  17. Baada ya Israel kuchanja 70% ya watu wake dhidi ya Covid 19, maambukizi yarudi kwa kasi kubwa

    Nchi ya Israel hadi kufikia mwezi April 2021 ilikua imechanja zaidi ya 70% ya raia wote kuanzia miaka 12 na kuendelea. Lakini ghafla kuanzia mwezi June hadi August 2021 maambukizi ya covid 19 yamerudi upya na kwa kasi kubwa. Wataalamu wa Israel wanasema hii inatokana na kupungua kwa ufanisi...
  18. U

    Mfahamu Meja Elia Muarabu Muislamu Mwenye Cheo Cha Juu Kwenye Jeshi La Ulinzi la Israel

    Meja Elia Ndiye Muarabu Muislamu aliye na Cheo Juu Ndani ya Jeshi la Ulinzi la Israel ( IDF)
  19. Hezbollah ililenga roketi 20 Israel kama majibu ya roketi zilizolengwa katika ardhi ya Lebanon

    Hizbullah: Shambulio la Muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni ni jibu kwa uchokozi wake Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: shambulio la maroketi lililofanywa jana asubuhi kulenga ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel), lilikuwa jibu mwafaka kwa uchokozi wa siku ya...
  20. C

    Wizara ya afya, ijifunze na itoe maelekezo ya matumizi ya dawa iitwayo "Ivermectin" kwa kutibu wangojwa wa Corona

    Bila kuremba, Serikali itoe maelekezo ya matumzi ya dawa hii katika kutibu Corona kama iliyvogunduliwa kule Israel kuwa inatibu corona. "That has been known since the start of the pandemic. But that has been wilfully ignored, otherwise, the vaccine could not get its emergency approva"l...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…