iran

  1. W

    JamiiForums Tanzania baadhi ya makombora ya masafa marefu ya Iran yametua Israel muda huu, Israel yajiandaa kufanya shambulio zito zaidi usiku wa manane

    Baadhi ya makombora ya masafa marefu kutoka Iran yamefanikiwa kutua Israel huku mengi yakidakwa angani na mitambo ya ulinzi wa anga. Mashambulio haya yamelenga maeneo yenye wakazi wengi, lakini hadi sasa hakuna taarifa za vifo, kwani watu wamekuwa wakitafuta hifadhi kwenye vyumba maalum vya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Vimondo vya Iran vyaanza kutua Israel

    Fuatilia live hapa https://www.youtube.com/live/9gIWtJP2rAQ?si=BssY2fnzyNQvaTkf
  3. W

    JamiiForums Tanzania Orodha ya viongozi na wanasayansi waliouawa na viwanda vya nuclear vilivyoharibiwa na Israel

    Mashambulizi haya yametikisa misingi ya ulinzi wa Iran, uu si mzozo wa kawaida, ni vita ya akili, ujasusi na teknolojia. Ndani ya lisaa pekee usiku wa manane Israel waliweza kushambulia viongozi wakuu wa majeshi ya Iran na wanasanyansi wakubwa wa nuclear, Israel haipigani vita, Inajilinda...
  4. U

    JamiiForums Tanzania Iran yarusha makombora ya masafa marefu kwenda Israel muda huu

    Sirens are sounding across Israel amid a major Iranian ballistic missile attack. An estimated 100 missiles were launched from Iran at Israel, according to an Israeli military source. Detecting missile attack from Iran, IDF orders civilians to enter shelters By Emanuel Fabian Follow Today, 9:07...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Iran Ataishambulia Israel leo

    Vitu vipo njiani kuelekea Israel labda katika saa moja tutanza kuona vikishuka hapo Tela Aviv
  6. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Marekani imehusika kwa kiwango cha kutosha kabisa katika kuisaidia Israel kuitandika Iran

    Israel imetumia ndege za Kimarekani za F-35 kuishambulia Iran. Ndege hizo zina uwezo wa kujazwa mafuta zikiwa angani. Uwezo huo wa midair refueling Israel haina. Marekani, ambao ndo watengenezaji wa hizo ndege, ndo wenye uwezo huo. Pia, Israel imetumia intelligence ya Marekani hususan...
  7. kenny mtanashati

    JamiiForums Tanzania Iran yakubali kusalimu amri, kuufuata ushauri wa Donald Trump rais wa Marekani

    Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran irudi haraka kwenye meza ya mazungumzo na kusaini makubaliano ya kusitisha mpango wa nyuklia kabla haijapoteza kila kitu. Rais Trump ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Truth social Taarifa hiyo nmekuekea hapo chini kwenye comments Trump amesema...
  8. U

    JamiiForums Tanzania Kamanda mpya wa Walinzi wa Mapinduzi wa Iran asema ‘milango ya kuzimu’ itafunguliwa dhidi ya Israel

    Wadau hamjamboni nyote. Kumekucha kumekucha. June 13, 2025 Iran’s new Guards chief says ‘gates of hell’ will open on Israel Kamanda mpya aliyeapishwa wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC), Mohammad Pakpour, ametishia kulipiza kisasi kwa kufungua “milango ya kuzimu” dhidi...
  9. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Video: Ndege ya kivita ya Israel kwenye anga la Iran!

    Hiyo ni video ya leo ndege ya F 35 Ikionekana ikiambaa ambaa anga la iran ikicheza alafu ikapotea[emoji23][emoji23][emoji23] Namna iran ilivyokuwa inajisifia na ilivyobondwa aibu sana Mtu kaingia nchi yako kauwa hadi mkuu wa majeshi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tarehe 13 Juni 2025...
  10. U

    JamiiForums Tanzania Benjamin Netanyau aliagiza Iran itandikwe kuanzia November 2024 agizo litekekezwe kabla ya April 2025

    Wadau hamjamboni nyote. Advertisement Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema katika taarifa ya video kuwa agizo la kuangamiza mpango wa nyuklia wa Iran lilitolewa mwezi Novemba 2024, na ameahidi kutoa taarifa za video kila siku pale itakapowezekana. "Agizo hilo lilitolewa muda...
  11. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Ujerumani yaishutumu Iran kwa kuishambulia Israel maajabu duniani hayawezi kwisha

    Taarifa ya wizara ya mambo ya nje ya Ujerumani baada ya mashambulizi ya Israel katika nchi ya Iran. Taarifa ikiishutumu Iran kwa kuishambulia Israel. Inaonekana Ujerumani inateswa na historia yake Hali ya Mashariki ya Kati imezidi kuwa mbaya kwa kasi kubwa usiku wa kuamkia leo. Israel...
  12. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Israel watajutia milele kwa walichokifanya huko Iran

    Netanyahu na wenzake wamefanya kosa kubwa sana. Kinachoenda kufuata itabaki kuwa Story Majibu ya Iran yataishangaza dunia Kwasababu Iran wanaenda kumaliza kazi waliokua wanaingoja kwa hamu siku zote Waliita Iran baba lao sasa wamemgusa kichwa cha Pweza Yajayo yanasikitika, Hii ni vita ya...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Israel yaanza kuitandika Iran tena muda huu

    Wadau hamjamboni nyote. Mlipuko mkubwa ulisikika muda mfupi uliopita karibu na kambi ya kijeshi ya kijeshi katika mkoa wa Hamedan magharibi mwa Iran, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti, kufuatia shambulio kubwa la Israel dhidi ya nchi hiyo. "Saa chache zilizopita, mlipuko mkubwa...
  14. U

    JamiiForums Tanzania Baraza la Usalama la UN kukutana kwa dharula kujadili shambulizi la Israel dhidi ya Iran

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kukutana baadaye leo Ijumaa kujadili mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran, wamesema wanadiplomasia. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, aliomba kikao hicho kupitia barua kwa Baraza hilo lenye wanachama 15, akisema kuwa "Israel sasa...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Tuzidi kuwaombea ndugu zetu watanzania walioko Iran

    Kuna uwezekano mkubwa Israel akaendelea kuwapiga Iran Tuwaombee ndugu zetu walioko huko Ahsanteni sana 🇹🇿
  16. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Ayatollah wa Iran yupo ndani ya crosshairs za Israel

    Kwa makobazi wa kike na wa kiume, hii ni ngumu kumeza. Sasa ni dhahiri shahiri kuwa hakuna kiongozi wa Iran asiyegusika. Hiyo ni pamoja na Ayatollah pamoja na Rais wa Iran. Sitoshangaa Israel ikiwa inajua hadi kitanda anacholalia Ayatollah kikoje. Israel imeonyesha uwezo wa kuwafyekelea...
  17. Observer

    JamiiForums Tanzania Israel yaishambulia Iran, milipuko yasikika katika mji mkuu wa Tehran

    Israel yatangaza kufanya mashambulizi nchini Iran Milipuko ya mabomu yasikika katika mji mkuu wa Iran wa Tehran Usiku wa kuamkia leo Juni 13 Israel imefanya mashambulizi ya anga kwa nchi ya Irani huku ikilenga maeneo muhimu na viongozi katika mji wa Tehran. Shirika la Habari la Tasnim la Iran...
  18. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Times of Isarael: Israel Ilijenga kituo cha drones ndani ya Iran

    🚨🇮🇷🇮🇱 Israel imetumia miaka mingi kujiandaa kwa shambulio dhidi ya maeneo ya nyuklia na makombora ya Iran, ikiwa ni pamoja na kuingiza silaha na majeshi ya vikosi maalum kwa siri ndani ya nchi hiyo, kwa mujibu wa afisa wa usalama wa Israel. Wakala wa Mossad wanaripotiwa kuanzisha kituo cha...
  19. Mayu

    JamiiForums Tanzania Shambulio la Iran; IDF wako vizuri sana kwenye intelijensia

    Tazama jinsi mmoja wa viongozi walio uwawa alivyopigwa akiwa chumbani kwake sijui amelala au anamgegeda wife Unajiuliza hawa jamaa walikusanya vipi hizi intel na kupiga shabaha zao zote kwa ufani mkubwa? Halafu kuna watu wanadai eti pale Gaza IDF inakazi ya kupiga wanawake na watoto Kama...
  20. MK254

    JamiiForums Tanzania Drones zote za Iran zimepigwa chini, anga ya Israel salama

    Iran licha kupigwa na mindege ya Israel kwa awamu nne, 4 waves, ilishindwa kuangusha hata ndege moja, au hata kuzuia makombora, imepigika haswa, sasa Iran ikajibu kwa kutuma drones, zimepigwa zote chini.... IDF rescinds order to stay near shelter after intercepting Iranian drones ByAMICHAI...
Back
Top Bottom