iran

  1. S

    Rais wa Iran asaini muswada wa kuondoa ushirikiano wake na shirika la nguvu za atomic duniani (IAEA)

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesaini sheria ya kusitisha ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia (IAEA), huku mvutano ukizidi kati ya Tehran na shirika hilo la Umoja wa Mataifa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na Israel na Marekani kwenye maeneo ya nyuklia ya Iran mwezi...
  2. I

    Aliyekuwa Kanali wa Jeshi la Iran amehukumiwa katika mahakama ya kijeshi kwa kosa la kuacha Uislamu na kuwa Mkristo

    Aliyekuwa Kanali wa Jeshi la Iran amehukumiwa katika mahakama ya kijeshi kwa kosa la kuacha Uislamu na kuwa Mkristo. Mahakama ya kijeshi ya Tehran imemhukumu mchungaji Mkristo wa Iran Hamid Pourmand kifungo cha miaka mitatu jela, na kuamuru uhamisho wake wa mara moja hadi kwenye gereza la...
  3. Echolima1

    Msemaji wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran: Abwabwaja kuishambulia Israel bila kusita!

    Msemaji wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran: "Tulirusha makombora 2,000 na UAV kuelekea Israel wakati wa makabiliano. Ikiwa tutashambuliwa tena, hatutakuwa na mistari nyekundu." “Mytake” Ikiwa kweli walirusha makombora 2,000 na UAV, ambayo ni karibu 1% tu iliyotua katika eneo la Israeli. Basi...
  4. dronedrake

    Gesi Kali Aina ya Benzene Imevuja Na Kutanda Mji wa Haifa, Israel Baada ya Makombora ya Iran Kupiga Kituo Cha Usafishaji Mafuta

    Gesi kali aina ya Benzene imevuja na kutanda mjini Haifa, Israel baada ya Iran kulipua kituo cha usafishaji mafuta mjini humo Uvujaji wa gesi hiyo imerikodiwa kuwa mara 100 ya kiasi kile cha kinachoruhusiwa hivyo kuhofia kuleta magonjwa ya kansa na pumu kwa wananchi waishio mji wa Haifa, Israel...
  5. D

    Nimetazama interview ya hawa wanafunzi wa Kitanzania nchini Iran nikaelewa jambo

    Wanadai maisha ya Iran ni cheap sana, ukiondoka na 1 milion TZS unaishi mwaka mzima bila shida kabisa. Wanasema 2500 ni sawa na pesa za Iran rial 100 ambapo lita moja ya mafuta ya gari ni rial 3. hivyo yani kwa 2500 za kibongo karibu unapata rita 33 za mafuta. Wanasema iran wana mitandao yao...
  6. Mlaleo

    Analysis reports ya kitaalam nani kashinda Vita Iran vs Israel

    https://www.youtube.com/watch?v=SqJvJ4Yv8Xw Kila Mmoja ameshinda kivyake ila faida amepata Israel malengo yote 100% Iran kwake kupona kwa Ayatollah na kuendelea kutawala Iran ni Ushindi kwake 100%
  7. G

    Kihistoria Israel Huwa anashambulia viongozi wakubwa kuanzia Goliath mpalestina, hamas, Hizbolah na Iran ni kuponda kwanza nyoka kichwa

    Israel inakuwa na specific target ambazo wanafikia kwa asilimia kubwa na kwa akili kubwa Ndivyo ilivyotokea kwa Iran Ofisa wa usalama wa Taifa na msaidizi wake Makamanda wakuu wa jeshi Wanasayansi wa Nyuklia Ayatollah kama sio Kuombewa na Trump anggeliwa kichwa pamoja na kuhama hama mashimo...
  8. gallow bird

    Iran yafunga anga lake kwa ndege za kiraia,je mtifuano kuanza tena!?

    Iran leo ilitangaza kufunga anga lake la magharibi na Kati kwa ndege za kiraia, mpaka kesho Inazua wasiwasi wakati huu israel ikiwa kwenye mazungumzo mazito na marekani na madege ya mizigo ya Marekani yakiripotiwa kutua uwanja wa ndege ben gurion kwa wingi Juzi mchambuzi mmoja wa siasa Iran...
  9. The Zanzibar Echo

    Putin na Macron wazijadili Ukraine na Iran

    Marais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Vladimir Putin wa Urusi wamezungumza kwa simu jana Jumanne ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka miwili na nusu. Macron ametumia mazungumzo hayo kumtolea wito Putin kusitisha vita nchini Ukraine, ingawa Putin mwenyewe alijibu kwa kuyashutumu...
  10. LOVE U JF

    Hivi siku hizi wako wapi wale waliosema Iran haiwezi kurusha hata jiwe ndani ya ardhi ya Israel?

    Ndugu kulikua na mtifuano humu jf baina ya waisrael wa buza na wa Iran wa yombo ila sioni fact za kutetea Israel kwa vita ya rising lion ya siku 12 nimemaliza uzi kwa kuuliza wako wapi waliosema Iran haiwezi rusha hata jiwe ?
  11. The Zanzibar Echo

    Iran yatetea uamuzi wake wa kusimamisha ushirikiano na IAEA

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametetea uamuzi wa nchi yake kusitisha ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Nguvu za Atomiki,IAEA, akimtuhumu mkuu wake kwa mwenendo wa kile alichokiita uharibifu. SiasaMashariki ya Kati Iran yatetea uamuzi wake wa kusimamisha ushirikiano na IAEA...
  12. The Zanzibar Echo

    Iran yaanza kukarabati upya kinu cha nyuklia kilichoshambuliwa na Marekani

    Picha za satelaiti kutoka Maxar Technologies zinaonyesha vifaa vizito vya ujenzi vikifanya kazi katika kituo cha nyuklia cha Fordo nchini Iran mojawapo ya maeneo yaliyoshambuliwa na jeshi la Marekani. Picha hizo za Juni 29 zinaonyesha magreda na mashine za kubwa za kuchimbua (excavator)...
  13. U

    'I am not offering Iran anything,' Trump says

    Brand Mini LIVE 'I am not offering Iran anything,' Trump says 'I am not offering Iran anything,' Trump says Summary US President Donald Trump said Monday he is not offering Iran “anything” and added that he is not even talking to the Iranian officials following US strikes on the country’s...
  14. Ritz

    Netanyahu; Malengo yake ya vita Iran kashindwa, ameshindwa tena Palestina amerudi kukaa meza moja na Hamas kamaliza vita

    Wanaukumbi. Rais Trump siku ya Jumapili alitoa wito wa makubaliano kuhusu vita vya Israel huko Gaza na mateka wanaoshikiliwa katika eneo hilo waachiliwe. "FANYA MAKUBALIANO NA GAZA. RUDISHA MATEKA!!! DJT," Trump alisema katika chapisho la mapema asubuhi kwenye Ukweli wa Jamii. Malengo ya vita...
  15. Mhafidhina07

    Naishauri Iran Kama vita vikianza tena waanze kupiga base za Marekani zilizopo karibu naye

    just what I see ni kuwa zinapull back much effort wanatkiwa wagonge target na kuspusha uzuizi mkubwa kutoka Nchi jirani,Iran inapwa kujilinda kama nchi nyengine zinavyojilinda. Hapo middle east Israel kapandikizwa,wakristo mtanisamehe.
  16. gallow bird

    Awamu ya pili vita israel na Iran inanukia

    Ndani ya wiki moja baada ya kusitisha mapigano, israel imepokea zaidi ya tani 800 za silaha toka marekani, ujerumani na nchi za magharibi,bila shaka na makombora ya udunguaji ya iron dome Pakiwa na taarifa kwamba awamu ya pili ya mashambulizi itakua mzito zaidi na kuenea zaidi ndani ya iran...
  17. S

    Iran itawachukua miezi michache kurudi kwenye moango wao wa nyuklia-Grossi

    "Wanaweza kurudi kurùtubisha uranium ndani ya miezi michache licha ya USA na Israel kushambulia kwenye miundo mbinu ya Nucleur. Taasisi ya Atomiki Duniani chini ya director wake amesema miundo mbinu ambayo imeharibiwa siyo yote na hivyo Iran itamchukua miezi michache kurudi kwenye urutubishaji...
  18. The Zanzibar Echo

    Iran ina uwezo wa kuanza kurutubisha madini ya uranium tena - kwa uwezekano wa kunda bomu

    Iran ina uwezo wa kuanza kurutubisha madini ya uranium tena - kwa uwezekano wa kunda bomu- katika "muda wa miezi kadhaa", mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya nyuklia amesema. Rafael Grossi, mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), alisema mashambulizi ya...
  19. Komeo Lachuma

    Ujasusi : Mwanadada Catherine Perez alivyobadili Dini na kuwa karibu na Viongozi huku akiipeleleza Iran kwa niaba ya Mossad

    Hii Inatufundisha Usiamini Mtu hata kama Atakuonyesha upendo wa hali ya juu Kati ya mwaka 2013 hadi 2015 mwanadada Catherine perez shakdam raia wa Ufaransa aliingia nchini Iran kutokana na kuvutiwa sana na siasa za Iran za kutokubali kushindwa mbele ya nchi zenye nguvu pamoja na...
  20. Mad Max

    Watu wanaiongelea ndege ya B-2 “Spirit” ya US inavyofanya mashambulizi huko Iran, unajua ina balaa gani?

    Sio mara ya kwanza hivi karibuni umeona sehemu mbalimbali kwamba Marekani kutumia B-2 Spirit Stealth Bomber kufanya mashambulizi ya “precision” dhidi ya Iran. Lakini je, tunafahamu B-2 ni nini? Inaweza kufanya nini? Ina gharama kiasi gani? Na je, kama taifa kama Tanzania, tunaweza hata...
Back
Top Bottom