instagram

  1. Inside10

    JamiiForums Tanzania Wakuu mbona Instagram haipatikani.?

    Kama Uzi unavyosema ni kwangu tu?
  2. Isaka James

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi Social Media Inavyochangia Tech Culture Tanzania

    Yo, wadau wa tech! Social media imekuwa kama nguvu kubwa kwa ukuaji wa tech ecosystem hapa Tanzania, na leo tunaangalia jinsi platforms kama JamiiForums, X, Instagram, LinkedIn, WhatsApp, YouTube, na TikTok zinavyobring tech enthusiasts pamoja, kushare knowledge, na kushare events za tech. From...
  3. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Facebook kule ni mtandao wa Marekani, kule Samia mpaka Trump wanatukanwa sana lakini hatuoni ukifungiwa, vipi kule YouTube na Instagram na hamfungi

    Facebook kule ni mtandao wa marekani, kule samia mpaka trump wanatukanwa sana lakini hatuoni ukifungiwa, vipi kule YouTube na Instagram na hamfungi. Kule Tiktok ni wa china kule raisi wa china anatukanwa sana lakini hatuoni ukifungiwa sio rais wa china tu mpaka samia anatukanwa sana kule mara...
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM inaogopa kufunga mtandao wa instagram sababu wasanii wao wapo huko

    Wahuni walijua kufungia twitter(X) ndio kukomesha wanaharakati na walijua hakuna watumiaji wengi. Sijui hizi habari wanashauriwa na vilaza toka JF. Sasa siasa imeamia instagram na facebook na huko ndio kuna wasanii wao 😂. Karma karma sasa fungeni wawa geuke
  5. P

    JamiiForums Tanzania VR inazidi Kuangaza juu ya Polepole inasemekana ni mwizi 2015 na pia mtekaji mkubwa

    HUYU JAMAA NIkUMPUUZAA MAANA NI MUHUNI ALIEKIDHIR Polepole na uongo na siasa za ujanja janja Mwaka 2014 Magufuli alituletea MV Bagamoyo ambayo Kwa kifupi pesa zote Milion 710 hazionesha mzabuni ni nani na imenunuliwaje, ikajitokeza kwenye TV Channel 10 ukiutetea wizi huo na kusema mkataba...
  6. Forgotten

    JamiiForums Tanzania Tusiotumia mitandao ya kijamii tujuane!

    Kwanza kabisa kwanini hautumii mitandao ya kijamii? Ilikuwa hivyo toka mwanzo au ulifuta baada ya kutumia? Socia media zimekuwa sehemu mpya ya maisha ya binadamu kuendana na kasi na mabadiliko ya Teknolojia ila lengo kuu la mitandao ya kijamii limepotea ghafla baada ya teknolojia hii kupokewa...
  7. ANOLD MEDIA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, hiki kirusi kweli kama media zinavoripoti?

    JE NI KWELI HIKI NI KIRUSI CHA UKIMWI? KAMA BAADHI MEDIA ZINAPOST INSTAGRAM ZIKISEMA HIKI NI KIRUSI CHA UKIMWI KIKIWA KIMEKUZWA KWENYE ELECTRONIC MICROSCOPE BY ANOLD MEDIA
  8. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je Instagram inaweza kujua na kushare Mahali Nilipo Na Jinsi ganii ya kukwepaq hili

    Instagram Inaweza Kushare Mahali Ulipo na Followers Wako Wote Katika zama hizi za mitandao ya kijamii, taarifa binafsi zimekuwa bidhaa yenye thamani kubwa. Hata bila ruhusa ya wazi, programu zinaweza kutumia ruhusa za simu yako kufuatilia na kushiriki mahali ulipo. Instagram, moja ya majukwaa...
  9. McLaren

    JamiiForums Tanzania Instagram wamefanya update. Wameongeza feature ya "repost" kama Tiktok na features nyingine 2

    Wakuu, Instagram imeendelea ku-copy features za mitandao mingine. Naona kwenye hii update yao mpya wameongeza sehemu ya REPOSTS kama ambavyo ipo kule tiktok Yaani hapa ukisha-REPOST kitu basi after sometime pia kinaonekana kwenye akaunti yako. Kwa hiyo sasa hivi kuna options kama 4 ambazo ni...
  10. T

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Instagram account inauzwa

    Account ndogo ya Instagram inauzwa, Followers 5800, nicheki 0743546090 Call/text ama WhatsApp
  11. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Aloyce Nyanda atishiwa kisa Machapisho ya Instagram

    Rafiki yangu mmoja kanitafuta leo asubuhi sana na kuniambia kaka kama unaniheshimu pumzika kuandika na kupost kitu chochote Instagram mpaka uchaguzi mkuu upite, nilipomuuliza sababu akasema nitakueleza baada ya uchaguzi mkuu, akakata simu na hata nilipompigia hakupokea.” Mwandishi wa Habari...
  12. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Je unatafuta wateja mtandaoni (Facebook, Instagram) ?

    Kama unatafuta wateja mtandaoni (Facebook, Instagram) karibu nikusaidie kwa kuweka matangazo mtandaoni utawafikia watu wengi zaidi kupitia Facebook na Instagram kwa bajeti nafuu... Pia nitakuwa nasimamia akaunti zako za mitandao ya kijamii. Gharama kwa mwezi ni 150,000 Tsh. Napatikana: Dar es...
  13. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Maisha bila Facebook, watsapp, instagram, Tik tok inawezekana usiruhusu simu ikutawale bali itawale simu yako

    Maisha bila mitandao ya kijamii inawezekana huu ni mwaka wa nne sasa no fb, no instar no twitter Kilichobaki ni Jf tu Muda upo wa kutosha kusoma vitabu, kufanya kazi, kutafakari na kukaa na familia Nimesoma votabu zaidi ya 400 Sihitaji kuweka bamdo kila mara labda kama nataka kupakua kitabu...
  14. upupu255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Askofu Gwajima amechapisha ujumbe Instagram asema 'Kawe tusiunge mkono wasaliti'

    Wakuu wa JamiiCheck huku kimewaka tunaomba uhalisia wa taarifa hii.
  15. evangelical

    JamiiForums Tanzania Mbunge Erick Shigongo Afunga Koment kwenye Instagram yake

    Huyu mbunge Buchosa baada ya kuona ma post yake ya kijingajinga yanajibiwa huko Instagram kaamua kufunga kabisa na koment. Watu wa Buchosa inabidi mumfundishe adabu huyu aliyewazarau kwa kusema eti kuwatimiza ahadi ya kuwaletea tshirt
  16. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Ukienda kwenye wall ya dada wa Taifa iliyopo Instagram utawashangaa watanzania wengi wanavyomlalamikia mtu anayeishi marekani

    Mimi natembelea wall yadada wa Taifa iliyopo instagram jambo ambalo linanifikirisha sana hivi wale watu ni wazima kweli wanompelekea malalamiko yao mtu anayeishi marekani hivi wanajitambua kweli mbona tun watu waajabu sana Jambo ambalo watanzania wanatakiwa wajue hatima ya nchi yao ipo mikononi...
  17. Mtu Alie Nyikani

    JamiiForums Tanzania Bila shaka hizi social media zimefungwa Tanzania? (Facebook, Whatsapp & Instagram), au lah!! Basi ni tatizo la kiufundi

    WanaJF habari za wakati? Nimeamka Leo tangu asubuhi kwa ajili ya harakati za hapa na pale , ghafura nashangaa Simu yangu inakua nzito kwenye upande wa mtandao, Whatsapp nikituma message haziendi, Facebook same to Instagram hili jambo limenishangaza sana mpaka nimejiuliza labda bando limeisha...
  18. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wizi wa mtandaoni (wauzaji wezi Instagram)

    Kuna watu wanauza bidhaa Instagram,lakini kumbe ni matapeli na wezi. Nashauri kuwa makini sana na watu wote wanaofanya biashara online. Mimi binafsi nimetapeliwa na Dada anajiita queen Zipporah IG.
  19. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Msigwa anafinywa huko na Wananchi kwenye mitandao ya kijamii. Watanganyika wa sasa nimewavulia kofia. Finyaaaaaaaa

    Watanganyika mwaka huu wameamua kudadadeki!!! Muda mchache uliopita ITV wamepost kwenye page yao ya Facebook taarifa hii; Watangayika bila hofu yeyote, Vijana, Wazee, Wamama na Wababa, Wakristo na Waislamu wameamua kumpika na kumfinyaaaa kisawasawa Bw. Gerson Msigwa. Angalia mwenyewe kwa...
  20. The Watchman

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais wa TAHLISO: Wanafunzi vyuo vikuu tutashiriki uchaguzi, Instagram Facebook na X sio Tume Huru ya Uchaguzi

    Wakuu Huyu kijana anatakiwa akapewe somo na Vijana wa UDOM, ameshindwa kusemea changamoto zisizokoma za wanafunzi huko vyuoni anatuletea uchawa, na hao vijana wanaomshangilia wakicheleweshewa boom wanatoa milio 24/7. === Rais wa Jumuiya ya Taasisi za Wanafunzi Wa Elimu ya Juu, TAHLISO...
Back
Top Bottom