Job Overview
Information Technology Intern
Internship
Dar es Salaam
WiA Company Limited
WIA is a System Integrator, leader specialized in providing Enterprise and government with innovative, reliable and cost effective ICT solutions.
RECENT GRADUATE IT INTERN
Job Description:
We are looking...
Habari wapendwa .
Rejea kichwa cha habari apo juu .
Natafuta kazi ngazi ya Diploma
Nina experience katika :-
Computer application ì
Computer troubleshooting.
Simple LAN configuration.
Retail POS ( vend and shopify)
Cashier
Salesman
Marketing
Balloon decoration ( husaidia kuongeza wateja na...
Habari wanajukwaa naamini humu kuna watu wa aina Tofauti Tofauti na wengine wamepata kazi zao kupitia hili jukwaa.
Hivyo nakuja mbele yenu kuomba Nafasi au Connection itakayonisaidia Kuweza kupata Ajira ...
Elimu yangu NI BACHELOR DEGREE IN INFORMATION TECHNOLOGY.
nimespecialize kwenye...
About:
Announcement Number: Dar es Salaam-2022-037
Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam
Position Title: Voucher Examiner (Alternate Cashier)
Open Period:03/17/2022 – 03/31/2022 Format MM/DD/YYYY
Vacancy Time Zone: GMT+3Series/Grade:LE – 0420 7
Salary: TZS TSh29,568,947
Work Schedule: Full-time –...
Karibu nikuzie laptop na computer aina zote kama:
-HP
-DELL
-LENOVO
-APPLE
-FUJITSU
-ALIENWARE
-SAMSUNG n.k
Accessories aina zote zinapatikana kama:
-RAM (1gb 2gb 4gb 8g)
-Hard disk (180gb, 320gb, 500gb, 1000gb, 2000gb)
-Adapter charge aina zote
-Keyboard na Mouse wired na wireless
-VGA...
Wakuu naombeni ushauri wenu juu hizi kizi.
Kati y business information technology na information technology ipi ni nzuri zaidi..
naingia degree mwaka wa kwanza (business information technology) pale UDSM na tayari nimeshai-confirm.. but wengine wanasema et information technology ni bora zaidii...
Ndugu watanzania, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 mwenye changamoto ya kukosa ajira. Naomba msaada wa ajira yoyote ile kwani nina uhitaji sana.
Elimu yangu nilifanikiwa kumaliza kidato cha nne na kujiunga na chuo cha Uandishi wa Habari nikasoma semester moja ila sikufanikiwa kumaliza...
I'm well experienced, reliable and affordable IT expert, Able to attend calls and work anywhere inside and outside Tanzania.
My customers are Organizations, Institutions, Businesses and Private individuals.
You can hire me for one time job or long term contract
I'm specialized in the...
Habari ndugu,
jina Nicodemus mollel
makazi Arusha Tanzania
maombi yangu nimesoma information technology(IT),ngazi ya cheti nimebase upande wa TECHNICIAN
Natafuta kazi ya IT au yoyote inayohusiana na mambo ya IT
email: nicklasmollel@gmail'com
asanteni
Habari Wana JF! Poleni kwa shughuli za kila siku za ujenzi wa taifa letu pendwa. Leo npo jukwaa hili nipate mawazo/maoni/ushauri wenu.
Kwa sasa ninafanya kazi za sales kwenye kampuni moja ndogo hapa jijini Dar es Salaam. Ajira hii naitumikia kuanzia asubuhi saa 1 na hadi kufikia mchana saa 6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.