inec

The INEC card reader is a portable electronic voting authentication device configured to read only the Permanent Voter Cards (PVCs) issued by the Independent National Electoral Commission (INEC) in Nigeria.
The card reader was designed for the accreditation process (authentication of eligible voters before voting). The machine was configured to read only the PVCs of a particular polling unit and can only work on election day.

View More On Wikipedia.org
  1. PAYE

    GE2025 INEC yatoa takwimu mpya: Wapiga Kura 37,647,235, vituo vya kupigia Kura 99,895 nchini

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imefanya marekebisho ya takwimu za wapiga kura na vituo vya kupigia kura vitakavyotumika katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, baada ya kupokea taarifa rasmi kutoka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo, Oktoba 7, 2025, na...
  2. mwanamwana

    GE2025 Shauri la Kikatiba la Luhaga Mpina dhidi ya INEC kuendelea leo Oktoba 6, 2025

    Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma, leo Oktoba 6, 2025, itasikiliza shauri la kikatiba lililofunguliwa dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kupinga Luhaga Mpina kuondolewa kugombea Urais wa Tanzania. Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa mbele ya majaji watatu kuanzia...
  3. Mafyangula

    GE2025 Dodoma: Mwenyekiti INEC afanya ziara ya kukagua maandalizi ya uchaguzi mkuu

    Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele, amefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma, hususan katika majimbo ya Chamwino na Mtera leo Septemba 25, 2025. Ziara hiyo ilikuwa na lengo la kukagua maandalizi ya uchaguzi mkuu...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Tume Uhuru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) yasisitiza kuwa Act- Wazalendo hawana mgombea Urais

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesisitiza kuwa, Chama cha ACT-Wazalendo, hakina mgombea urais wala makamu wa urais. Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhan Kailima imeeleza hivi: “Katika tovuti rasmi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT -Wazalendo)...
  5. JF Analyst

    GE2025 Wagombea Urais kupewa magari na INEC na ZEC inaleta taswira gani kwa wapiga Kura?

    Katika mchakato wa Kidemokrasia, Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na Tume huru ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inachukuliwa kama nguzo kuu ya uaminifu wa wananchi. Lakini hatua ya Tume kuwapatia wagombea wa Urais magari kwa ajili ya kampeni inaleta maswali mazito kuhusu mustakabali wa Demokrasia na...
  6. R

    GE2025 INEC yamuita Mpina kurejesha fomu ya Urais

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imepanga kupokea fomu za uteuzi wa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais kupitia Chama cha ACT Wazalendo siku ya Jumamosi, Septemba 13, 2025, saa nne asubuhi, katika ofisi za tume jijini Dar es Salaam. Wagombea waliopendekezwa na chama hicho ni Luhaga...
  7. T

    GE2025 Tarime Mjini; Mgombea wa ACT-Wazelendo, Jackson Kangoye aenguliwa na INEC kumsaidia Esther Matiko

    Baada ya jitihada za CCM Taifa kumbembeleza Ndugu Jackson Kangoye ajitoe kugombea Ubunge Tarime ili kumrahisishia Esther Matiko kushindikana, Tume ya Uchaguzi isiyo huru imeamua kumeungua mgombea huyo. Esther alimuwekea pingamizi ambalo lilitupiliwa mbali. Na akakata rufaa. Lakini rufaa ya...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 INEC yatoa Uamuzi wa Rufaa 38, kwa Ubunge zimekubaliwa nne na saba zimekataliwa

    Kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 53 na 65 vya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024 vikisomwa pamoja na kanuni ya 29(1) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea jumla ya rufaa hamsini na moja...
  9. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 INEC yavitaka Vyombo vya Habari kuomba vibali vya kuripoti Uchaguzi Mkuu 2025

    Kwa kuzingatia kifungu cha 26 cha Sheria ya Tume Huru ya Taifa Uchaguzi Na. 2 ya Mwaka 2024, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi inatoa mwaliko kwa vyombo vya habari vyenye nia ya kuchapisha au kutangaza habari wakati wa kupiga kura, kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Chombo cha Habari...
  10. tonicimmobility

    GE2025 Mapingamizi ya INEC kesi ya Mpina yatupwa, kesi ya msingi kusikilizwa Septemba 8

    Kesi ya kupinga kuenguliwa kwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu (2025), iliyofunguliwa na Bodi ya Wadhamini wa chama hicho na Luhaga Mpina dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na Tume Huru ya...
  11. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya Kikatiba dhidi ya Tume huru ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuendelea leo Septemba 3,2025

    Chama cha siasa cha ACT Wazalendo kimetangaza kuwa kesi ya kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali itaendelea kusikilizwa leo, tarehe 3 Septemba 2025, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dodoma.Kesi hiyo, namba 21692 ya mwaka 2025...
  12. tonicimmobility

    INEC yafafanua mchakato pingamizi na rufaa za udiwani

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema kuwa kwa mujibu wa kifungu cha 53 na 65 vya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, baada ya uteuzi kufanyika, wagombea wa Ubunge na Udiwani wanaruhusiwa kuweka pingamizi dhidi ya uteuzi. Soma pia: INEC yawaita wagombea...
  13. Pascal Mayalla

    GE2025 Pongezi INEC Kusawazisha Uwanja Tenge kwa Wagombea Urais Kufanania

    Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye Nipashe ya leo. Ni makala ya pongezi kwa INEC kuanza kusawazisha uwanja tenge wa uchaguzi kwa wagombea 17 wa urais kwa kuwawezesha angalau angalau kufanania fanania kwa kuwapatia usafiri!, hivyo wataweza kufika popote ndani ya Tanzania hii. Vipi kuhusu...
  14. leefrankne

    GE2025 INEC yajadili rufaa kuhusu uteuzi wa wabunge

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, leo tarehe 31 Agosti, 2025 imekaa na kujadili rufaa kuhusu uteuzi wa wagombea Ubunge katika Jamhuri ya Muungano na Udiwani kwa Tanzania Bara zilizowasilishwa Tume kwa ajili ya uamuzi. ============= KUHUSU UAMUZI WA RUFAA DHIDI YA UAMUZI WA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI...
  15. leefrankne

    INEC yafanya mkutano na wawakilishi wa vyama vya siasa

    Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu. Kailima Ramadhani leo tarehe 30 Agosti, 2025 ameongoza kikao cha wawakilishi wa vyama vya siasa kupitia na kufanya mabadiliko madogo kwenye ratiba ya mikutano ya hadhara ya kampeni za wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa...
  16. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 INEC yamuondoa Peter Yohana (NRA) kwenye Kinyang’anyiro cha Ubunge Mbarali, kushindwa kurejesha fomu ya kuteuliwa

    Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ,INEC, imemuondoa Peter Yohana Mgombea wa Chama cha NRA katika Nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Mbarali, mkoani Mbeya, baada ya kushindwa kurejesha fomu ya kuteuliwa bila ya kutoa taarifa. Akitoa Taarifa Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali Bw. Salifu...
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Dodoma: Mahakama Kuu yaipa Serikali Siku Tano Kujibu Kesi ya ACT Wazalendo Dhidi ya INEC

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masijala Kuu Dodoma, imetoa muda wa siku tano kwa Serikali kujibu kesi iliyofunguliwa na chama cha ACT Wazalendo na mwanachama wake, Luhaga Joelson Mpina, dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Katika kesi hiyo, ACT Wazalendo na...
  18. Mkalukungone Mwamba

    ACT Wazalendo walia na INEC, sakata la Mpina kuenguliwa

    Mwanasheria Mkuu wa ACT Wazalendo Omar Said Shaaban akifafanua ni kwa namna gani chama hicho kinapinga vikali maamuzi ya Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kumuengua mgombea wao wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Luhaga Mpina, na hatua wanazochukua
  19. R

    GE2025 Mgombea Urais ACT Wazalendo anapitia wakati mgumu sana kwa sasa

    Wakuu habari, Hizi ni moja za habari zilivoeleza aliyekuwa mwanachama wa CCM na kuhamia ACT Wazalendo kisha kuchaguliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025
  20. tonicimmobility

    GE2025 Samia kawa wakwanza kurudisha fomu INEC

    Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewatangulia wagombea urais wa vyama vingine kurudisha fomu ya uteuzi katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ndejengwa jijini Dodoma leo, Jumatano Agosti 27, 2025. Hatua hiyo, inampa nafasi mkuu huyo wa nchi ya kusubiri uteuzi wa INEC, kisha kuanza...
Back
Top Bottom