Salam wadau.
Nauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 almaarufu kama honda manji.
1).Pikipiki ni nzima ina engine yake original.
2.)Kadi ipo
3).Bei inazungumzika
4).Mahali-ipo Ifakara Mjini.
Niweka picha,kwa maulizo zaidi nicheki DM tufanye biashara.
Kwanza nitafafanua maana ya Taifa kuuzwa
Ni Taifa ilo kupuuza matakwa ya wananchi wake na kufanya kazi wa faida ya kikundi kidogo Cha watu au nchi nyingine kwa maslahi yao binafsi na sio (Umma) watu wake.
Kama haijauzwa kwanini watawala hawasikilizi malalamiko ya wengi(Umma)
Kwanini kila kitu...
Samsung Galaxy A90
Camera
GB 128
Ram 6
Network 5G
Bei 380
Fingerprint kwenye kioo
Sim Mpya Ina wiki 1 aina mkwaruzo
Wala mchubuko
Akikisha uko serias ndo unapiga sim
piga sim Chapu 0612323330
Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea vema huko mlipo. Nilikuwa napita pita kwenye mtandao wa beforward kuangalia bei za magari. Nimeshangazwa na bei za Toyota premio. Yaani unakuta gari ya 2004 CIF inasoma $5000 huko, ambayo ni milioni 12 na kitu. Ukiweka kodi za TRA na bandari inafika 24 M. Miaka...
Nyumba Inauzwa Goba.
Mahali: Goba Kwa Robert.
Sifa za Nyumba:
*Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu.
*Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles.
*Madirisha ni pvc.
*Ina fence(uzio).
*Ina vyoo(toilets)5.
*Umeme na maji yapo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 880.
Nyaraka: Mkataba...
Pharmacy inauzwa
Inauzwa na Kila kitu chake
Shelves,ac,mini fridge na dawa zote
Imeshalipiwa kodi ya miezi 6 tayari
Ipo banana njia ya Moshi Bar
Dar es salaam
Bei Milioni 14
0775 179905
Jana Agosti 29, 2025, Humphrey Polepole kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii alidai kwamba mtungi wa gesi ya kilo 15 nchini Cuba unauzwa kwa shilingi 2,000 za Kitanzania.
Kauli hii imeibua mjadala, lakini inapochunguzwa kwa makini kwa kutumia takwimu na taarifa rasmi, inabainika kwamba...
Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio.
*Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master.
*Huduma zote za kijamii zipo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1833.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 900...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
Gari ni yangu mwenyewe na haihitaji service yoyote kwa sasa pia ina
Parking Assist,
Day time running light
Millage 62,300km
CC 1390
New tyres
Bei 32m
Ipo Dodoma
0715140001