inauzwa

  1. G

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Dell laptop inauzwa, HDD: 1TB & RAM 16GB

    Heavy Duty Dell Machine (engineerng design,grphics design & games) -storage. ROM/HDD: 1TB RAM: 16GB DDR4 Processor: Intel Core i7, 2.4Mhz with graphics card. System: x64 bit-based processor Screen: 15.6" screen touch Keyboard: black Window 10 pro Battery: 4hrs Condition: CLEAN.(haina...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Toshiba External Hard Disk GB 500 inauzwa

    Nauza External hard drive (Toshiba) yenye ukubwa wa GB 500 Ipo kwenye hali nzuri sana na haina tatizo la aina yoyote Bei Ni Tshs 65,000 maongezi kdg yapo Nipo Mbezi Stand ya Magufuli TAYARI IMESHAUZWA
  3. JOTO LA MOTO

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Mashine ya Mac inauzwa

    Mashine ni nzima inapiga kazi...ipo Dar, bei ni laki mbili na nusu.
  4. Z

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Goba

    Ipo goba mpakani, vyumba vitatu kimoja master. Ukubwa wa eneo square meter 500 Milioni 65 0762689034
  5. G

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Hp Pavillion Inauzwa, ROM 500gb, RAM 8gb

    HP PAVILION -storage. ROM/HDD: 500GB RAM: 8GB DDR4 Processor: AMD A6-6310 APU with AMD radion R4Graphics 1.80GHz System: x64 bit-based processor Keyboard: Lightened Window 10 pro BEI; 450k Battery: 4hrs+ UPDATES: IMEUZWA
  6. The bump

    JamiiForums Tanzania INAUZWA BOXER CC 125 (ina mwezi unaenda mwezi wa Pili) BM X

    Hii pikipiki nilininunua TAR 5 mwezi wa 9 nita attach risiti ya Manunuzi. Pikipiki sina namna naweza ielezea, "ni mpya" Naiuza sio kwa shida hivyo mteja apatikane asipatikane yote kheri. Sababu ya Kuiuza ni kutokana na ngekewa ambayo imenitokea bila kutarajia, sikua nimetarajia kabisa kupata...
  7. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania 🚨 CHEKI HII: Passo inauzwa $ 240, Kama Laki Tano na Nusu tu

    Hii Laki Tano na Nusu ni kwa Pesa ya Mama Samia + usafiri kikipanda meli mpaka bandarini nauli kinalipa $1500 kama Million Tatu na Nusu, Yani nauli ni mara sita ya gharama halisi ya msafiri mwenyewe, kama ni wasee wa ku import manzi unaweza amua kukomaa na mshindi tu... . Kikifika hapo...
  8. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Tire/tyre mobility kit (pump ya emergency) inauzwa

    Wazee nauza tire/tyre mobility kit, hii ni pump ya kuzaja upepo kwa emergency ama hata nyumbani pia inatumia umeme wa gari, unachomeka kwenye kibiriti pale, mambo mswano. Nimetestia kujazia tairi ya nissan xtrail na ikajaza 30psi ila gauge inaruhusu mpaka 90psi Ndani ya kit unapata/unakuta. 1...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Gari aina ya Canter inauzwa

    Wakuu ipo gari aina ya Canter inauzwa kwa bei ya M18 ikiwa bado ni nzima kabisa..na haina udalali wowote karibuni My number. 0714 664 520
  10. Jay_255

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop inauzwa kwa bei ya kutupa

    HP Notebook 15s core i7 Ina ram 4gb ssd 512 intel iris graphics card 4gb battery masaa 6 na kuendelea ipo clean haina tatzo lolote Bei 850,000 Ipo Dar es Salaam Mawasiliano 0782 780980
  11. Jay_255

    JamiiForums Tanzania Land cruiser inauzwa bei ya kutupa bado ipo clean kama mpya

    Toyota landcruiser 2003 Ni Manual inatumia diesel Mileage 169,000 Bei ni Milioni 28 (fixed) Ipo mikocheni dar es salaam Haihitaji dalali Mawasiliano 0782780980
  12. Bexb

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Crown royal namba 'DSC' inauzwa 9.5m

    Habari ya mchana waungwana, gari hii hapa haina shida yoyote ni nzima kabisa. Gari ipo Goba njia ya kwenda Madale. Bei ni 9.5 pekee. Ukitaka kuiona, kukagua na kumaliza ama picha zaidi nicheki chap 0755963775 calls/WhatsApp
  13. Z

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba zinauzwa Kibaha

    Nyumba zinauzwa, kibaha kwa Mathias,za kibiashara kwa ajili ya wapangaji na moja inayojitegemea,ziko tatu katika sehemu moja ,ya kwanza vyumba vitatu na sebule zake inajitegemea,ya pili vyumba viwili na sebule zake,ya tatu Ina vyumba 4 kimoja master na jiko na sebule,km 2 toka morogoro road...
  14. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Compressor Inauzwa Mbezi Louis

    Compressor LITA 300 Inatumia Jenereta + PETROL Horse 6 750,000🔥🔥🔥 0688986066 MBEZI-MWISHO
  15. J

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Tunauza Viwanja, Nyumba na Mashamba Dar es Salaam

    1- kinauzwa kiwanja mbezi ya goba kulangwa sq 400 Bei million 17 (maongezi yapo) kilipo si mbali na barabara (dk7- 10 main road) 2- kiwanja kinauzwa MBEZI GOBA sqm 1000 Bei million 57 (maongezi yapo)pia hakipo mbali na barabara 3. Nyumba ya vyumba 6 Mbezi beach Goigi (dk 10 bagamoyo road)...
  16. Dr Lizzy

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Plot inauzwa Bagamoyo

    IMPORTANT NOTE : Hakuna dalali! Eneo liko baada tu ya roundabout ya kuingia Bagamoyo (kituo cha daladala cha Kosovo) na ni hapo hapo barabarani. Eneo lina ukubwa wa 120 * 93 (m), kuna nyumba ya ghorofa moja (3 bedrooms/Jiko/ Ukumbi na mbele kuna frame 3 kubwa sana (6*8 m) Bei ni 450...
  17. Nyuki Mdogo

    JamiiForums Tanzania Igoma (Mwanza): Bajaj ya abiria inauzwa bei poa

    Bajaj ya ABIRIA inauzwa. kampuni Piaggio IGOMA-MWANZA Uhakika elfu 20 kila siku Haina shida yoyote, njoo na fundi wako mkague inapiga kazi mpaka sasa njoo na 4mil uendelee na kazi Tuwasiliane 0767733555
  18. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Land Rover Discovery 3

    Land Rover Discovery 3 Inauzwa.., Gari haina tatizo lolote, Ipo katika hali nzuri sana. Model ya 2005, Automatic transmission, Milleage ni 100,000 kms. Kwa maelezo zaidi +255(0)694-206924 or +255(0)713-668656 Bei; Tsh. 58M (inazungumzika) Selling Land Rover Discovery 3.., The Car is in perfect...
  19. Peter_John

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Usb port 4 in one inauzwa

    Habari za wakati huu wamachama wote wa JF ,Nina uza hiki kufaa chenye usb ports 4 pamoja na waya mfupi wa type C, kifaa hiki kitakuwezesha kuchaji simu tano kwa wakati mmja endapo uta connect usb wires kwenye hizo ubs ports. Nakiuza sh elf Saba tu (7k). Nipo dar, ahsante
  20. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale HP Laptop 14 7 Genaration inauzwa

    Sina maelezo mengi ila dili na Specifications Hp Laptop 14 Processor Intel(R) Core i3-7020U CPU @2.30GHz (4CPUs) 7th Generation Memory 4GB Storage 256 GB SSD Battery 🔋 5Hrs Second Hand Tsh 400,000/= kwa member wa JF tu. #0622 901670
Back
Top Bottom