Salaam wakuu,
Nauza gari aina ya Pajero GDI.
Ya mwaka 2002.
Rangi ni nyeusi.
Namba B.
Cc 1500.
Bei 5 million.
Gari ni yangu mimi mwenyewe na haina tatizo lolote.
Karibuni.
Bajaj ya mizigo inauzwa. Milioni 3 tu
kampuni wanhoo
Nzima na iko kijiweni mpaka sasa inapiga kazi
Eneo: Mwanza Ndama/igoma
Piga simu; 0713096076
Nje ya mada:
Chukua tahadhari, usitumie hasira kufanya maamuzi. Risasi saba sio suluhu ya matatizo
Salon kali ya kiume inauzwa kwa bei ambayo ni sawa na bure. Salon ipo Mbeya mjini (Igawilo soko kuu) barabarani kabisa.
Salon inakila kitu ndani kama vile FLAT TV MPYA, HAIR CUT MACHINE, SALON CHAIRS, SALON WAITERS SOFA, HEATER, SUBWOOFER nk.
BEI NI SHILLING MILLION 1 NA LAKI 2 ( KODI YA...
Nauza nyumba yangu iliyopo mkoani Morogoro. Mimi ndio mmiliki wa hiyo nyumba.
Ukubwa wa kiwanja ni 1500qm.
Nyumba ni ya ghorofa.
Vyumba vitano (vinne ni master bedroom)
Dinning na kitchen ni open plan
Sitting room
Public toilet.
Kuna garage na chumba vimeunganishawa inaweza kuwa kama servant...
Pikipiki inauzwa 1,200,000 Tshs..
mawasiliano: 0713096076
Eneo: igoma mwanza
Aina ya Pikipiki: SAN LG
ENGINE SIZE: CC 150, 5 GEARS
HALI YA ENGINE: SAFI, HAINA TATIZO.
USAJILI: MC 324 CBT
INAPIGA BODA BODA, IGOMA MWANZA
Document zote zipo.
Habari ya jioni wakuu. Nawaletea mtambo huu wa ujenzi unauzwa.
Make: Caterpillar Excavator
Model: 320 CL
Masaa: 14600
Location: Morogoro
Bei: 120M
Haina shida yoyote ipo tayari kwa ajili ya kazi muda wowote, ukitaka kukagua basi nicheki
0755963775 calls/WhatsApp
Habari ya jioni wakuu.
Ninaileta kwenu hii gari ya kazi
Make: Mitsubishi Fuso
Engine:16D
Location: Dar
Bei: 47M kwa mwenyewe
NB: Gari ina turbo full miluzi na nguvu.
Ukitaka kukagua 0755963775 calls/WhatsApp
Nyumba inauzwa Bagamoyo mjini
Ina vyumba 3 vya kulala
Kimoja master
Eneo square mita 800
Bado mpyaaaaa
Bei 190M
Maongezi yapo 🙏🙏
Mawasiliano 0757854660
Compressor ina ujazo wa 150l, inatumia mafuta. Imetumika kwa mda wa mwezi mmoja tu haina shida yoyote.
Bei 950,000/=
Mawasiliano 0769452934 or 0685854119
Compressor ina ujazo wa 150l, inatumia mafuta. Imetumika kwa mda wa mwezi mmoja tu haina shida yoyote.
Bei 950,000/=
Mawasiliano 0769452934 or 0685854119
Professional Camera, Canon EOS 5Dsr inauzwa ikiwa imetumika mara 2 tu tangu inunuliwe mwezi uliopita.
Bei: 6.5m
Location: Tabata, DSM.
Package includes lens ya kisasa (24-105), Speedlight, stand, batteries na chargers zake.
Camera bado ni mpya. Haina tatizo lolote.
Kilo moja ya rubby inauzwa TZS billion 657
CONVERSION OF CARAT TO GRAMS
1 carat = 0.20 grams
Therefore 8400 carats -=420 grams= 0.42 kg
Hii rubby haifiki hata nusu kilo, lakini bei yake ni billion 276. Kwa hiyo kilo moja ya rubby inauzwa billion 657
Source: Ruby yenye thamani ya bil 276...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.