Hii sinema mbona imeshindikana jamani.
Yani hapa wazee wa Magomeni, Mbagala, Buguruni, Kimara, Tegeta, Kigamboni, Ilala, Kinondoni na n.k mkoa wote kila tukiwapigia simu wanajiuliza wazee wana mkoa ambao Raisi kaita kwa ghafla na hawa ndio wazee wajaze ukumbi .