Siko hapa kumbeza yeyote, ila kuna kitu mimi binafsi kimenishinda kabisa katika maisha yangu.
Huwa naona na kusikia watu wanasifu kiporo cha wali maharage au wali kisamvu na chai ya maziwa eti ni kitamu sana.
Mimi binafsi toka nikiwa mdogo chakula chochote kilicholala huwa siwezi kukila,yani...