Fichua uovu: Uyole, jimbo jipya la Tulia.
Nimefanya malipo ya kuunganishiwa huduma ya maji safi tangu mwezi wa nne, lakini hadi leo sijapatiwa huduma hiyo. Kila ninapofuatilia, naambiwa vifaa bado havijapatikana, niwasubiri hadi vitakapokuja.
Kinachoniumiza ni kwamba ninatumia gharama kubwa...