Bara bara ya kwenda na kutoka hospital ya mkoa wa pwani (Tumbi hospital) Ambayo ni ya kiwango cha rami imeharibika na kuwa mbovuu kwa muda mrefu na imejaa mashimo yanayo tanuka kila siku.
Mwezi wa kwanza mwaka huu waliyachimba ili kurekebisha barabara na wakayatelekeza bila marekebisho kiasi...
Anonymous
Thread
bara
hatari
hospital
kibaha
kuelekea
kutoka
mbovu
mkoa
mkoa wa pwani
njia
pwani
The Kenya Medical Association (KMA) raised concern over the arrest of Dr. Job Obwoka, linking the incident to the ongoing dispute over the ownership and management of Nairobi Hospital.
In a strongly worded statement, KMA criticized the circumstances surrounding the arrest, warning against the...
Kuna mvutano mkubwa ndani ya board ya The Nairobi Hospital baada ya madai kuwa baadhi ya maafisa wa serikali wanajaribu kuingilia uongozi wa hospitali hiyo ya kifahari.
Ripoti zinaonyesha kuwa mwenyekiti wa board, Dr. Barcley Onyambu, aliitwa katika ofisi za serikali na kupewa majina ya watu wa...
Juzi nimempoteza ndugu yangu tena kizembe kabisa ni kwa vile sikuwepo,Competent doctors wote mmeondoka hospital imeshikiliwa na intern doctors! Hospital ya rufaa inashikiliwa na interns mko serious kweli???
Kuna mtu niliwahi kumsikia kuwa temeke hospital ni kijiwe cha interns kweli nimeamini...
Comedian and activist Eric Omondi has been rushed to hospital after suffering injuries just hours into his ambitious charity walk from Nairobi to Mombasa, a journey covering more than 480 kilometres.
The walk, which is part of a fundraising campaign aimed at supporting vulnerable communities...
Ushauri kwa waziri wa afya ,wakati waziri wa ujenzi anapambana kuondoa foleni kwenye majiji na miji basi waziri wa afya atuondolee foleni hospital za kitaifa MUHIMBILI na Benjamin Mkapa hospital.
Serikali imekua na mipango mbalimbali kuhakikisha inainua uchumi kwa kuondoa foleni kwenye miji...
Kwa muda sasa hatupatiwi call allowance,, Extra duty allowance hali inayopelekea kukosa morali ya kazi.
Mara ya mwisho kulipwa ilikuwa mwezi wa 10/2025 nayo hayo malipo yalikuwa ya extra duty na call allowance za mwezi wa 03/2025.
Hivyo hadi sasa tunadai extra na call allowance za miezi...
Watu wanakufa sio kwa kusingizia sijui mungu kapanga ni uwongo.
Wanaopanga vifo mfe ni hizi hospital zetu za serikali asilimia kubwa.
Yani mtu unaumwa na pesa umekosa au ujatoa kidogo wakuokoea ,Wanaweza kukuacha hapo unajiona.
Kuna mzee mmoja alinyimwa kifaa cha kupumulia kisa pesa ya...
Tanzania lmekuwa zaidi ya somalia na al shabab hebu fikiria watu wanateka hadi maiti hospital sijawai kuona ugaidi kama huu hapo kwanza.
Mimi sijawai kuona kikundi cha kigaidi kikiteka maiti hospital, kwa taarifa za kuaminika police walipeka maiti hospital October 29 kisha wakaziteka na...
Thanks for sharing the frames. I’ll be careful and respectful in explaining what can be determined.
Is this AI-generated or real?
Based on the extracted frames, the video does not show typical signs of AI generation. Here’s why:
Why it appears real
Consistent lighting and shadows that are...
je, waziri mkuu haramu anajikomba kijifanya anatembelea hospital kwa kushtukiza ili kukwepa ghasia za wananchi.
Mimi nafikiri huu ndio mwisho wake hawezi kutembelea wananchi uso kwa uso nchi imeshagawanyika hii.
Hayupo na hata kuwepo mtu atakaye kuwa na ubavu wakuingia mitaani kwa watu ambao...
Habarini, naleta taarifa hii kwa masikitiko makubwa sana kwa mara nyingine tena kwa sababu jambo hili sio mara ya kwanza kuripotiwa
Mashine ya MRI (Magnetic resonance imaging) katika Hospitali ya Mloganzila ni mbovu takribani mwezi mmoja na nusu na hali ni mbaya, wagonjwa wengine inawapasa...
Wanaukumbi.
Israel directly targeted Palestinian rescue workers at the Nasser Medical Complex in Gaza's Khan Younis.
Journalists Mohammed Salama, Hussam Al Masri and Mariam Abu Dagga were among those killed, along with at least eight others
================
Israel ililenga moja kwa moja...
Nimeshuhudia mwenyewe initial costs nearing 900,000 Tsh. Bado vikoromboizo vingine.
Kweli "wanyonge" wa magufuli wataweza?
Main bussiness ni kukaa madarakani na Tupo Mlimani city kutakatisha fedha! johnthebaptist naomba maoni yako!
Habar wadau msaada wenu,Mzee wangu Umri miaka65 Leo umemkamata Mshipa wakorodani moja kuuma na nyonga kuachia,ikabid awahishwe hospital akapatiwa sindano Mshipa ukapoa,
Sasa nauliza tiba yake huwa ni nin,naje hospital Gani nzuri kufanya matibabu
#hospitalforsale
REGISTERED HOSPITAL FOR SALE
LOCATED AT TANDIKA,
TEMEKE DARESALAAM.
Complete x ray room, no x ray modality.
ULTRASOUND MACHINE
-four probes
-curved probe
- linear probe
-echo probe
-TVS probe
Dressing room 1,
Theater changing room 1,
Autoclave room 1,
OPERATING THEATER...
Takriban mwaka miaka 3 tangu Serikali JMT kutangaza kuchukua umiliki wa hospitali ya Dar Group kupitia Waziri wa afya wa wakati huo Ummy Mwalimu siku ya makabidhiano na kuiweka chini ya umiliki wa Taasisi ya moyo JKCI , pia ilichukua rasilimali zote ikiwemo majengo, vifaa tiba , pesa na...
Nimesikitika sana leo nimeona nije ku share kidogo JF, Wazazi nimewakatia Bima NHIF Standard, shida kila wakienda kutibiwa naambiwa wamekosa dawa wakanunue dawa Pharmacy za nje, nawatumia hela,
Sasa leo nimewaambia wanitumie picha ya hizo dawa nilichoona hadi nikaishiwa pozi, hospitali ya...
Wakuu, juzi kati hapa nilipatwa na kahoma nikawa sielewi elewi mwili wangu huu vipi. Basi mimi na JF Doctaz Jukwaa la Afya ni sehemu yangu ya kupokea maarifa mawili mawili matatu kuhusu magonjwa mbalimbali na Afya zetu, nikajikusanya nikaingia JF nikaanza kuandika dalili kwenye search box pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.