Moja ya mambo yanayoonyesha udhaifu wa hoja ni mtu kushindwa kujibu hoja kwa ushahidi na badala yake kukimbilia matusi, kejeli, mipasho au maneno ya mkato mkato.
Mtu anapoletwa hoja yenye dalili, ushahidi na mantiki, anatakiwa aidha:
Aikubali ikiwa ni ya kweli.
Ailetee hoja mbadala yenye...