hiv

The human immunodeficiency viruses (HIV) are two species of Lentivirus (a subgroup of retrovirus) that infect humans. Over time, they cause acquired immunodeficiency syndrome (AIDS), a condition in which progressive failure of the immune system allows life-threatening opportunistic infections and cancers to thrive. Without treatment, average survival time after infection with HIV is estimated to be 9 to 11 years, depending on the HIV subtype. In most cases, HIV is a sexually transmitted infection and occurs by contact with or transfer of blood, pre-ejaculate, semen, and vaginal fluids. Research has shown (for both same-sex and opposite-sex couples) that HIV is untransmittable through condomless sexual intercourse if the HIV-positive partner has a consistently undetectable viral load. Non-sexual transmission can occur from an infected mother to her infant during pregnancy, during childbirth by exposure to her blood or vaginal fluid, and through breast milk. Within these bodily fluids, HIV is present as both free virus particles and virus within infected immune cells.
HIV infects vital cells in the human immune system, such as helper T cells (specifically CD4+ T cells), macrophages, and dendritic cells. HIV infection leads to low levels of CD4+ T cells through a number of mechanisms, including pyroptosis of abortively infected T cells, apoptosis of uninfected bystander cells, direct viral killing of infected cells, and killing of infected CD4+ T cells by CD8+ cytotoxic lymphocytes that recognize infected cells. When CD4+ T cell numbers decline below a critical level, cell-mediated immunity is lost, and the body becomes progressively more susceptible to opportunistic infections, leading to the development of AIDS.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Nilikuwa nasoma kuhusu HIV nimegundua kuna uwezekano vijana wengi sana ni waathirika wasiojua

    Baada ya maambukizi , inachukua miaka 10 hadi 15 mtu kuanza kuona dalili za hiv, Kumbe wengi wazinzi naweza sema watoto wa 2000s walioanza uzinzi let's say 2018 wakiwa na miaka 18+, Dalili wanaweza kuanza kuziona around 2028 kuendelea. Kipindi chote hiki wanaweza kuishi kwa kuwaambukiza...
  2. Tanzania inatarajia kuanza kutumia kinga ya HIV

    ‎Katika kipindi ambacho mapambano dhidi ya maambukizi ya UKIMWI yamekuwa yakitegemea nidhamu ya matumizi ya kila siku ya dawa za (PrEP), au wengi wanavyo ziita kama ARV, ‎Sasa Tanzania inaanza kuingia katika hatua mpya ya kinga ya muda mrefu kwa kuanza matumizi ya Lenacapavir, dawa inayodungwa...
  3. O

    HIV Jab Sio “Raha Pass!” CHP wa Dagoreti South Awa wa Kwanza Kupokea, Aonya Vijana

    Mutua, a father of two and a Community Health Promoter (CHP) in Dagoreti South, has made history as the first person to receive the new HIV prevention injection. Using his platform, he’s mobilising youth to embrace the jab while reminding them it’s added protection, not a free pass. “Nikiwa CHP...
  4. Uganda receives 19,200 HIV long prevention injection drugs

    Uganda has received 19,200 Lenacapavir injection HIV prevention drug administered twice a year. This shipment that arrived on Tuesday February 24 will be distributed to districts with high prevalence of HIV This is a significant achievement by the Ministry of Health as it continues to battle...
  5. Zimbabwe Rolls Out Long-Acting HIV Prevention Injection

    Zimbabwe has begun rolling out a new long-acting HIV prevention injection called Lenacapavir, becoming one of the first countries in the world to introduce the treatment. The injection is administered twice a year and is designed to help prevent HIV infection, especially for people at higher...
  6. Maandamano yajayo siku kuu ya iddi yatafanikiwa kama yatafanyika hivi

    Maanadamano ya tarehe 29 yalikua na mwitikio mkubwa sababu ya urahis wake wa kukutana location zilikua familia na hazina barrier yoyote huitaji pesa wala gharama yoyote maandamano ya disember yalifeli sababu location ilikua ni moja kwa mkui wa mkoa ili kufika kwa mkuu wa mkoa kulikua na barier...
  7. Pesa ya dawa za HIV itoke kwenye ubunge wa viti maalumu badala ya kuwabebesha raia wa kawaida tu mzigo

    Nimeona taarifa ya tozo ya HIV katika ununuzi wa magari, sijui hii tozo kama ilipitishwa na linaloitwa bunge la JMT au hata kama ilipitishwa sijui ni lini kwa sababu nimeacha kabisa kufuatilia mambo ya bunge tangu mwaka 2021 Hata hivyo pamoja na kutawaliwa na watu waliojipachika wenyewe...
  8. Aliyeleta wazo la kodi ya “HIV Response Levy” unapoagiza gari, apate Pangusa kidudu kikatike!

    Kuongeza Laki 1 kwenye kila gari kuchangia ishu za Ukimwi naona kabisa ni kuongezeana mizigo isio na ulazima kwa Watanzania. Kuongeza Elfu 50 kwa EV na Laki 1 kwa magari ya kawaida na 200 kwa cc2500 kwenda juu ni unyonyaji. Kua na gari Tanzania ni anasa.
  9. Kipimo halali kinachokubalika Tanzania kujipima mwenyewe HIV ni kipi?

    Habari Ni kipimo gani ambacho kinakubalika na serikali ya Tanzania kujipima mwenyewe(self test) virusi vya Ukimwi(HIV) Ukienda kuuliza kwenye maduka ya dawa (pharmacy) hivi vipimo vya kupima kwa kutoa damu wengi wanauza kwa kificho kwa maana hairuhusiwi kumuuzia mtu binafsi. Kuna kipimo cha...
  10. Natafuta mwanamke wa kuoa awe HIV+

    Habari Mimi ni kijana mwenye miaka 30 Sifa zangu: Rangi: Mweusi sio sana Kimo: Mrefu wastani Elimu: Bachelor Degree ya Information Tech Kazi: IT Support (Sekta Binafsi) Mkoa kuzaliwa : Geita Kuishi: Arusha Dini: Mkristo Mwanamke sifa zake 1. Asiwe mfupi sana awe na kimo cha kawaida. 2.Awe...
  11. S

    Katika watu 20 utakao kutana nao msoga 18 wana HIV . Kuweni makini na msoga.

    Huku si watoto,si watu wazima wengi wanaishi na VVU tena zile advanced stages (stage 3-4) Ogopa unaenda hospitali unakuta top ten diseases miongoni mwao ni HIV.
  12. M

    Dawa ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yazinduliwa USA

    Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA) imeidhinisha dawa mpya iitwayo Lenacapavir ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya UKIMWI, ambayo imeelezwa kupunguza hatari ya maambukizi kwa asilimia 99.9. Dawa hiyo inayotolewa kwa sindano mara mbili kwa mwaka, itazinduliwa karibuni nchini humo na...
  13. Hivi kumbe!

    Kumbe Mungu ni neno la kisasa lenye muunganiko wa Macho Masikio pua ngozi na ulimi Bila kusahau Pumzi, yenye muunganiko wa pua ulimi na ngozi Mama je, wasawahili wanasema ni muunganiko wa Macho na Masikio Ninampongeza jamaa kwa kujificha, ila leo amepatikana, msalimie Shaban Robert Wako...
  14. Nimempenda msichana mrembo aliyezaliwa na HIV, nifanye nini?

    Wakuu habarini, Kuna msichana nimempenda kweli,ni mrembo mno, mwenye tabia ya upole na heshima. Shepu yake ni ya kuvunja kiti,kifuani chuchu sindano, nyuma mzigo amejazia wa maana kabisa. Hana kiki wala maigizo na ana heshima balaa. Amenieleza ukweli kwamba anaishi na HIV tangu kuzaliwa...
  15. S

    Nahitaji majibu kuhusu kirusi cha HIV

    Habari za wakati huu Ndugu zangu Wana-jamiiforums. Nina maswali kadhaa kuhusu kirusi kinachosababisha HIV. 1. Kwanini ni vigumu kirusi kinachosababisha HIV kufa hata kikiwa nje ya mfumo wa mwili wa binadamu? Mfano( Mtu mwenye maambukizi anashona viatu ila bahati mbaya sindano inamchoma...
  16. Nini kimesababisha South Africa kuwa na HIV AIDS kwa rate kubwa?

    Historia nayoijua ukimwi iliingia katikati mwa Africa Sasa ni miaka ya ngapi hio South wakapigwa na janga au Kuna mkono wa biashara kubwa ya dawa ilitakiwa yaani ni kama kamchezo wanatuchezea duniani. Wanatupiga na janga halafu wanatupa relief kidogo nakulilia Africa yangu vita kila kukicha na...
  17. M

    Amri Kiemba angalia gemu ya Coastal vs Azam sasa hiv uone kama kweli Azam wataweza kucheza na Simba hiyo February 24

    Azam hawajui hata wachezeje hapa Tanga vs Coastal union, sioni mipango yoyote ya wao kupata goli hapa, they are playing as if they have forced to play, hawa msije kusema Simba wamebebwa maana uwanja mzima namuona Fei na Nurdin t yule mmanga aliyetoka Singida Black stars. Butua butua nyingiiiii
  18. S

    Hivi kwanini watu wengi wanahisi kila mwenye maambukizi ya HIV alifanya ngono?

    Unakutana na mtu anaanza kumsema mwenzake huyo alikuwa mzinifu, Mara alikuwa na wanawake wengi maskini wakati mtu hajui hata K" inavyofanana. Kuna wengine tuliupata kwa kushare vitu vyenye ncha kali, Kuna wengine tuliupata kwa kuhudumia wagonjwa, Kuna wengine tuliupata kwa kuongezewa damu...
  19. T

    Wakati USAID Ikipotea, Tutegemee Vifo na Maambukizi Mapya ya HIV makubwa haijawahi tokea, Tusipochukua hatua ;it is really a timing Bomb!

    Leo nitajikita kwenye kupotea kwa misaada ya HIV/AIDS tu , tuna watanzania zaidi ya millioni na nusu wanachukua na kupata dawa za HIV/IADS bure kutoka kwenye shirika la USAID, hawa watanzania wanapata vipimo vya serostatus na viral loads kila mwezi kupima maendeleo yao bure kutoka kwenye shirika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…