heche

Heche is a small village located in the Sorab panchayat town of Sagara, taluka in Shimoga district in the Indian state of Karnataka. It is close to Chandragutti, which has an ancient fort and temple. Heche has a few ancient temples, including the Kalikamba Temple, Eshwara (Pachalingeshwara) and Anjaneya temple.

View More On Wikipedia.org
  1. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche: Rais anasema sio wajibu wa serikali kutengeneza ajira, msoma ilani anasema watatengeneza ajira milioni 8

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara John Heche ameeleza kuwa nchi ya Tanzania inayo fursa ya kutengeneza ajira za kutosha kwa Watanzania iwapo tu kutakuwa na mifumo madhubuti ya kiutawala na kiutendaji ambayo amedai kuwa kwa sasa haipo. Heche ameyasema hayo...
  2. U

    JamiiForums Tanzania Nashauri John Heche akamatwe haraka na kushtakiwa kwa . matamshi hatarishi yanayoharibu tashwira nzuri ya taifa na Rais wetu

    Wadau hamjamboni nyote? This is so serious, the man should be taken into jail Ni mtu anahatarisha Usalama wa ndani na kuharibu tashwira nzuri ya Rais wetru, he's so deadly dangerous judging by his statements . the law enforcement agency should do the needful before it's too late. It's now...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Hotuba Nzito ya Heche Moshi Amkosoa Vikali Rais Samia Kuhusu Sakata la Mchungaji Gwajima

    Yaani katika mazingira haya Heche anaelimisha Watanzania. Raisi anachamba watu huko kwenye uchawa. Tuombee Mungu taifa hili https://youtu.be/wCKdLPq3-kU?si=y54SPPvcUkVuMbYd
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Moshi: John Heche atembelea Kaburi la Marehemu Philemon Ndesamburo, na kuweka mashada ya maua

    Asubuhi ya leo tarehe 30 Mei 2025 Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara John Heche pamoja na ujumbe wake wakiwa Moshi kuendelea na Operesheni #NoReformsNoElection wamepata wasaa wa kutembelea kaburi la mwasisi wa Chama Marehemu Philemon Ndesamburo, na kuweka mashada ya maua kama ishara ya kutambua...
  5. PendoLyimo

    JamiiForums Tanzania Lema na Heche wakivutana kuhusu bodaboda

  6. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche: CCM wametulazimisha tuende kwenye uchaguzi watuibie sisi tumekataa, Inawezekanaje Haji Manara awe refa mechi ya Simba na Yanga?

    "Inawezekanaje mechi inachezwa kati ya Simba na Yanga alafu refa ni Haji Manara? Yaani mtu atachezewa faulo katikati yeye atapeleka kwenye penati wakati hata hakuchezewa kwenye box. Au mshika kibendera ni Ahmed Ally, offside zote atasema ni magoli. CCM wametulazimisha tuende kwenye uchaguzi...
  7. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche: Umasikini wetu ni umasikini wa makusudi, inawezekanaje eneo lenye madini yasiyopatikana kokote duniani halina maji ya kunywa mpaka leo?

    "Umasikini wetu ni umasikini wa makusudi Hivi inawezekanaje eneo linalotoa madini yasiyopatikana kwingine kokote duniani halina maji ya kunywa mpaka leo? Maji yanatoka ziwa Victoria yanakwenda Misri Jangwani watu wote wanapata maji, kutoa maji kutoka Arumeru yafike hapa imeshindikana miaka 63...
  8. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM nawakumbusha tu kuwa Heche nae ana umri wa kugombea Urais

    Hadi kufikia mwishoni mwa June kuna uwezekano Heche akawa Equivalent au Equal na Lissu. Mbaya zaidi atakuwa ameshazunguka nchi nzima kuhutubia wananchi. CCM wakajifunze Senegal kwa Sonko na Faye. Utawapa kesi wote au utateka wote? Wakati ukuta.
  9. chiembe

    JamiiForums Tanzania Heche na genge lake wamefanya ziara Mkoa wa Kilimanjaro, lakini wamegwaya kupita Wilaya ya Hai. Hakika Mbowe anaogopwa

    Chadema wamemaliza ziara Mkoa wa Kilimanjaro. Ajabu ni kwamba wamepita Wilaya zote isipokuwa Wilaya ya Hai. Hakika wanamuogopa Mbowe, wanawaogopa wana Hai
  10. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo Chadema imebakia na kiongozi mmoja tu Heche sio?

    Baada ya maamuzi ya msajili so to say sasa CCM na serikali yake inapambana na Heche tu sio? Hata marefa kwenye kutoa kadi nyekundu huwa wanakuwa na aibu aisee hii sio mchezo! Je ni udhaifu wa CCM na serikali kwenye mapambano au ni woga?
  11. I

    JamiiForums Tanzania Heche kumtunishia misuli msajili wa vyama – analazimisha CHADEMA kufutwa?

    Vyama vya siasa nchini vinaendeshwa kwa mujibu wa sheria, na Msajili wa Vyama vya Siasa ana jukumu la kuhakikisha kuwa sheria hizo zinatekelezwa ipasavyo. Hakuna chama kilicho juu ya sheria. Lakini ni wazi kwamba baadhi ya viongozi wa juu ndani ya CHADEMA, akiwemo John Heche, wameamua kwa...
  12. technically

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Heche kuvamiwa na wasiojulikana

    Kabla jogoo hajawika atanikana Mara tatu huu ulikuwa ni ujumbe wa Yesu kwa wanafunzi wake'. Kuna mashaka na wasiwasi kuwa muda ujao ndani ya ziara za kasikazini Heche atasalitiwa kwa kuchomwa na mtu wake wa karibu na kuchukuliwa na wasiojulikana na watakao itwa majambazi badae kwenye report...
  13. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Heche Asema CHADEMA haileti wanaharakati kutoka nje, LHRC ndio inawaleta

  14. Dr Akili

    JamiiForums Tanzania Hivi Tundu Lissu, Heche na Mnyika watakuwa kwenye hali gani ikitokea ghafla Freeman kajiunga na CHAUMA akiwa mgombea urais wa JMT?

    Jee watazimia? Pressure zao zitapanda au zitashuka? Wataweza kuendelea na hiyo no reforms no election? Jee wataporomosha matusi hadi ya nguoni? Mimi nafikiri tu kwa sauti? Jee wewe unafikiri kipi kitawapata hawa watu ikitokea hivyo?
  15. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Heche asema wamemuandikia barua Mwenyekiti Tume ya uchaguzi wakiomba mazungumzo

  16. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari vinaua CHADEMA kwa kuripoti wanaohama — asema Heche, Makamu Mwenyekiti CHADEMA bara

    VYOMBO VYA HABARI VINAUA CHADEMA KWA KURIPOTI WANAOHAMA — ASEMA HECHE, MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA BARA Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, ameibua hoja nzito inayolenga mahusiano ya vyombo vya habari na vyama vya siasa, akidai kuwa baadhi ya vyombo vya habari vinahujumu...
  17. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania GE2025 John Heche: CHADEMA haileti Wanaharakati Kutoka nje, LHRC ndio inawaleta

    CHADEMA HAILETI WANAHARAKATI KUTOKA NJE, LHRC NDIO INAWALETEA — ASEMA HECHE, MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA BARA Katika mkutano uliojaa msisimko wa kisiasa uliofanyika leo Mei 23, 2025, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, ameweka wazi msimamo wa chama hicho kuhusu tuhuma...
  18. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Video: Maoni ya Wananchi sakata la G55 kuhamia CHAUMMA, mmoja asema 'walizoea kula kwa mirija Lissu na Heche wameikata'

    Wakuu, hapa nimewasogezea video ambayo wananchi wanatoa ya moyoni Sakata zima la waliokuwa viongozi CHADEMA kuhamaia CHAUMMA, ambapo wamewalaumu viongozi hao kukosa msimamo thabiti wa kupigania maslahi ya wananchi bali matumbo yao binafsi
  19. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche aweka wazi kwanini wanaikomalia 'No refoms, No election' mpaka sasa

    Wakuu Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche ameeleza kwanini wanaona ajenda ya No refoms No election ni muhimu kwa sasa. Anaanza kwa kuhoji, 1. Je, tunachokipigania ni cha kweli kwenye ajenda ya No Reforms No election? Ni kweli, Uchaguzi wa nchi hii...
Back
Top Bottom