hamas

Hamas (Arabic: حماس Ḥamās, an acronym of حركة المقاومة الاسلامية Ḥarakat al-Muqāwamah al-ʾIslāmiyyah [Islamic Resistance Movement]) is a Palestinian Sunni-Islamic fundamentalist but pragmatic, militant, and nationalist organization. It has a social service wing, Dawah, and a military wing, the Izz ad-Din al-Qassam Brigades. It won the 2006 Palestinian legislative election and became the de facto governing authority of the Gaza Strip following the 2007 Battle of Gaza. Israel and Hamas have since engaged in several wars of varying intensity. Canada, the European Union, Israel, Japan and the United States classify Hamas as a terrorist organization. Australia, New Zealand, Paraguay and the United Kingdom classify only its military wing as a terrorist organization. It is not considered a terrorist organization by Brazil, China, Egypt, Iran, Norway, Qatar, Russia, Syria and Turkey. In December 2018, the United Nations General Assembly rejected a U.S. resolution condemning Hamas as a terrorist organization.Hamas was founded in 1987, soon after the First Intifada broke out, as an offshoot of the Egyptian Muslim Brotherhood which in its Gaza branch had previously been nonconfrontational toward Israel and hostile to the Palestine Liberation Organization (PLO). Co-founder Sheik Ahmed Yassin said in 1987, and the Hamas Charter affirmed in 1988, that Hamas was founded to liberate Palestine, including modern-day Israel, from Israeli occupation and to establish an Islamic state in the area that is now Israel, the West Bank and the Gaza Strip. Since 1994, the group has frequently stated that it would accept a truce if Israel withdraws to the 1967 borders paid reparations, allowed free elections in the territories, and the right of return of Palestinian refugees.Hamas's military wing has launched attacks against Israeli civilians and soldiers, often describing them as retaliatory, in particular for assassinations of the upper echelon of their leadership. Tactics have included suicide bombings and, since 2001, rocket attacks Hamas's rocket arsenal, though mainly consisting of short-range homemade Qassam rockets with a range of 16 km, also includes Grad-type rockets (21 km by 2009) and longer-range (40 km) if unreliably aimed rockets that have reached major Israeli towns such as Beer Sheva and Ashdod, and some that have struck cities like Tel Aviv and Haifa. Human Rights Watch has condemned as war crimes and crimes against humanity both Hamas and Israel for attacks on civilians during the conflict, stating that the rationale of reprisals is never valid when civilians are targeted.In the January 2006 Palestinian parliamentary elections, Hamas won a majority in the Palestinian Parliament, defeating the PLO-affiliated Fatah party. After the elections, the Quartet (the European Union, Russia, the United Nations and the United States) made future foreign assistance to the Palestinian National Authority (PNA) conditional upon the PNA's commitment to nonviolence, recognition of the state of Israel, and acceptance of previous agreements. Hamas rejected those conditions, which led the Quartet to suspend its foreign assistance program and Israel to impose economic sanctions on the Hamas-led administration. In March 2007, a national unity government headed by Prime Minister Ismail Haniyeh of Hamas was briefly formed, but this failed to restart international financial assistance. Tensions over control of Palestinian security forces soon erupted in the 2007 Battle of Gaza, after which Hamas took control of Gaza, while its officials were ousted from government positions in the West Bank. Israel and Egypt then imposed an economic blockade of the Gaza Strip on the grounds that Fatah forces were no longer providing security there.

View More On Wikipedia.org
  1. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Majeshi ya Israel Lt Jeneral Eyal Zamir awatishia viongozi wa Hamas nje ya nchi: 'Tutawafikia Popote walipo!!

    Mkuu wa IDF awatishia viongozi wa Hamas nje ya nchi: 'Tutawafikia pia' Mkuu wa IDF, Lt. Jenerali Eyal Zamir (kushoto) akizungumza katika tathmini pamoja na Mkuu wa Kamandi ya Kaskazini Meja Jenerali Rafi Milo, Agosti 31, 2025. (IDF) Kufuatia mauaji ya Israel kwa maafisa wakuu wa Houthi na...
  2. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kituu pekee cha kukikomboa kutoka palestina na pawe huru ni hamas, muslim brotherhood, IRGC na uislamu wa itikadi ya msimamo mkali.

    Wala gaza sio wahanga wa uyahudi. Wala gaza sio wahanga wa u-magharibi. Bali gaza ni wahanga wa kufanyika midoli ya jihadi uchwala. Masikini kwa bahati mbaya hawatakaa hawaelewe kwa maana tangu utotoni wamefundishwa kumchukia mbwa wa jirani wakati wa nyumbani kwake ndio anakula kuku wake.
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Yule msemaji wa Hamas Abu Ubaida IDF wamepita naye

    Tathmini za Israel zinaonyesha kuwa Abu Ubaida ameangamizwa bila huruma yoyote Afisa mmoja mkuu wa Israeli alisema: "Ikiwa angekuwa huko, hakuna uwezekano wa kunusurika jaribio hili la mauaji." Taarifa za awali kuhusu mahali alipo zilipokelewa jana usiku, na saa 5:30 jioni hii fursa...
  4. Ritz

    JamiiForums Tanzania Hamas limewaua wanajeshi kadhaa wa Israel huko Gaza na kuwateka wengine 4

    Wanakumbi. Kundi la Hamas limewaua wanajeshi kadhaa wa Israel huko Gaza na kuripotiwa kuwakamata wengine 4. Hata hivyo Israel imedai kuwa ni mwanajeshi mmoja tu aliyeuawa na wengine 11 wako katika hali mbaya. Israel imeweka udhibiti mkali wa vyombo vya habari kuhusu ripoti zinazohusiana na...
  5. Sir John Deere

    JamiiForums Tanzania Gaza City: Hamas wateka wanajeshi wanne wa Israel huku wakiwaua wengine 9 katika shambulizi la kushtukiza

    Kikosi cha wapiganaji wa al qassam kimefanya shambulio hivi Leo na kufanikiwa kuwateka wanajeshi wanne wa Israel na kuuwa wengine 9 na kuacha majeruhi wengi. katika tukio linaloendelea katika mji wa Gaza. Helikopta 8 za jeshi la Israel zimeonekana zikibeba maiti na majeruhi kuwapeleka hospitali...
  6. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Hamas Yatishia kuwachinja Mateka Waisraeli huku wakiwaonyesha kwenye Kamera!!!!

    Hamas Yatishia Kuwachinja Mateka Waisraeli kwenye Kamera Katika taarifa yake ya kusikitisha leo, msemaji wa Hamas Abu Ubaida alitangaza kwamba Hamas iko "tayari ya hali ya juu" kwa uwezekano wa IDF kuingia katika mji wa Gaza - na kutoa tishio la moja kwa moja dhidi ya mateka wa Israel ambao...
  7. Ritz

    JamiiForums Tanzania Baada kushindwa kupambana na Hamas Israel inapambana na raia na watoto ililenga moja kwa moja waokoaji wa Kipalestina hospital Nasser. Khan Younis

    Wanaukumbi. Israel directly targeted Palestinian rescue workers at the Nasser Medical Complex in Gaza's Khan Younis. Journalists Mohammed Salama, Hussam Al Masri and Mariam Abu Dagga were among those killed, along with at least eight others ================ Israel ililenga moja kwa moja...
  8. Webabu

    JamiiForums Tanzania Kama Gaza kuna Hamas huku kwa Palestine kuna nani mpaka majumba yao yanavunjwa na miti yao inang'olewa

    Hawa watu ni waovu na wenye laana ya kudumu. Matendo yao ya uovu daima huwa yanavuka mpaka wa uovu unaofanywa na binadamu wengine.Na siku zote ni wadanganyifu sana. Wakishakudanganya wakapata kidogo kutoka kwako wataendelea kukudai kilichobaki kidogo kidogo mpaka wakumalize uwe kama mtumwa wao...
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wakiringishia msosi wenzao wenye njaa baada ya kuiba misaada ya vyakula

  10. mcTobby

    JamiiForums Tanzania GAZA CITY kama ngome ya mwisho ya nguvu ya Hamas , ni kama mto Rhine ulivyokuwa ngome ya mwisho nguvu ya Ujerumani chini ya Adolf Hitler

    Wakati Ujerumani alikuwa akipokea kichapo kitakatifu kutokea upande wa mashariki na jeshi la Red army la mrusi, upande wa magharibi ya Ujerumani nako kichapo kilikuwa si haba... Ujerumani wakati wa vita Ya pili ya dunia ilikuwa inategemea mto mkubwa uliokuwa mpakani kati yake na USwiss...
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Hamas zaidi ya 10 waangamizwa kwenye jaribio la kuteka askari wa Israel

    Shambulizi lililoratibiwa na Hamas kwenye Kituo cha IDF Karibu na Khan Yunis IDF ilithibitisha kuwa Hamas walianzisha shambulio lililoratibiwa kwa kutumia bunduki na vifaru, na hivyo kufanikiwa kuruka kizuizi cha karibu na Khan Yunis. Askari mmoja kutoka Brigedi ya Kfir alijeruhiwa vibaya na...
  12. Webabu

    JamiiForums Tanzania Hamas na waisrael wameamua vita sasa basi.Netanyahu akilazimisha hatakuwa na pa kutokea.

    Taarifa za karibuni kabisa zinaeleza kuwa makundi ya wapiganaji huko Gaza wakiongozwa na Hamas wamesema wamekubaliana na mpango wa kumaliza vita vya miaka miwili kati yao na Israel. Hatua hiyo imekuja kufuatia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea nchini Misri yakisimamiwa na Qattar na Misri...
  13. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Marwan Barghouti anayetumikia kifungo kwa Ugaidi anatarajiwa kuwa kiongozi wa Wapalestina baada Magaidi wa Hamas kufurushwa Gaza

    Waziri wa Usalama wa Taifa Itamar Ben Gvir ametembelea gereza la mfungwa mashuhuri wa ugaidi wa Kipalestina Marwan Barghouti na kutoa tishio, picha zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii, na kuibua hasira kutoka kwa Mamlaka ya Palestina. Barghouti, 66, ambaye amekuwa jela tangu 2004 baada...
  14. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas huko Gaza wanaendelea kuteka nyara misaada inayopelekwa huko

    Magaidi wa Hezbollah wanaendelea kuteka nyara misaada ya chakula ambayo ilipaswa kuwafikia wananchi wa Palestina badala yake misaada hiyo magaidi hao wanaipeleka kwenye Mahandaki!!!
  15. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Muslim Brotherhood sio tu shirika la kigaidi, ni mama wa kiitikadi wa vikundi vyote kuu vya kigaidi: Al-Qaeda, ISIS, Hamas, Boko Haram, Al-Shabab, etc

    Hii ni syndicate inayojificha nyuma za mamlaka kwenye mataifa ya uarabuni, kwa kuwaaidi viongozi wa mataifa haya usalama, ulinzi, wa kuendelea kuwepo madarakani au kutowekwa hatiani ili wao wapewe njia rahisi waendeleze itikadi yao ya machafuko na kufadhili vikundi vya kuleta machafuko mashariki...
  16. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania German wagundua Hamas wanatengeneza video za kugombea chakula kwa sururia na mabakuri

    Shirika la Ujerumani lililotaka kuchunguza ili liiwekee vikwazo Israel kwa Kusababisha Njaa na Mateso kwa Wa gaza limegundua kuwa ni maigizo yanayoandaliwa a Hamas kuhadaa Dunia kampeni ambayo imefanikiwa kwa maigizo kama hayo kwa zaidi ya miaka miwili hadi mashirika yakaamua kuchunguza hiyo...
  17. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Kwa uovu wanaoufanya Magaidi wa Hamas na Islamic Jihad hawapaswi kupewa nafasi ya kuishi katika duniani hii!!!!

    VIDEO ya kuhuzunisha ya sekunde 40 inayomuonyesha mateka wa Israel Evyatar David, akionekana kuwa na mifupa na dhaifu ndani ya handaki akilazimishwa kuchimba kaburi lake mwenyewe. Video hii ilitolewa kwa idhini ya familia yake, baada ya Hamas kuchapisha kanda hiyo bila ridhaa yao. Familia...
  18. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Trump: Njia ya haraka ya kumaliza mateso ya Gaza ni Hamas kujisalimisha na kuwaachilia mateka wote

    Trump: Njia ya haraka ya kumaliza mateso ya Gaza ni Hamas kujisalimisha, kuwaachilia mateka Rais wa Marekani Donald Trump anasema kundi la kigaidi la Hamas linapaswa kujisalimisha na kuwaachilia mateka 50 linalowashikilia ili kumaliza njaa na masaibu mengine huko Gaza. "Njia ya haraka zaidi ya...
  19. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Uingereza yapanga Kutambua Taifa la Palestina Septemba Ikiwa Israel Haitasitisha Vita Gaza

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kuwa ifikapo Septemba mwaka huu, Uingereza itaitambua rasmi Palestina kama taifa huru endapo Serikali ya Israel haitachukua hatua madhubuti kukomesha vita na janga la kibinadamu katika Ukanda wa Gaza. Taarifa hiyo imetolewa Julai 29, 2025...
  20. H

    JamiiForums Tanzania Utawala wa Wapalestina Wawataka Hamas Kusalimisha Silaha. Wasema Hawaungi Mkono Ugaidi

    Utawala wa Wapalestina, mjini Ramallah, umesema kuwa wao ndio mamlaka halali ya utawala wa eneo lote la Wapalestina, na kwamba Kundi la kigaidi la Hamas, lisalimishe silaha zake kwa utawala halali, na wasijihusishe na chochote kwenye utawala wa wapalestina. Waziri mkuu. Mohammad Mustafa ...
Back
Top Bottom