halmashauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Rais, naomba kazi ya Ukurugenzi wa Halmashauri

    Mheshimiwa Rais, Ninaomba kazi ya ukurugenzi wa halmashauri hasa katika maeneo ya kilimo au wafugaji kwasababu ninataka kutumia uzoefu na elimu yangu katika kuimarisha ushirika wa uzalishaji mali katika kilimo au ufugaji. Nina uzoefu wa muda mrefu katika kujenga uwezo wa taasisi ndogo ndogo za...
  2. mgt software

    JamiiForums Tanzania Ijue Muleba, halmashauri tajiri ambayo iliwahi kumiliki Meli ikaliwa na mchwa

    Wana JF, Halmashauri ya Muleba ndiyo inaoongoza kuwa na utajiri mkubwa kuliko wilaya zote za Kagera kimapato. Wilaya hii ina majimbo mawili, Muleba Kaskazini na Muleba Kusini. Sehemu kubwa ya utajiri wake ni kutokana kilimo cha kahawa, ndizi, mihogo, Karanga, maharage na mtama, pia wilaya hiii...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu tupe ufafanuzi wa hii barua kwa kuwa imekutaja

    Serikali imesema masaa mawili ya ziada hayana tija tena baada ya utafiti. Mbona baadhi ya shule bado wanachangisha? Nawasilisha tafadhari ☝️
  4. funaku

    JamiiForums Tanzania Baraza la madiwani Halmashauri ya Rombo lahamia CCM

    Katika muendelezo wa opersheni kali ya kuifuta Chadema mwenyekiti wa UVCCM Taifa amewapokea madiwani zaidi ya 27 wa baraza la madiwani halmashauri ya Rombo ambao wamajiunga CCM na kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais Magufuli. Huu ni mwanzo tu...kazi inaendelea
  5. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Je, yaliyotokea sekta ya Korosho na Halmashauri kutokea pia kwenye Sekta ya Utalii?

    Amani iwe kwenu wadau! Kwa kumbukumbu zangu kuna mabadiriko ya sheria yaliyohusisha Fedha za zao la korosho na vyama vya ushirika. Mabadiriko yale yalipingwa vikali sana na wabunge wa kusini akiwemo Nape na kupelekea Hawa Ghasia kutumia diplomasia kujiuzuru uwenyekiti wa kamati moja ya Bunge...
  6. B

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mkakati wa kumg’oa Mwenyekiti Halmashauri ya Siha waiva. Sasa kung’olewa rasmi kesho, vita ya Ubunge yawa sababu

    Mpango wa kumg’oa mkiti wa halmashauri ya Siha waiva,sasa kung’olewa rasmi kesho . - Vita vya ubunge vyatajwa kama sababu ya kung’olewa Mwandishi wetu, Siha Mkakati wa kumvua madaraka Mwenyekiti wa halmashauri ya Siha mkoani Kilimanjaro,Godson Ngomuo uliokuwa ukiratibiwa hivi karibuni na...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi ya dereva wa mitambo daraja II, Halmashauri ya mji Geita

    TAREHE: 26/05/2020 YAH: TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA DEREVA WA MITAMBO DARAJA II – NAFASI 3 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita anawatangazia nafasi za kazi na anakaribisha maombi kwa waombaji wenye sifa za kujaza nafasi za uendeshaji wa mitambo ya “Roller, Excavetor na Grader” kama...
  8. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Fedha ya Serikali inavyopigwa na Halmashauri kupitia Waalimu

    Pamoja na fedha ya Serikali kuwekewa Ulinzi mzito kwenye awamu hii ya tano lakini bado wapo wajanja wanaendelea na upigaji tena kiulaini. Ipo hivi, huu mchezo unapigwa Halmashauri za Wilaya/Manispaa. Wakitaka kupiga hela wataanza kutoa Taarifa kwa wafanyakazi katika Wilaya husika kwamba...
Back
Top Bottom