hii CCM chini ya MATAGA inatu embarass sana sisi wafia chama.Taarifa Kwa Umma Kutoka Chama Cha Mapinduzi-CCM Kuhusu Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM Kilichoketi Leo Chini ya Mwenyekitiwa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungabo wa Tanzania Dkt John Magufuli
View attachment 1542134
Taarifa Kwa Umma Kutoka Chama Cha Mapinduzi-CCM Kuhusu Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM Kilichoketi Leo Chini ya Mwenyekitiwa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungabo wa Tanzania Dkt John Magufuli
View attachment 1542134
Polepole jina rasmi la nchi yetu ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) na sio Serikali ya Muungano wa Tanzania (SMT)!Taarifa Kwa Umma Kutoka Chama Cha Mapinduzi-CCM Kuhusu Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM Kilichoketi Leo Chini ya Mwenyekitiwa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungabo wa Tanzania Dkt John Magufuli
View attachment 1542134
Haka kaujumbe kamezagaa hadi kwa mabeberu, Ila kazuri . kwakweli nimekapenda.
MBONA OCTOBER 28, 2020 NOT THAT FAR, TUOMBE UZIMAhii CCM chini ya MATAGA inatu embarass sana sisi wafia chama.
yaani imefikia mahali tunalinganishwa vibaya hivi ni vyama vichanga kweli?
aaargh!
View attachment 1542141
USA na uchumi wa juu napo ajira hakuna hivyo kauli yako na kubeba kwako huu ujumbe kunaonyesha jinsi gani ulivyo "mjinga"
MBONA OCTOBER 28, 2020 NOT THAT FAR, TUOMBE UZIMA
hii CCM chini ya MATAGA inatu embarass sana sisi wafia chama.
yaani imefikia mahali tunalinganishwa vibaya hivi na hata hivi vyama vichanga kweli?
aaargh!
View attachment 1542141
Mataahira ya Lumumba hayanaga elimu hayo!Polepole jina rasmi la nchi yetu ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) na sio Serikali ya Muungano wa Tanzania (SMT)!
hao na wenzao NCCR, TLP, UDP, ADP tumewameza ndani ya chama chetu CCM!Umesahau CUF ____ kuleta furaha usoni mwa wananch!
😁😁dera bila tako linakuwa ni kanzu🙈🙈uchumi wa kati bila ajira ni sawa na dera bila tako.
Nimelipenda hilo bango.
Kamati kuu imekaa kumsifia mtu basi ndio polepole anaripoti bila aibu hapo.Taarifa Kwa Umma Kutoka Chama Cha Mapinduzi-CCM Kuhusu Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi-CCM Kilichoketi Leo Chini ya Mwenyekitiwa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungabo wa Tanzania Dkt John Magufuli
View attachment 1542134