haki jinai

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr Adam Francis

    PostGE2025 Reforms kwenye Jeshi la Polisi tu hazitoshi, mfumo mzima wa haki jinai utazamwe upya

    Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kauli na vitendo vya Mh. Simbachawene vinanipa matumaini kuwa huenda tatizo la police kuwa kero kwa wananchi likawa limepata ufumbuzi. Katika kipindi hiki kifupi toka ameshika hatatamu, angalau tumesikia akikemea police kuendesha ukamataji usiozingatia...
  2. Heparin

    PostGE2025 Rais Samia unatupoteza muda na kufuja pesa za walipa kodi, tume ya haki Jinai ya Jaji Chande ilimaliza kila kitu

    Tume ya Haki Jinai iliyoongozwa na Jaji Othman Chande iliyozunguka nchi nzima mwaka 2023 ilimaliza kila kitu. Ilishauri mambo mazuri sana ambayo kama yangefanyiwa kazi, utekaji, wasiojulikana, changamoto za mahakama zetu pamoja na haki zingine za raia zingekuwa hazibagazwi na kubanagwa kama...
  3. K

    Mapendekezo ya tume ya "Haki Jinai" yalipuuzwa yote sasa “Uchunguzi wa matukio” yatapuuzwa zaidi na Huyu Mama

    Watanzanzania sasa bila Jaji Warioba mnajidanganya. Waliunda tume kabla ya uchaguzi wakapuuzwa sasa mnafikiri watanzania watawezaje kuamini wajumbe wale wale kuongelea vitu vilevile na wakati huu iwe tofauti!!!! ni kupoteza muda wa watu na haitasaidia. Mapendekezo yao yangesikilizwa...
  4. M

    TUMEs: Haki Jinai, 4R, Tume Huru ya Uchaguzi, Mauaji Ali Kibao, Padre Kitima? Utawala wa Tume USELESS kupoza watu

    Tume zimekuwepo. Maridhiano yamekuwepo. Ahadi zimekuwepo. Zote hazijaleta muafaka kwasababu lengo.soho kutatua matatizo, bali ni kupoza joto. Haya majitu ni SHETANI wa DAMU. Tanzania kwasasaa inahitaji UWAJIBIKAJI na HAKI vinginevyo MAUAJI ma UKATILI wa aina hii HAUTAKWISHA bali utaendelea...
  5. Jamiitrailer

    PreGE2025 Rais Samia aliunda tume kuchunguza mfumo wa Haki jinai, akumbushwe kumfikisha mtu mahakamani bila upelelezi kukamilika ni kukiuka Haki jinai

    Wadau, 2023 rais Samia aliunda tume ya kuchunguza mfumo wa utoaji haki....Haki Jinai, kuangalia namna polisi, Takukuru, kitengo cha madawa ya kulevya, magereza na ofisi ya mwendesha mashtaka zinavyofanya kazi zao. Tume ilianzishwa kutokana na malalamiko ya wananchi ya kila siku kuhusu idara hizo...
  6. JanguKamaJangu

    Wakili Peter Madeleka: Kuna changamoto ya mifumo ya utoaji haki jinai

    Kesi ya jinai inayomkabili Afisa wa Jeshi la Polisi Fatma Kigondo, anayejulikana kama 'Afande', ikimhusisha na tuhuma za kuratibu ubakaji na ulawiti wa kundi dhidi ya binti wa Yombo Dovya, Dar es Salaam, imeendelea kupata changamoto baada ya kutolewa uamuzi mdogo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
  7. G Jonathan Kamenge

    Kama Vyombo vya Dola vingekuwa vinazingatia Sheria na Mfumo wa Haki Jinai wasingekuwa wanahusishwa na matukio ya utekaji

    Mzee Butiku anasema IGP, Mkuu wa Usalama wa Taifa, na hata CDF "wasitwambie hawajui". Lakini huenda hawajui! Ingawa kama ni kweli kwamba hawajui, maana yake ni kwamba hali ya Usalama wa taifa letu ni mbaya kuliko wakati wowote ule katika historia yetu walau kwa kipindi cha miaka ishirini...
  8. J

    Hali ya Mifumo ya Haki Jinai na Haki za Binamu nchini; Je, Mamlaka zinatekeleza Mapendekezo ya Tume ya Rais ya Haki Jinai?

    Kumekuwa na ongezeko la vitendo vya uvunjifu wa Haki za Binadamu ikiwemo matukio ya Watu kukamatwa, kushikiliwa bila taarifa, kupotea, kutekwa na kujeruhiwa na wengine kutojulikana kabisa walipo hadi sasa. Pia kumekuwa na ongezeko la matukio ya Ukatili wa Kijinsia na watoto ambapo siku za hivi...
  9. Hismastersvoice

    Tume ya haki jinai waliomo hawajui majukumu yao.

    Juzi nilimsikiliza mwenyekiti wa tume ya haki jinai akijibu mapigo baada ya tume hiyo kulalamikiwa, pamoja na kumsikiliza mpaka mwisho alichokuwa anakisoma kwa kubabaika, hakuna mahali alisoma mafafanikio waliyoyapata zaidi ya kutujulisha majukumu ya tume! Hii inamaana wako ofisini wanekaa...
  10. J

    Uko wapi uwezo wa Tume ya Haki Jinai kwenye masuala ya ukatili?

    Habari zenu Wanajamvi. Nimefuatilia sakata la dada JM kufanyiwa ukatili wa kubakwa na kulawitiwa kwa kundi na vijana watano wanaosemekana wamepewa order na Afande. Kinachonitia mashaka kuhoji tume ya haki jinai Tanzania ni ukimya wao juu ya suala hili je ni ipi legitimacy ya kuwepo kwa tume...
  11. benzemah

    RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

    Tumeona taarifa kwenye vyombo vya habari yenye kichwa cha habari kinachosema, "RPC; ANAYEDAIWA KUBAKWA NA KULAWITIWA ALIKUWA KAMA ANAJIUZA", kauli inayodaiwa kutolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma. Hayo yametokana na mazungumzo kwa njia ya simu na Mwandishi wa gazeti la Mwananchi ambaye...
  12. Stuxnet

    Kwa Yanayoendelea Jeshi la Polisi, “Tume ya Haki Jinai” Ilikuwa ni Matumizi Mabaya ya Fedha Zetu

    Ni wazi pesa za wananchi zimetumika kwenye Tume hii ya Mh Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande hivyo wananchi tungetamani kuona matokeo chanya ya utekelezaji. Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Makamanda wa Polisi Mikoa na Wilaya na Taasisi zote zinapaswa kuzingatia maelekezo ya Rais ambaye ni Mkuu wa Nchi...
  13. K

    Je mapendekezo ya "TUME YA HAKI JINAI" yako wapi kwa Polisi hii

    Wale wale waliokuwa wanashangilia mapendekezo ya tume ndiyo hao hao hawajatekelezi na wengine kuagiza kuvunjwa kwa sheria hizo hizo. Yaani Polisi ya sasa inavunja sheria kuliko hata Polisi ya kabla ya tume. Sasa faida ya hizi tume ni nini! Au Tuwe na tume maalumu kwa vyama na makundi na sio kwa...
  14. R

    Nikifuatilia yanayoendelea Tanga kwenye kesi ya Kombo najiuliza kwanini tulitumia pesa nyingi kuunda tume ya haki jinai? Inaisaidia nini nchi?

    Leo RCO amenyima dhamana na mahakama ipo imetulia tu. Wakati haya yanafanyika kuna watu wamelipwa mabilioni kuandaa ripoti ya haki jinai. Unajiuliza tafsiri ya haki jinai ni nini? Je RCO anaweza kuwakatalia mahakama? Jaji Mkuu anaposhuhudia haya yakiripotiwa kwenye vyombo vya habari akakaa...
  15. B

    SoC04 Udhibiti na kuimarisha utawala bora, mifumo ya kiserikali kulinda rasilimali na maslahi ya taifa

    Imewahi kunukuliwa kwa viongozi waliopita wa Taifa letu na kitu ambacho ni ukweli ya kwamba nchi yetu ni tajiri, Na utajiri wetu unajidhihirisha katika rasilimali zetu za asili kwa maana ya madini, mbuga za wanyama (utalii), maziwa, mito na bahari, ardhi na watu. Kwa maana nyingine tuna kila...
  16. and 998 others

    Dhana ya maiti katika Siasa na Harakati za kudai Haki Tanganyika

    1. Wakenya mara kadhaa wametumia dhana ya MAITI kuelezea namna ambavyo Watanganyika "Wamekufa" katika kudai haki zao toka Uhuru 1961 (miaka 63 iliyopita). 2. Mkataba wa DP World ilikua fursa ya Watanganyika kukataa dhana ya "MAITI" Ila ndo kama mnakumbuka mkataba umeshaanza kutumika, 3...
  17. T

    Taarifa ya Haki Jinai na Mapendekezo yake ni mwarobaini wa maonevu. Utashi wa kisiasa unahitajika

    Ni ukweli usiopingika kuwa maendeleo ya nchi yanayegemea sana demokrasia ambayo ndani yake imo HAKI ya wananchi wote kwa wakati wote. Haki Huinua Taifa. Rais kwa hili linahitaji utashi wako ili mapendekezo haya yasiishie kwenye makabati. Ni wazi pesa za wananchi zimetumika kwenye Tume hii ya mh...
  18. Roving Journalist

    Polisi kushirikisha Wadau wa Haki Jinai kuchunguza malalamiko ya Wananchi kuonewa na Askari

    Jeshi la Polisi nchini limesema limeona taarifa katika baadhi ya Mitandao ya Kijamii zikionyesha taarifa za Wananchi ambao wanalalamika kufanyiwa vitendo ambavyo ni kinyume cha Sheria na Haki za Binadamu na baadhi ya Askari Polisi. SACP David Misime Akitoa taarifa hiyo Disemba 21, 2023 Msemaji...
  19. T Kaiza-Boshe

    Mwanamke huyu asaidiwe, Mahakama imtendee haki

    Wote tunakubaliana kuwa ujangili ni mbaya, na ni kosa la jinai; na kwamba sawa kuadhibiwa kisheria! Na tunazo sheria za Uhifadhi wa Wanyamapori zinazotumika kulinda Wanyamapori Na. 5 ya mwaka 2009 na sheria Na. 383 kama zilivyorekebishwa 2023 zinazotuhusu watu wote; wananchi, na wageni pia...
  20. BARD AI

    TLS: Mifumo ya Haki Jinai bado haiwezi kuthibitisha Makosa ya Mauaji, Hukumu ya Kifo ifutwe

    Akizungumza katika kongamano lililowakutanisha wadau kujadili kuhusu adhabu ya Kifo, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Harold Sungusia amesema mifumo ya haki haipo madhubuti na kuweza kuthibitisha bila kuacha shaka kuwa aliyetiwa hatiani ana kosa Ameongeza kubwa “Adhabu hii ni...
Back
Top Bottom