guard

The King's Guard (called the Queen's Guard when the reigning monarch is female) are sentry postings at Buckingham Palace and St James's Palace, organised by the British Army's Household Division. The Household Division also mounts sentry postings at Horse Guards, known as the King's Life Guard (called the Queen's Life Guard when the monarch is female).
An infantry contingent, typically one of the Household Division's five regiments of foot guards, mounts the King's Guard, while the King's Life Guard is usually provided for by the Household Cavalry Mounted Regiment. Since the 20th century, several other British Army units, Royal Air Force units, Royal Navy units, and military units from other Commonwealth countries have been invited to form the King's Guard.
In addition to the King's Guard, the Household Division also provide for several other sentry postings including the Tower of London Guard and the Windsor Castle Guard. Several sentry postings are also occasionally mounted at the Palace of Holyroodhouse, the sovereign's residence in Edinburgh. Although the Household Division considers these other sentry posts as distinct postings from the King's Guard, colloquially, these postings have also been called the "King's Guard."

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Hivi TV nchi 32 kushuka chini nayo ni ya kununulia Tv guard

    Wakuu hii imekaaje unafikiri Tv nchi 32 kushuka chini inafaa kununuliwa Tv guard au nayo ni kama simu tu,
  2. U

    Breaking News President William Ruto makes new appointments, promotions in Kenya Defence Forces KDF

    Citizen Digital Live TV Live Radio search Change of Guard: President Ruto makes new appointments, promotions in KDF Joseph Muia By Joseph Muia Published on: June 27, 2025 12:59 (EAT) President William Ruto has made a new round of appointments and promotions in the Kenya Defence Forces...
  3. stabilityman

    Nini maana ya rangi ya weather guard

    Rangi iliyoandikwa Weather Guard ni aina ya rangi maalum iliyotengenezwa kwa ajili ya kupaka sehemu za nje ya majengo, hasa kwa lengo la kulinda ukuta dhidi ya hali mbaya ya hewa kama vile mvua, jua kali, unyevu, na vumbi⁽¹⁾⁽²⁾. Hii rangi mara nyingi hutengenezwa kwa kutumia acrylic copolymer...
  4. S

    PreGE2025 Warioba, Butiku and the whole Nyerere generation old guard, you have a moral obligation to save the country from this leadership moral decay

    Umewahi kujiuliza au kutafakari ikiwa leo hii Nyerere angukuwa hai kushuhudia kinachoendelea nchini Tanzania au ndani ya CCM angesema au kufanya nini? Okay, najua utasema Nyerere angekuwapo tusingefika hapa tulipo - na ni kweli kabisa. Tumefikia mahali pabaya sana, ambapo mtu yeyote mwenye...
  5. Q

    Jeshi la Polisi linachafuliwa na Green Guard wa CCM

    Matukio ya utekaji, mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani hasa Chadema mengi hutekelezwa na UVCCM (Green Guard) kwa mwamvuli wa jeshi la polisi. Hawa Green Guards 'WENGI' wao ni vijana wa vijiweni wahuni, wavuta bangi wasio na maadili yeyote hutumiwa na Chama cha Mapinduzi kuwaumiza...
  6. W

    Majaliwa akoshwa na green guard (UVCCM) Ruangwa

    Waziri Mkuu na mbunge wa Ruangwa ameeleza kuwa amekoshwa na mwamko wa vijana wa UVCCM (green guard) Ruangwa hali iliyopelekea akataka kutokwa na machozi mara baada ya kuona gwaride la vijana hao. Majaliwa amewapongeza vijana hao kwa mwamko huo. Ameyasema hayo Ameyasema hayo Mei 03, 2025 wakati...
  7. Echolima1

    Aliyekuwa mlinzi binafsi ( body guard ) wa gaidi Yahya Sinwar ameangamizwa usiku wa kuamkia leo na majeshi ya Israel

    Aliyekuwa mlinzi binafsi wa Gaidi aliyeuwawa YAHYA SINWAR naye ameuwawa na jeshi la anga la Israel baada ya kushambulia maficho yake huko Gaza. Ikumbukwe tu kuwa YAHYA SINWAR ndiye alikuwa Mastermind wa Mashambulizi ya Oct 07,2023. Sasa Jamaa huyu ataenda kukutana na aliyekuwa Boss wake huko...
  8. Roving Journalist

    Polisi Songwe: Hatujapokea malalamiko ya Green Guard kutishia Wapiga Kura kwa Mapanga

    Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Augustino Senga amezungumza na JamiiForums na kueleza kuwa hawajapokea malalamiko yoyote kutoka kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuhusu Wanachama wao kutishiwa kwa mapanga katika Vituo vya Kupiga Kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
  9. Roving Journalist

    LGE2024 CHADEMA Songwe: Green Guard walienda na mapanga kwenye Vituo vya Kupigia Kura kutisha Wanachama wetu

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Songwe, Issakwisa Thobiasi Lupembe amedai wakati wa mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana Novemba 27, 2024 kulikuwa na matukio ya vitisho kwa Wanachama na viongozi wa Chama hicho kutoka kwa baadhi ya Watu. ===================== Taarifa ya...
  10. Mtoa Taarifa

    LGE2024 Kada wa CHADEMA - Tunduma adaiwa kushambuliwa na kuuawa na Green Guard

    Taarifa iliyotolewa na Mwanachana wa CHADEMA, Hilda Newton imeeleza kuwa kada wa chama hicho katika mji wa Tunduma, Steve Chalamila amevamiwa nyumbani kwake na kuuawa na wanaodaiwa kuwa Green Guard. Amendika kupitia mtandao wa X "tumepata msiba mkubwa Kamanda wetu Stivu Chalamila ameuwawa...
  11. Q

    Kazi ya Green Guard ni nini, mbona hivi vikundi vilishapigwa marufuku?

    Hivi vikundi vilipigwa marufuku na serikali lakini CCM bado inavitumia, ukifuatilia kwa undani zaidi unaweza kuta ndivyo vinavyotumika kwenye matukio mengi ya utekaji na uhalifu nchini na kulindwa na vyombo vya dola.
  12. Cute Wife

    Mjumbe Kamati Tendaji Tanga ashambuliwa baada ya kukamatwa na Mwenyekiti UVCCM pamoja na green guard

    Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Tanga wa CHADEMA Husein Ally jana Sep 5, 2024 alichukuliwa na Mwenyekiti wa UVCCM pamoja na green gurd ambao walimpeleka ofisi za CCM Masiwani Ground wakampiga. Baada ya hali kuwa mbaya inasemekana waliwaita polisi kumchukua, viongozi wengine wa BAVICHA walipata...
  13. GENTAMYCINE

    Wanajeshi mlioko hapa JamiiForums tafadhali naomba neno sahihi la Kiswahili la 'Quarter Guard' nitawashukuruni sana

    Na nitaomba pia kama kuna Mwanajeshi yoyote yule hapa JamiiForums mwenye Kamusi Maalum ya maneno ya Kijeshi ya Kiswahili kwenda Kiingereza au Kiingereza kwenda Kiswahili aniwekee hapa au aniambie naweza kuipata wapia. Asanteni Maafande.
  14. HONEST HATIBU

    Guard Your Personal Information

    Guard Your Personal Information 1. Don't share your home address on social media. 2. Avoid posting your phone number publicly. 3. Refrain from disclosing your daily routines online. Reality is... 1. Not everyone will respect your privacy. 2. Your personal information can be exploited for...
  15. G

    Nchini Namibia, mshahara wa security guard ni mkubwa kuliko wa profesa UDSM

    Nchi ya Namibia imefanya mambo makubwa sana, mpk unajiuliza Tanzania tulikosea wapi siye? Nadhani tumefika hapa kwasabb ya siasa chafu na uongozi mbovu. Namibia ina rasilimali gani za kuizidi Tanzania hadi wao wawe mbali kiasi hiki? 1. Wazee wanalipwa. 2. Walemavu wanalipwa. 3. Matibabu kwa...
  16. Abubakari Mussa

    Ulinzi wa TV pamoja na Friji

    Mdau umewahi kusikia kuhusu Tv guard ama Fridge Guard? "Bidhaa za Ulinzi wa TV na Jokofu: Kuweka Vifaa Vyako Salama na Imara! Je! Umewahi kuwaza jinsi ghafla umeme unavyozimika au kuwa na spikes za umeme zisizotarajiwa zinaweza kuathiri vifaa vyako vya umeme kama TV na jokofu? Ndiyo maana...
Back
Top Bottom