government

  1. Liverpool VPN

    Imefika wakati serikali iangalie mishahara ya watumishi wa "Local government" maana hali zao za mishahara ni ngumu na mbovu sana

    Salaam ndugu Wana JF, Naambiwa "Mama" yetu Rais wetu huwa anasoma humu JF. Kwa heshima na taadhima naomba asome na hii. Twende kwenye hoja.. Leo hii Kuna jamaa yangu kutoka halmashauri ya jirani kapata uhamisho kutoka halmashuri yake kwenda chuo cha Mandela (Arusha) yaani kwa huo mshahara...
  2. Meneja Wa Makampuni

    Ndoto yako imetimia: Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024 Chulalongkorn University

    Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024 Chulalongkorn University Thailand Government Scholarships 2023 Deadline: 31st May 2023 Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024 Click here to apply: Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024...
  3. K

    Aache kazi private anakolipwa 1.6m au aende government atakapolipwa laki 7.6?

    Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross. Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi...
  4. U

    Cash strapped Air Tanzania to receive Sh10 billion government bailout

    Je hii ni urithi wa rais yule aliyeamua kununua ndege nyingi kwa kampuni iliyofilisika tayari? Halafu bila kumtafuta hata meneja mmoja aliyewahi kufaulu katika biashara hiyo? Nani alimshauri rais aliyefuata kuendelea na mpango huu? Cash strapped Air Tanzania to receive Sh10 billion government...
  5. Mwizukulu mgikuru

    Wimbo yatapita wa mwanamuziki Diamond unavyotukumbusha msoto tuliopitia ( mwendazake government)

    Duh haya mashairi mazuri ya mwanamuziki Diamond kwenye wimbo yatapita yanatukumbusha msoto majeraha kipindi cha mwendazake aisee watu waliteseka balaa matajiri wakafirisiwa, watu waliuawa hovyoo na kutupwa baharini kama vifurushi, wasomi walikosa matumaini na elimu zao zilikosa thamani kabisa.
  6. Mike Moe

    Mental health growth

    Discuss the contribution of the government and the society to mental health growth. Naombeni msaada wanajamii
  7. Egwugu

    Hivi akiwa Head of State ndio unakuwa Head of Government?

    Niende tu moja kwa moja kwenye mada husika. Niko najiuliza, hivi siku hizi huko shule watoto wetu wanafundishwaje aisee. Nauliza hivi maana toka majuzi sielewi mwanangu kaona nini na wapi. Amekuwa ananiuliza na hii leo ni mara ya pili, "Baba, rais anaongoza na nchi? nikajibu ndio mwanangu...
  8. kyagata

    Hivi PSRS mnasubiri nini kutoa shortlists ya hizi taasisi TRA, NAOT, HESLB na MDs & Local government?

    Kwema wakuu, Yapata miezi 4 sasa tangu watu tutume applications za taasisi tajwa hapo juu lakini wahusika ni wako kimya tu hawaiti watu kwenye usaili. Hivi karibuni zimeibuka tuhuma mbalimbali kutoka kwa wadau kuwa kuna watu kutoka hizo taasisi tajwa hapo juu wameajiriwa kimya kimya bila hata...
  9. Mathanzua

    Judge orders Fauci and his co-conspirators to release records showing C-19 plandemic collusion between government and Big Tech

    A United States District Judge Terry Doughty, a Donald Trump appointee, has ordered Tony Fauci, White House press secretary Karine Jean-Pierre, and other officials in Joe Biden’s regime to immediately release all documents pertaining to the federal government’s collusion with Big Tech over the...
  10. Mathanzua

    Argentine government agency admits COVID vaccines contain graphene oxide

    At last, an official body has acknowledged that the vaccines against COVID-19 contain graphene oxide as part of their composition. This event took place after a request was made to investigate the death of a person post-vaccination. The toxicity of the nanomaterial that goes into the vaccines is...
  11. R

    Tukisema tufanye jaribio kwa watu wanaomiliki leseni za udereva, wangapi watapopolewa?

    Ukiuliza watu wanaomiliki leseni za udereva walipata vipi leseni zao, asilimia kubwa watakwambia nilipiga mishe nikapita huku na kule nikapata leseni yangu. Wengi wa madereva hawa wanaomiliki leseni hizi hawajawahi kupata mafunzo rasmi ya udereva, jambo linalochangia kuwa na madereva ambao...
  12. Pascal Mayalla

    Sensa: Je, kuna ubaya kuwauliza watanzania their hopes & expectations of their government? Niko tayari kuhesabiwa, wewe je?

    Wiki ijayo ya Agosti 23 ni siku ya sensa ya watu na makazi, tujitokeze kwa wingi kuhesabiwa. Japo Sensa ni data collection of demographical data za kujua Tanzania tuko watu wangapi ili kuweza kujipanga vizuri kimipango mkakati, je Kuna ubaya wowote kama katika hojaji za Sensa pia tukiwauliza...
  13. R

    Makusudi wanayofanya wahudumu wa afya kutoa dawa kwa watu wanaotumia bima za afya

    Kumekuwa na hii tabia ambayo wahudumu wa afya wanaifanya sana kwa wagonjwa wanaotumia bima za afya. Unakuta mtu anaumwa ugonjwa fulani anaandikiwa dawa ambayo kwa makusudi kabisa wanajua dawa husika haipo kwenye orodha ya dawa kwenye fungu la bima alilopo mgonjwa husika na ni ngumu dawa hiyo...
  14. R

    Barua kwa wajukuu zangu

    Wajukuu zangu leo nataka niwaeleze mambo fulani, fundo ambalo limenikaa kooni mpaka nashindwa kuhema. Aliyewaroga kafa na katupa gunia chini ya bahari kukiwa na chuma kizito ndani yake kusiwe hata na chembe ya matumaini kuwa ipo siku litaonekana na kufunguliwa mkawa huru. Mmefungwa akili, ama...
  15. Tonny Godbless

    SoC02 Euthanated Education

    ELIMU YA KITANZANIA NI TIKETI YA KWENDA DUNIA MPYA Tanzania ni kati ya nchi hapa Africa ambazo zinapigana kukuza elimu yake ila bado ina changamoto nyingi. Wengi husema “Elimu ndio ufunguo wa maisha “ ila Watanzania wengi hupotea kwa sababu ya mfumo mbovu wa elimu ulioekwa na serikali ya...
  16. mwanamwana

    Bei ya Unga kushuka kutoka Ksh. 230 hadi Ksh. 100 baada ya ruzuku ya Serikali

    Bei ya Unga wa mahindi nchini Kenya itashuka kutoka Ksh. 230-100 kuanzia leo Julai 18 Hii ni baada ya Serikali ya Kenya kutoa ruzuku kwa bei ya uzalishaji wa bidhaa hiyo kwa muda wa wiki 4. Katika muda wa wiki 4, Wizara ya Kilimo italipa sehemu ya gharama ya kuzalisha Unga, ili kuwaepusha...
  17. Mathanzua

    World Economic Forum, Klaus Schwab calls for higher gas prices to save democracy

    The World Economic Forum (WEF) on Monday released a position paper 👇 World Economic Forum Paper: Gas Prices Must Go Higher to Save Democracy https://www.newsmax.com/newsfront/world-economic-forum-fossilfuel-democracy-gas/2022/07/11/id/1078214/ The paper reiterates that lowering fossil fuel use...
  18. Mathanzua

    POLL: 25% of All Americans Open to "Taking-up arms against government"

    More than one quarter of US residents feel so estranged from their government that they feel it might “soon be necessary to take up arms” against it, a poll released on Thursday claimed. This survey of 1,000 registered US voters, published by the University of Chicago’s Institute of Politics...
  19. Cheology

    The 17th Group of 20 (G20) Heads of State and Government Summit will take place in October 2022 in Bali, Indonesia

    Urusi imesema itakuwepo. ==== The 17th Group of 20 (G20) Heads of State and Government Summit will take place in October 2022 in Bali, Indonesia. Under the Indonesian Presidency, the G20 in 2022 will focus on the theme “Recover Together, Recover Stronger”. The Leaders' Summit is the climax of...
  20. R

    Rebirth of Fascism: Hitler Must Be Proud of the Tanzanian Government for Maasai Inhumane Eviction

    Author: Eli Mshomi June 22, 2022 The Sixth Phase Government under President Samia Suluhu Hassan cannot escape the blame for the ongoing violence in the Ngorongoro district in the Arusha region against the Maasai tribe. This tribe has been under the so-called protection of the Ngorongoro...
Back
Top Bottom