Salaam ndugu Wana JF,
Naambiwa "Mama" yetu Rais wetu huwa anasoma humu JF.
Kwa heshima na taadhima naomba asome na hii.
Twende kwenye hoja..
Leo hii Kuna jamaa yangu kutoka halmashauri ya jirani kapata uhamisho kutoka halmashuri yake kwenda chuo cha Mandela (Arusha) yaani kwa huo mshahara...
Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024
Chulalongkorn University Thailand Government Scholarships 2023
Deadline: 31st May 2023 Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024
Click here to apply: Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024...
Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi...
Je hii ni urithi wa rais yule aliyeamua kununua ndege nyingi kwa kampuni iliyofilisika tayari?
Halafu bila kumtafuta hata meneja mmoja aliyewahi kufaulu katika biashara hiyo?
Nani alimshauri rais aliyefuata kuendelea na mpango huu?
Cash strapped Air Tanzania to receive Sh10 billion government...
Duh haya mashairi mazuri ya mwanamuziki Diamond kwenye wimbo yatapita yanatukumbusha msoto majeraha kipindi cha mwendazake aisee watu waliteseka balaa matajiri wakafirisiwa, watu waliuawa hovyoo na kutupwa baharini kama vifurushi, wasomi walikosa matumaini na elimu zao zilikosa thamani kabisa.
Niende tu moja kwa moja kwenye mada husika. Niko najiuliza, hivi siku hizi huko shule watoto wetu wanafundishwaje aisee. Nauliza hivi maana toka majuzi sielewi mwanangu kaona nini na wapi. Amekuwa ananiuliza na hii leo ni mara ya pili, "Baba, rais anaongoza na nchi? nikajibu ndio mwanangu...
Kwema wakuu,
Yapata miezi 4 sasa tangu watu tutume applications za taasisi tajwa hapo juu lakini wahusika ni wako kimya tu hawaiti watu kwenye usaili.
Hivi karibuni zimeibuka tuhuma mbalimbali kutoka kwa wadau kuwa kuna watu kutoka hizo taasisi tajwa hapo juu wameajiriwa kimya kimya bila hata...
A United States District Judge Terry Doughty, a Donald Trump appointee, has ordered Tony Fauci, White House press secretary Karine Jean-Pierre, and other officials in Joe Biden’s regime to immediately release all documents pertaining to the federal government’s collusion with Big Tech over the...
At last, an official body has acknowledged that the vaccines against COVID-19 contain graphene oxide as part of their composition. This event took place after a request was made to investigate the death of a person post-vaccination.
The toxicity of the nanomaterial that goes into the vaccines is...
Ukiuliza watu wanaomiliki leseni za udereva walipata vipi leseni zao, asilimia kubwa watakwambia nilipiga mishe nikapita huku na kule nikapata leseni yangu. Wengi wa madereva hawa wanaomiliki leseni hizi hawajawahi kupata mafunzo rasmi ya udereva, jambo linalochangia kuwa na madereva ambao...
Wiki ijayo ya Agosti 23 ni siku ya sensa ya watu na makazi, tujitokeze kwa wingi kuhesabiwa.
Japo Sensa ni data collection of demographical data za kujua Tanzania tuko watu wangapi ili kuweza kujipanga vizuri kimipango mkakati, je Kuna ubaya wowote kama katika hojaji za Sensa pia tukiwauliza...
Kumekuwa na hii tabia ambayo wahudumu wa afya wanaifanya sana kwa wagonjwa wanaotumia bima za afya. Unakuta mtu anaumwa ugonjwa fulani anaandikiwa dawa ambayo kwa makusudi kabisa wanajua dawa husika haipo kwenye orodha ya dawa kwenye fungu la bima alilopo mgonjwa husika na ni ngumu dawa hiyo...
Wajukuu zangu leo nataka niwaeleze mambo fulani, fundo ambalo limenikaa kooni mpaka nashindwa kuhema. Aliyewaroga kafa na katupa gunia chini ya bahari kukiwa na chuma kizito ndani yake kusiwe hata na chembe ya matumaini kuwa ipo siku litaonekana na kufunguliwa mkawa huru. Mmefungwa akili, ama...
ELIMU YA KITANZANIA NI TIKETI YA KWENDA DUNIA MPYA
Tanzania ni kati ya nchi hapa Africa ambazo zinapigana kukuza elimu yake ila bado ina changamoto nyingi. Wengi husema “Elimu ndio ufunguo wa maisha “ ila Watanzania wengi hupotea kwa sababu ya mfumo mbovu wa elimu ulioekwa na serikali ya...
Bei ya Unga wa mahindi nchini Kenya itashuka kutoka Ksh. 230-100 kuanzia leo Julai 18
Hii ni baada ya Serikali ya Kenya kutoa ruzuku kwa bei ya uzalishaji wa bidhaa hiyo kwa muda wa wiki 4.
Katika muda wa wiki 4, Wizara ya Kilimo italipa sehemu ya gharama ya kuzalisha Unga, ili kuwaepusha...
The World Economic Forum (WEF) on Monday released a position paper 👇
World Economic Forum Paper: Gas Prices Must Go Higher to Save Democracy
https://www.newsmax.com/newsfront/world-economic-forum-fossilfuel-democracy-gas/2022/07/11/id/1078214/
The paper reiterates that lowering fossil fuel use...
More than one quarter of US residents feel so estranged from their government that they feel it might “soon be necessary to take up arms” against it, a poll released on Thursday claimed.
This survey of 1,000 registered US voters, published by the University of Chicago’s Institute of Politics...
Urusi imesema itakuwepo.
====
The 17th Group of 20 (G20) Heads of State and Government Summit will take place in October 2022 in Bali, Indonesia. Under the Indonesian Presidency, the G20 in 2022 will focus on the theme “Recover Together, Recover Stronger”.
The Leaders' Summit is the climax of...
Author: Eli Mshomi June 22, 2022
The Sixth Phase Government under President Samia Suluhu Hassan cannot escape the blame for the ongoing violence in the Ngorongoro district in the Arusha region against the Maasai tribe. This tribe has been under the so-called protection of the Ngorongoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.