ghetto

A ghetto (Italian pronunciation: [ˈɡetto]; from Venetian ghèto, 'foundry'), often the ghetto, is a part of a city in which members of a minority group live, especially as a result of social, legal, or economic pressure. Ghettos are often known for being more impoverished than other areas of the city. Versions of the ghetto appear across the world, each with their own names, classifications, and groupings of people.
The term has deep cultural meaning in the United States, especially in the context of segregation and civil rights; as such, it has been widely used in the country to refer to inner-city neighborhoods that are mainly African American and/or poor. It is also used in some European countries such as Romania and Slovenia to refer to poor neighborhoods.The term was originally used for the Venetian Ghetto in Venice, Italy, as early as 1516, to describe the part of the city where Jews were restricted to live and thus segregated from other people. However, early societies may have formed their own versions of the same structure; words resembling ghetto in meaning appear in Hebrew, Yiddish, Italian, Germanic, Old French, and Latin. During the Holocaust, more than 1,000 Nazi ghettos were established to hold Jewish populations, with the goal of exploiting and killing the Jews as part of the Final Solution.

View More On Wikipedia.org
  1. Chronixx Anauliza; Ni Lini Santa Claus Atapeleka Zawadi Magetoni?

    Wakati Dunia ikisherekea sikukuu za Christmas na kupeana zawadi kemu kemu. Na Santa Claus "Father Christmas" akisemekana kuzunguka hapa na pale kutoa zawadi. Wadau wamehoji mbona hawajawai kumuona Santa Claus akienda Magetoni mwao kutoa zawadi, hili hali maisha ya megotoni magumu, watu wanakula...
  2. Umeshawahi ishi na rafiki au ndugu mlokole mpenda dini ki ghetto ghetto pindi mkijitafuta?

    Heri ya sikukuu za mwisho wananchi wa jamhuri ya muungano wa jamiiforums😳😳😳😳😳😳😳😳😳. Povu ruksa.. Je, umewahi kuishi na rafiki au ndugu mcha Mungu hatari… Wale wa maombi , full package? 😅 Asubuhi anakuamsha kwa maombi, mchana mnapambanaji na maisha, Usiku wakati wa kulala anakulaza na sala...
  3. Unafata nini ghetto kama unajua hutatoa tunda!

    Wakuu wasalam Kuna madem wanazingua kinoma, unampanga anakubali. Unajiandaa vizuri, mwanamke anafika anaanza sipo vizuri, sijajiandaa, leo simba wanaruka. Sasa kama ulijua hivyo umefata nini! ....
  4. Mambo 10 ya Kuzingatia Ukiamua Kuanzisha Ghetto Lako 🏠🔥

    Kuanzisha ghetto si tu suala la kupata chumba cha kupanga, bali ni hatua ya kuanza maisha mapya kwa heshima na mpangilio. Ili kuepuka kuishi hovyo na kukosa misingi ya starehe na usafi, zingatia haya mambo muhimu: 1. Tathmini Kipato Chako Kabla ya kuchukua chumba, jiulize kipato chako...
  5. Una ghetto Kali sawa, vipi mazingira ya wazazi wako?

    Ni ujinga wa hali ya juu kama unaishi na Kulala sehemu nzuri hali ya kuwa wazazi wako waliokupambania mpaka kufika hapo wanalala kwenye dhiki. Wanalala chini Kwenye Godoro kama ulimi wa mbwa Hakuna fan Wala asset nzuri za maana. Kuwaweka wazazi wako kwenye mazingira mazuri haiitaji uwe na...
  6. Wachawi wamefanikiwa kuniogopesha kulala ghetto

    Aisee wakuu,...ndugu yenu saivi yapata siku ya nne silali kwa amani kabisa. Siku ya jana nikiwa tayari nimesinzia nilishtushwa na kitu ambacho kilikuwa kinanitambaa mkononi kinaanzia kwenye vidole hadi begani.,bhasi nikashtuka nikarusha shuku,nikajipangusa kwa kiwewe huku naweweseka,,nikawaza...
  7. Njia gani nzuri ya kumfukuza mwanamke alieng'ang'ania ghetto??

    Kama inavyosomeka hapo juu Kuna demu kaja hapa ghetto wiki sasa inaisha haoneshi dalili ya kuondoka Nawaza nitumie njia gani ambayo haitaleta lawama kwa upande wangu pindi nitakapomtimua huyu demu. Kuna wale wakongwe wa kufukuza wanawake ving'ang'anizi kwenye nyumba nipeni mbinu 2 3 zisizo na...
  8. I thank Jehova

    [Chorus – Phyno] Chineke Nna emegokwa nwa ogbenye Ezege Everyday by day I just dey celebrate oh (eh) Everything I do e just dey penetrate oh I just want to say o thank you Jehovah oh See I'm living large I get Angels o for my gate oh Never forget where I come from na from ghetto (eh) Oh no no...
  9. Mbunge Ghetto vs Watanzania Wanaojua Kujielewa – Taifa Linaangamia

    Yani leo hii tunaamka asubuhi, tunakuta msomi wa vichochoroni—mtu ambaye labda hata hana basic comprehension ya civic responsibility—anawaita Watanzania “kenge” eti kwa sababu amepewa nafasi ya kusema kwenye jukwaa la heshima kama Bunge? What the actual f*ck? Watu tunaomwaga jasho, tumetoka...
  10. Kipi kilikusuma kuondoka , kijijini, mkoani na kukimbilia mjini, au nyumbani kwenda kupanga ghetto wazee wakujilipua tubushane

    Hii mahususi kwa watu wangu hasa kizazi Cha miaka ya 70, mpaka 80 hivi enzi hizo nchi Tanzania mikoa mingi bado mapori, watu wakimaliza darasa la saba kama wapo wanafunzi 200 wanachaguliwa kwenda kidato Cha kwanza ni watu wawili au mmoja mnaobakia kama mzazi uwezo hana wakukupeleka shule...
  11. Mwanamke wako akikwambia ana pumu usilazimishe aje ghetto. Ona kilicho tokea kwa demu huyu ( Rest In Peace)

    Huyu msichana umri wake ni miaka 24. Kamaliza Chuo ( Diploma) mwaka Jana Sema kwa sababu kwa aina ya diploma aliyo kuwa anachukua ( Procurement) ilikuwa ngumu kupata kazi so alikuwa nyumbani tu kwa wazazi anasaidia biashara za nyumbani. Perhaps alikuwa anasubiri kwenda Veta. Uhusiano wangu...
  12. Baada ya kuanza kuishi na mwanamke ghetto nimeanza kupendwa na wanawake wengine

    Nimekaa kibachela muda mrefu sana, nimeteseka sana na upweke nikawa najiliwaza na mkono bao au kupiga mgalala Siku zote hizo mademu walikua wananikataa kila ninaemtia vocal anadai ana mtu wake Hatimaye nikapata toto la 2005 toto bichi linalojua kucare nikaanza kuishi nae ghetto Cha ajabu kwa...
  13. Kitu gani ulikikuta kwenye nyumba au ghetto kikakushangaza sana?

    Niliwahi kwenda ghetto la mwana fulani nikakuta anapikia bunsen burner! Nilipigwa butwaa kucheki pembeni kitandani ametandika shuka la msd. Cc: Joanah | Mshangazi dot com | Intelligent businessman | mshamba_hachekwi | Half american | Mallerina | makutopora | To yeye | cocastic | Numbisa |...
  14. Demu aliyeniambukiza gono kaja tena ghetto

    Huyu demu nilikutana naye haja jamvini, nikajisogeza PM kwake na zozo zogozi likaanza taratibu, tukawa marafiki tukitoka mida ya jioni kazini tunapitia K Tea Shop kupata kikombe cha kahawa na sambusa. Tuliendelea kwa wiki kadhaa, kabla sijaomba mchezo. NI yeye aliyetaka tukaangalie movie usiku...
  15. Tangu nianze kuishi na demu ghetto nimeacha Nyeto

    Hakika dawa ya kuacha nyeto automatically ni kukaa na mwanamke pamoja Nlikua mdau wa nyeto a.k.a mkono bao tangu mwaka 2004 hadi mwanzoni mwa mwaka 2025 Hatimaye nikapata mtoto mzuri wa mwaka 2005 naishi nae maskani, huwezi amini ni mwezi sasa nimeachana na nyeto na siitamani tena Maana...
  16. W

    Ghetto linapoteza raha yake ukifika 30's, nyumba ya kupanga inakupa stress ukivuka 40's, jibane unavyoweza uwe na nyumba yako.

    Mahitaji makuu matatu ni Chakula, nguo na Malazi Usipokuwa na kwako ni sawa na kuazima nguo au kula kwa jirani Tafuta kiwanja chako mapema hata kama ni nje ya mji anza taratibu kujenga kwako. Maisha ya Ghetto huwa ni ya kuanzia kwa vijana wengi wadogo wanapoondoka makwao lakini hoo stage ina...
  17. Bachelor ukirudi ghetto ni nini kinakupa Company?

    Ambao hamjaooa huwa mnafanya nini kuondoa upweke uwapo ghetto? Tiririka tupate maujuzi nasisi.... Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Shanghai nchini CHINA 🇨🇳
  18. Hivi Mtoto wa kike akija Ghetto kwako lazima Kujigi-jigi?

    Mambo vipi wakuu? Binafsi naamini wakati wote Mrembo anapokuja ghettoni kwako si lazima Mjigijane... Muda mwingine unaweza ukaishia kupiga nae Story tu..... Au mkacheki zenu muvi tu.. Naamini ni kuonesha umekua kihisia hata kuongeza uaminifu kwa Mwenzako... We unaonaje ...!!
  19. Manzi wangu nimemfukuza ghetto ila tatizo kagoma kuondoka je nifanyeje?

    Wakuu..mimi ndugu yenu ninaombeni ushauri na msinichoke,muda huu ninavyoandika nikielezea hali inayonisibu sasa hivi na ni live sio kama naota. Kwanza kabisa nitoe pongezi za dhati kwa wachangiaji wa uzi wangu wa mrejesho uliopita kwa kuyafanyia kazi mawazo yao na miongozo yao walionipatia na...
  20. Umewahi kuingia ghetto na manzi halafu ukashindwa kumla?

    Yule demu Jana nimemmind Sana na yeye anajua aisee! How come demu aingie ghetto halafu ukashindwa kumla? Au alikuwa ananiigizia kwamba nisimuone Malaya? Anyway na nimemblock sasa Kuna manzi Jana nimeingia ghetoni kwangu na demu nilimpanga aje hapa ghetoni kwangu aisee nimetumia almost masaa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…