gachagua

Gachagua is a surname. Notable people with the surname include:

Clifton Gachagua (born 1987), Kenyan poet and writer
Nderitu Gachagua (1952–2017), Kenyan politician
Rigathi Gachagua (born 1965), Kenyan politician

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Riggy Gachagua: Rais Ruto alipanga kuiba Nairobi Hospital na Nairobi Railway tukamuanika, amekasirika

    Aliyekuwa Naibu wa Rais wa Kenya, Rigath Gachagua ameendelea kumkabia kooni Rais Ruto kwa kuendelea kumshambulisha kutokea kila upande. Riggy anamtuhumu Ruto kwa ufisadi uliokithiri nchini Kenya huku akihoji anataka kuiba ngapi ndiyo aridhike?
  2. M

    Rigathi Gachagua akimwiga kwa utani Naibu Rais Kithure Kindiki

    Aliyekuwa naibu wa Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua akimwiga kwa utani Naibu Rais Kithure Kindiki.
  3. M

    Gachagua: Kenya ni tofauti sana na Uganda na Tanzania, wakenya hawawezi kutawaliwa kimabavu

    Aliyekuwa Makamu wa Rais nchini Kenya Rigathi Gachagua anasema Kenya si Tanzania au Uganda na kamwe hatazima azma yake ya kuwania urais. Ameongeza kuwa viongozi wa Afrika Mashariki wameambukizana tabia mbaya, na Ruto anaonekana anaiga mfano wa Rais Museveni kukaa mpaka miaka 40, haiwezekani
  4. O

    President Ruto vs Former vice president Gachagua: Mchongoano Politics Heat Up

    Vita ya kisiasa kati ya William Ruto na Rigathi Gachagua imechukua turn ya ajabu kutoka kwa sera hadi matusi ya mwili. Gachagua alianza kwa kumtania Ruto kuhusu kupungua uzito, akidai “amekonda sana,” jambo lililochekesha umati. Ruto hakukaa kimya alimjibu kwa kusema wapinzani wake ni wanene...
  5. Gachagua, viongozi wa dini wakimbia kupitia uzio baada ya polisi na wahuni kuvuruga ibada ya kanisani Othaya, Nyeri

    Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, viongozi wa dini wakimbia kupitia uzio baada ya polisi na wahuni kuvuruga ibada ya kanisani Othaya, Nyeri
  6. J

    Kwanini Wokosoaji wa CCM wanaishambulia kutokea Mafichoni tofauti na Gachagua wa hapo Kenya?

    Nauliza tu maana hakuna anayeikosoa CCM akiwa hadharani labda yule mchagga tu Mchungaji Malisa Sasa kwanini kama ni Ukweli utolewe huku Watoaji Ukweli huo wamejificha? Ni hilo tu Mlale unono kesho Dominica 😄🙏
  7. R

    POTOSHI Trump akimfokea aliyekuwa Makamu wa Rais Kenya, Rigathi Gachagua

    Wakuu habari, Nimekwama hapa kupata details za kutosha kuhusu haya mazungumzo ya Rais wa Marekani Donald Trump na aliyekuwa makamu wa rais Kenya Rigathi Gachagua
  8. Gachagua amtuhumu Ruto kwa kushirikiana na Al-Shabaab katika biashara za siri

    Naibu Rais Kithure Kindiki na Waziri wa Mambo ya Ndani Kipchumba Murkomen wamemtaka kiongozi wa Chama cha Demokrasia kwa Wananchi (DCP), Rigathi Gachagua aandikishe taarifa na polisi aliporejea nchini Kenya kuhusu matamshi yake kuhusu ugaidi alipokuwa Marekani alikodai kuwa rais William Ruto...
  9. R

    Gachagua ametoa shutuma nzito dhidi Rais Ruto kukandamiza jamii ya Mt Kenya

    Makamu wa Rais Mstaafu Rigathi Gachagua ametoa tuhuma nzito dhidi ya Rais William Ruto, akidai kuwa anaendesha mpango wa kutesa jamii ya Mlima Kenya kwa makusudi. Akizungumza tarehe 5 Juni 2025 katika mazishi ya shangazi yake marehemu Gladys Gathoni Kahua huko Kaunti ya Nyeri, Gachagua alisema...
  10. R

    Gachagua akanusha madai ya kupanga maandamano ya Gen Z June 25, 2025

    Kiongozi wa chama cha DCP na Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua amepuuzia madai kwamba aliwalipa makundi ya vijana kuharibu mali wakati wa maandamano ya Juni 25 ya GenZ akidai kuwa serikali inahusika na uharibifu wa mali hiyo. Hata hivyo viongozi wa upande wa serikali wanashinikiza kukamatwa...
  11. R

    Gavana wa Embu, Cecily Mbarire amemshutumu Gachagua kufadhili makundi ya vurugu kwenye maandamano ya Gen Z

    Gavana wa Embu, Cecily Mbarire, amemshambulia vikali aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, akimtuhumu kufadhili makundi yenye vurugu kuingia kwenye maandamano ya vijana hivi karibuni na kusababisha uharibifu mkubwa mjini Embu na Kiritiri. Mbarire alisema kuwa hatua hiyo ilikuwa njama ya...
  12. Mtu aliacha Shule Darasa la 2 anataka kuwa Mbunge? Tutafakari vigezo vya kugombea Ubunge

    Juzi aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, alinukuliwa akisema: “Mtu aliacha shule darasa la pili anataka kuwa mbunge? Mtu asiyejua hata neno moja la Kiingereza awe mwakilishi wa wananchi?” Hii kauli imeibua mjadala mpana kuhusu sifa za msingi zinazopaswa kumfanya mtu astahili kuwa...
  13. Gachagua awataka Wananchi kuwasusia Wasanii Wakikuyu walioshiriki Kikao cha Serikali

    Gachagua amesema hatua hiyo ni Usaliti kwa Jamii yao hivyo kuwataka watu kutosikiliza Nyimbo zao, kuwa "unfollow" kwenye Mitandao ya Kijamii na kutowaalika kutumbuiza katika matamasha na vilabu vya Starehe hadi watakapoomba radhi Amesema "Wamelipwa Elfu Hamsini kila mmoja (Takriban Tsh. Milioni...
  14. Gachagua: Maisha yangu yapo hatarini, Rais Ruto ametoa amri niuliwe

    Aliyekuwa Makamu wa Rais nchini Kenya Mheshimiwa Rigathi Gachagua amesema maisha yake yapo hatarini akimtuhumu Rais William Ruto kuhusika na tishio hilo. Gachagua amesema alipewa taarifa kuwa maafisa wa serikali wakishirikiana na polisi walipewa amri ya kumuwekea sumu kwa njia hewa akiwa...
  15. Purukushani na Vurugu zatokea wakati aliyekuwa Makamu wa Rais Rigathi Gachagua akizindua chama chake DCP

    NTV Kenya: Wamepost video za walinzi wa aliyekuwa makamu wa Rais wa Kenya wakifyatua risasi hewani kuwatawanya wahuni waliovamia na kuleta vurugu wakati Gachagua akilaunch chama chake. Riggy G anaungana na makamu mstaafu wa Rais Kalonzo Musyoka, Waziri mstaafu Matiangi, Wamalwa na Martha Karua...
  16. R

    Rigath Gachagua aanzisha chama chake

    Inawezekana kukawa na chaguzi ndogo maana wabunge wa sasa wanaweza kujiuzulu especially in Mount Kenya area kwa kujiunga na Gachagua na hivyo kuwepo na ulazima wa chaguzi ndogo. My take: 1. Ukabila, maana anatokea Mt. Kenya na inaonekana wanamuunga mkono mwenzao...Ukabila ..ethinicity 2...
  17. PreGE2025 CCM inajidhalilisha kutumia polisi kuwafunga vinywa wapinzani. Kenya, Gachagua anampopoa Rais Ruto lakini huwezi kuona Polisi wanaingilia !

    Tanzania ni nchi ya wazembe na vijana wa hovyo sana !kwa nchi zingine tusingesikia eti polisi wanavamia mkutano wa upinzani ni kama wanavamia jambazi au ni oparesheni ya kukamata magaidi. Nchi yetu Bado Ina umaskini wa fikra na sisi ni watumwa wa uhuru wetu wenyewe! Lissu kufikishwa mahakamani...
  18. Gachagua: Ruto ndiye kamanda halisi wa Kikosi Maalum cha RSF

    Makamu wa Rais wa zamani Rigathi Gachagua amemuita Rais William Ruto "kamanda halisi" wa Kikosi Maalum cha Sudan (RSF) kutokana na madai ya kufanya biashara za kifisadi na kiongozi wa kikosi hicho, Mohamed Hamdan Dagalo, maarufu kama Hemedti. Wakati ambapo vita vya RSF na jeshi la Sudan...
  19. Gachagua atishia kuwataja wanaofanya utekaji

    Aliyekuwa Naibu Rais wa Jamhuri ya Kenya Rigathi Gachagua, amesema kuwa kuna kitengo cha siri ambacho kinapanga utekaji nyara wa vijana ambao umekua ukiripotiwa nchini humo, ambapo watu 7 wakiwa wameripotiwa kutekwa na watu wanaoaminika kuwa maafisa wa Usalama siku za hivi huko nchini Kenya.
  20. Gachagua adaiwa kuanza mazungumzo ya kuungana na Upinzani ili kupambana na Ruto mwaka 2027, asema Gen Z ndio silaha yao

    Kalonzo and Gachagua’s camps are reportedly meeting in secret to devise a formula to defeat Ruto in 2027. For Gachagua, winning a duel with Ruto would be sweet revenge against the President. Wiper Leader Kalonzo Musyoka and Deputy President Rigathi Gachagua. FILE A political marriage between...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…