Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, amesema eneo la Mlima Kenya litakuwa na mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa 2027, hata kama yeye mwenyewe atazuiwa kuwania nafasi hiyo.
Akizungumza katika mahojiano Jumatano usiku, Julai 22, Gachagua alisema amekuwa akiwalea na kuwaandaa...