fumigation

  1. Jamii Opportunities

    Invitation To Tender Provision Of Fumigation Services at TIPER

    INVITATION TO TENDER NO. TP/04/2024/NCB/S/009 PROVISION OF FUMIGATION SERVICES Tanzania International Petroleum Reserves Ltd (TIPER) is a bulk fuel storage facility with its shares divided equally between the Government of Tanzania and Oryx Energies SA. The Company office is located at...
  2. VanDon

    Kiboko ya Fumigation

    Msaada kwenye tuta! Wakuu ni dawa gani nzuri zaidi kwa ajili ya kuua wadudu wakiwemo mchwa, mende, kunguni na wote wanaotambaa na wanaoruka!?!
  3. VanDon

    Wakuu ni dawa gani nzuri zaidi kwa ajili ya kuua wadudu?

    Msaada kwenye tuta. Wakuu ni dawa gani nzuri zaidi kwa ajili ya kuua wadudu wakiwemo mchwa, mende, kunguni na wote wanaotambaa na kuruka.
  4. W

    Nafasi ya kazi ya fumigation personnel

    EFT CLEANING AGENCY LIMITED inatangaza nafasi ya kazi ya Fumigation Personnel Sofa . 1. awe na Umri usiopingua miaka 21 2. Awe na utayari kufanya kazi pale atakapopangwa 3. Awe amesomea fani husika na aw na vyeti vyote muhimu vya usajili 4.Awe tayari kufanya kazi ndani ya wiki mbili toka angazo...
  5. L

    PEST CONSULT: Huduma ya Fumigation

    Pest Consult ni Kampuni iliyosajiriwa nchini Tanzania na kuruhusiwa kutoa huduma ya Fumigation/Kudhibiti Visumbufu (Pests) na Magugu. Huduma zetu ni bora na zinatolewa kwa misingi ya kisayansi na wataalam waliobobea na wenye uzoefu wa kutosha. Ofisi zetu zipo eneo la Mianzini jijini Arusha na...
  6. M

    fumigation :Tunauwa wadudu wa aina zote

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Tunafanya shughuli ya kuuwa wadudu kwa dawa ambazo zimethibitishwa na mamlaka zote nchini Tanzania. Wadudu aina zote tunapambana nao warukao,wanaotambaa . Kazi yetu inaanza iwapo ukiwa unahitaji hilo,tunakuja kufanya survey na kukupa makadirio ya gharama...
  7. ikhlas

    Naomba kujuzwa namna ya kupata kibali cha kufanya Fumigation

    Wadau naombeni msaada wa kupata kibali cha kufanyia shughuli za fumigation. Nimeambwa kinapatikana TPRI,sijui wapo wap kwa hapa Dar. Msaada wadau.
  8. BEITO International Ltd

    Tunatoa huduma bora za usafi aina zote, fumigation na gardening: Karibuni sana

    Kwa nini utuchague sisi kwa ajili ya kutoa huduma kwako? i) Kampuni yetu imesajiliwa katika mamlaka za Serikali kama vile BRELA, TRA na Manispaa/Halmashauri husika, hivyo tunatoa huduma bora kwa kuzingatia matakwa yote ya sheria na taratibu za Nchi yetu. ii) Mojawapo ya sera ya kampuni yetu ni...
  9. Master Kutu

    Vijana wenzangu tusio na ajira tuungane watu 10 tuunde kikundi cha ujasiriamali wa bidhaa na usafi wa mazingira pamoja na fumigation

    Habari ya leo wakuu,kwa muda sasa imekuwa changamoto kubwa kupata kazi hata kama una uzoefu kiasi gani bado watu kukupa ajira ni mtihani. Kwa upande wangu mimi nna uzoefu wa kutosha Katika usafi hasa ule uchafu sugu mfano kung'arisha masink na Tiles zilizo fubaa ama kuwa na uchafu sugu pamoja...
  10. C

    Karibuni sana kwa huduma za fumigation

    Karibuni Sana Chawging investment Kwa huduma za fumigation majumbani, maofisini, mashuleni, mashambani, kwene majengo, kwene masoko, mahotelini, mahospitali, kwene vyombo vya usafiri, kwene chamber za chooni, kwene vyombo vya usafiri, kwene magodown, n.k Tunatokomeza wadudu hatarishi warukao na...
  11. C

    Huduma za fumigation

    Karibuni Sana Chawging investment Kwa huduma za fumigation Tunapuliza dawa za viuatilifu kutokomeza wadudu hatarishi warukao na watambaao majumbani, maofisini, mashuleni, mashambani, kwene majengo, kwene vyombo vya usafiri, kwene chamber za chooni, kwene masoko, mahotelini, mahospitali n.k...
  12. C

    Huduma za fumigation majumbani na maofisini

    Karibuni Sana Chawging investment Kwa huduma za fumigation. Tunapuliza dawa za viuatilifu kutokomeza wadudu hatarishi warukao na watambaao Kama mbu, mende, mijusi, mchwa, kunguni, viroboto, nyoka, panya n.k. Tunapuliza dawa majumbani, maofisini, mashuleni, kwene magodown, mashambani, kwene...
  13. J

    Pascal Mayalla ataka wataalamu wa Kemia waje watueleze sintofahamu ya Fumigation na Barakoa baada ya kutafakari hotuba ya Rais Magufuli

    Mwandishi wa habari nguli mh Pascal Mayalla amewataka wataalamu wa Kemia kuja hadharani na kutuchambulia faida na hasara za kupiga fumigation mitaani na kwenye vyombo vya usafiri kama kuna tija kwenye mapambano dhidi ya Corona. Kadhari watuelimishe juu ya ubora wa barakoa kama zinaweza...
  14. S

    Emlpoyment opportunity at Setro fumigation & hygiene servicer - Pest controler position

    We are new and highly growing instution dealing with fumigation and hygiene services in Tanzania, our office are located at Kijichi, Butiama opposite Upendo dispensary, we are giving equal employment opportunity to young Tanzanian, please see the attached documents for more details
  15. Elli

    Corona: Fumigation ni Bonge la Fursa, njoo tupige kazi

    Kila janga huja na Neema zake, poleni wote mnaouguliwa na kuuguza! Kwa sasa uhitaji wa Fumigation hauepukiki! Maofisi yanatakiwa kuwa fumigated, mabasi, nyumba za Wageni, mahotel na kwingine. Si kila dawa inafaa kutumika kwa fumigation, tupia uzoefu wako. Kizuri kula na nduguyo! Karibuni
  16. X

    Huduma ya fumigation

    Kwa yeyoteanaesumbuliwa na wadudu mbali mbali tuwasiliane kupitia +255758899901. au tembelea tovuti yetu ya Xfrey kufanya booking ya huduma kutoka kwetu.
Back
Top Bottom