Vijana wenzangu tusio na ajira tuungane watu 10 tuunde kikundi cha ujasiriamali wa bidhaa na usafi wa mazingira pamoja na fumigation

Master Kutu

Member
Jun 8, 2021
77
174
Habari ya leo wakuu,kwa muda sasa imekuwa changamoto kubwa kupata kazi hata kama una uzoefu kiasi gani bado watu kukupa ajira ni mtihani.

Kwa upande wangu mimi nna uzoefu wa kutosha Katika usafi hasa ule uchafu sugu mfano kung'arisha masink na Tiles zilizo fubaa ama kuwa na uchafu sugu pamoja na Fumigation pia natengeneza dawa za kufanyia usafi na sabuni aina zote za maji na mche pamoja na shampoo.

Pia natengeneza batiki.
Kukua kiuchumi ukiwa mjasiriamali mdogo ni kazi hasa uki zingatia matumizi ya kila Siku na mauzo kuwa kidogo kutokona na uwezo wa mtaji wako.

Nime pata wazo tuungane vijana at least 10 ambao hawana ajira ili tuwe committed kuzalisha bidhaa na kutafuta masoko ya bidhaa zetu na tenda za usafi katika taasisi binafsi na mashirika ya umma.

Pia natamani tuchange pesa tununue eneo letu hata la bei rahisi Vikindu au Kisemvule kwa ajiri ya kufanyia shughuri zetu za uzalishaji
1.uzalishaji wa bidhaa za usafi na sabuni
2.utengezaji wa batiki
3.ufugaji wa kuku
4.ufugaji wa Samaki

Hizo ni baadhi ya shughuri tuta kazo tumia katika eneo letu.

Kwa uliye tayari unaweza kuni tumia number yako pm ili niku add kwenye group la watu tulio na utayari ili tuweze kuwasiliana na kujua namna tutakavo onana baada ya wote kuwa kwenye group 1 pamoja na kuandaa utaratibu wa namna gani tuta sajili kikundi chetu.
UKI TAKA KUFIKA HARAKA NENDA MWENYEWE NA UKI TAKA KUFIKA MBALI NENDA NA WENZAKO
 
Tatzo project hizi za kuungana mwisho anakusanya pesa mmoja anatokomea na hela.Tabia nyingi za sisi waafrica ni za ajabu sana,sa sijui Tatzo nn,wazo linakua zuri ila nia ya mtu imejificha ndani zaidi.

Hebu fuatilia kina Mr.Kuku na yule mkulima aliekusanya mamilioni ya watu akatokome,wote Hawa Walikua na wazo zuri lililojificha kwenye ajenda zao binafsi
 
Weka kiasi cha hela kinachohitajika, mtu anaweza kufikiri mtaungana bila hela kumbe hapo hata wakipatikana watu kama hawana mtaji ni kazi bure.
 
Tatzo project hizi za kuungana mwisho anakusanya pesa mmoja anatokomea na hela.Tabia nyingi za sisi waafrica ni za ajabu sana,sa sijui Tatzo nn,wazo linakua zuri ila nia ya mtu imejificha ndani zaidi.

Hebu fuatilia kina Mr.Kuku na yule mkulima aliekusanya mamilioni ya watu akatokome,wote Hawa Walikua na wazo zuri lililojificha kwenye ajenda zao binafsi
Hapo mkuu ni tofauti kabisa na hizo project za kina Mr.kuku maana tayari zina kuwa zime anzishwa hii ni project tuna anza kwa pamoja tuna chagua uongozi wa kikundi,tunasajili kikundi,tuna fungua account ya kikundi,tuna tafuta mwanasheria wa kikundi,tuki kamilisha taratibu zote tuna anza taratibu za kuandaa mpango wa uzalishaji na hayo mambo mengine yanayo husu lengo la kikundi hakuna mtu atakaye shika pesa ya mtu hapa
Wazo halija kaa kutafuta muwekezaji hapa sote tuna mamlaka sawa.
 
Habari ya leo wakuu,kwa muda sasa imekuwa changamoto kubwa kupata kazi hata kama una uzoefu kiasi gani bado watu kukupa ajira ni mtihani.

Kwa upande wangu mimi nna uzoefu wa kutosha Katika usafi hasa ule uchafu sugu mfano kung'arisha masink na Tiles zilizo fubaa ama kuwa na uchafu sugu pamoja na Fumigation pia natengeneza dawa za kufanyia usafi na sabuni aina zote za maji na mche pamoja na shampoo.

Pia natengeneza batiki.
Kukua kiuchumi ukiwa mjasiriamali mdogo ni kazi hasa uki zingatia matumizi ya kila Siku na mauzo kuwa kidogo kutokona na uwezo wa mtaji wako.

Nime pata wazo tuungane vijana at least 10 ambao hawana ajira ili tuwe committed kuzalisha bidhaa na kutafuta masoko ya bidhaa zetu na tenda za usafi katika taasisi binafsi na mashirika ya umma.

Pia natamani tuchange pesa tununue eneo letu hata la bei rahisi Vikindu au Kisemvule kwa ajiri ya kufanyia shughuri zetu za uzalishaji
1.uzalishaji wa bidhaa za usafi na sabuni
2.utengezaji wa batiki
3.ufugaji wa kuku
4.ufugaji wa Samaki

Hizo ni baadhi ya shughuri tuta kazo tumia katika eneo letu.

Kwa uliye tayari unaweza kuni tumia number yako pm ili niku add kwenye group la watu tulio na utayari ili tuweze kuwasiliana na kujua namna tutakavo onana baada ya wote kuwa kwenye group 1 pamoja na kuandaa utaratibu wa namna gani tuta sajili kikundi chetu.
UKI TAKA KUFIKA HARAKA NENDA MWENYEWE NA UKI TAKA KUFIKA MBALI NENDA NA WENZAKO
Nimeipenda hii, count on me 0688-064675
 
Habari ya leo wakuu,kwa muda sasa imekuwa changamoto kubwa kupata kazi hata kama una uzoefu kiasi gani bado watu kukupa ajira ni mtihani.

Kwa upande wangu mimi nna uzoefu wa kutosha Katika usafi hasa ule uchafu sugu mfano kung'arisha masink na Tiles zilizo fubaa ama kuwa na uchafu sugu pamoja na Fumigation pia natengeneza dawa za kufanyia usafi na sabuni aina zote za maji na mche pamoja na shampoo.

Pia natengeneza batiki.
Kukua kiuchumi ukiwa mjasiriamali mdogo ni kazi hasa uki zingatia matumizi ya kila Siku na mauzo kuwa kidogo kutokona na uwezo wa mtaji wako.

Nime pata wazo tuungane vijana at least 10 ambao hawana ajira ili tuwe committed kuzalisha bidhaa na kutafuta masoko ya bidhaa zetu na tenda za usafi katika taasisi binafsi na mashirika ya umma.

Pia natamani tuchange pesa tununue eneo letu hata la bei rahisi Vikindu au Kisemvule kwa ajiri ya kufanyia shughuri zetu za uzalishaji
1.uzalishaji wa bidhaa za usafi na sabuni
2.utengezaji wa batiki
3.ufugaji wa kuku
4.ufugaji wa Samaki

Hizo ni baadhi ya shughuri tuta kazo tumia katika eneo letu.

Kwa uliye tayari unaweza kuni tumia number yako pm ili niku add kwenye group la watu tulio na utayari ili tuweze kuwasiliana na kujua namna tutakavo onana baada ya wote kuwa kwenye group 1 pamoja na kuandaa utaratibu wa namna gani tuta sajili kikundi chetu.
UKI TAKA KUFIKA HARAKA NENDA MWENYEWE NA UKI TAKA KUFIKA MBALI NENDA NA WENZAKO
Ok mi nitakuwa mmoja wapo japo pia nina experince ya hii tuliwahi anzisha lakini mwisho wa siku yaliyotokea yanasikitisha ila sio tatzo naomba niwe mmoja wa member wa hii project nina uzoefu nadhani tutasaidiana kujenga sera na sheria nzuri za kulifanya kundi letu liendelee

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom