VanDon JF-Expert Member Sep 24, 2013 370 645 Dec 3, 2023 #1 Msaada kwenye tuta. Wakuu ni dawa gani nzuri zaidi kwa ajili ya kuua wadudu wakiwemo mchwa, mende, kunguni na wote wanaotambaa na kuruka.
Msaada kwenye tuta. Wakuu ni dawa gani nzuri zaidi kwa ajili ya kuua wadudu wakiwemo mchwa, mende, kunguni na wote wanaotambaa na kuruka.
mbarika JF-Expert Member Apr 1, 2015 5,626 7,406 Dec 3, 2023 #2 Mi nataka dawa nzuri ya kuuwa mchwa Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
darubin ya mbao JF-Expert Member Aug 3, 2016 1,893 4,023 Dec 3, 2023 #3 Tafuta Ngao ile tulikua tunaweka kwenye chandarua
VanDon JF-Expert Member Sep 24, 2013 370 645 Dec 3, 2023 Thread starter #4 darubin ya mbao said: Tafuta Ngao ile tulikua tunaweka kwenye chandarua Click to expand... Shukrani sana
darubin ya mbao said: Tafuta Ngao ile tulikua tunaweka kwenye chandarua Click to expand... Shukrani sana
Bellarose Member Jul 8, 2021 14 30 Dec 5, 2023 #5 darubin ya mbao said: Tafuta Ngao ile tulikua tunaweka kwenye chandarua Click to expand... ivi bado zinapatikana mkuu
darubin ya mbao said: Tafuta Ngao ile tulikua tunaweka kwenye chandarua Click to expand... ivi bado zinapatikana mkuu
The Conscious JF-Expert Member Mar 18, 2021 460 701 Dec 9, 2023 #6 mbarika said: Mi nataka dawa nzuri ya kuuwa mchwa Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app Click to expand... Mchwa wanafyeka mahindi shambani,wanachagua makubwa makubwa tu
mbarika said: Mi nataka dawa nzuri ya kuuwa mchwa Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app Click to expand... Mchwa wanafyeka mahindi shambani,wanachagua makubwa makubwa tu
VanDon JF-Expert Member Sep 24, 2013 370 645 Dec 10, 2023 Thread starter #7 The Conscious said: Mchwa wanafyeka mahindi shambani,wanachagua makubwa makubwa tu Click to expand... Wadudu waharibifu huwa hawafati vitu dhaifu, kumbuka hata wewe ukitaka kula nyama unakula ya mnyama aliyenona.
The Conscious said: Mchwa wanafyeka mahindi shambani,wanachagua makubwa makubwa tu Click to expand... Wadudu waharibifu huwa hawafati vitu dhaifu, kumbuka hata wewe ukitaka kula nyama unakula ya mnyama aliyenona.