followers

Leaders Not Followers is an EP album by the British band Napalm Death, featuring covers from various punk and metal bands. The EP has been re-issued by Secret Records on limited edition red vinyl on the occasion of Record Store Day 2013 and has also been included on their CD re-issue of Enemy of the Music Business as bonus tracks.

View More On Wikipedia.org
  1. ChekoFagia

    Nicki Minaj apoteza followers milioni 10 kwa kuongelea siasa

    Nicki Minaj amejiondoa kwenye mtandao wa Instagram, baada ya kurudi, ndani ya muda mfupi baada ya kukumbwa na upinzani mkali mtandaoni. Tukio hilo linahusishwa na ushiriki wake katika mkutano wa kisiasa wa Turning Point USA (AmericaFest) uliofanyika Phoenix, Arizona. Kwenye mkutano huo, Nicki...
  2. President of China

    Followers wa CHADEMA kwenye x.com ni 32K pekee wakati CCM wapo 882.9K

    CHADEMA ilishajifia muda, kwa sasa inaendeshwa na mashirika ya wanaharakati. Siyo chama cha siasa tena. Check hapa: Wameshindwa hata ku verify account yao
  3. Hance Mtanashati

    Diamond aweweseka, aanza kununua maroboti yamjazie idadi ya followers

    Dozi inaanza kumuingia taratibu Diamond, kila akipost hapati comments wala like za kutosha kama mwanzoni hivyo inadhihirisha nguvu yake ya ushawishi inazidi kuporomoka. Kuna post mbili alipost kupromote nyimbo zake na zote hizo post kapata mwitikio mdogo. Kaja na drama zake na kizuchu wake...
  4. 888I

    Hivi unakuzaje akaunti za Social media na kuwa na followers wengi

    Habari za muda huu Mjumbe 😂 Mimi ninaulizo hili nahitaji kufahamu Mbinu zote za kukuza akaunti za Social media haswa (Instagram na TikTok) Mbinu zote (Halali na zisizo halali) lengo ni kujifunza tu kwa vitendo zaidi wajumbe uwanja ni wenu karibuni kwa maoni....
  5. T

    INAUZWA Instagram account inauzwa

    Account ndogo ya Instagram inauzwa, Followers 5800, nicheki 0743546090 Call/text ama WhatsApp
  6. Heritage123

    Jinsi ya Kuuza Followers na Kutengeneza TZS 2,000,000+ Kwa Mwezi Kwa Kutumia Simu Yako Tu

    Katika dunia ya leo ya kidigitali, social proof ni kila kitu. Watu wanataka kuonekana wanafuatiliwa, na biashara nyingi zinahitaji followers ili kuwashawishi wateja wao. Hii ndiyo sababu kuu iliyoifanya biashara ya kuuza social media followers kuwa fursa halali, rahisi, na yenye faida kubwa —...
  7. Hustler_

    Jinsi Nilivyogundua Njia Rahisi ya Kuongeza Followers na Traffic kwenye mitandao ya kijamii

    Ndugu zangu wa Jamii Forums, Nimekuwa nikisoma mengi humu, na leo nimeona ni vizuri nami nichangie kitu ambacho kimenisaidia sana — na naamini pia kinaweza kuwasaidia mkiamua kuchukua hatua. Nilikuwa napambana kupata followers Instagram, Twitter, YouTube subscribers, lakini ilikuwa ngumu —...
  8. youngkato

    Pata elfu kumi kila siku kwa kuuza social media followers

    Ndio! Kuna website kama victoriaboost.shop zinazokuruhusu kununua followers kwa bei ya chini kabisa, kisha kuwauzia wateja kwa bei ya juu. Unapata faida papo hapo. Lakini unahitaji kujifunza JINSI ya kuifanya hii biashara kwa usahihi… Nitakupa mwongozo wa hatua kwa hatua: Jinsi ya kujiunga...
  9. Stuxnet

    Zoezi la Mange Kimambi la Unfollow Wasanii: limewaongezea followers badala ya kuwapunguzia

    Zoezi lilianza June 3 2025. Hapa ninaleta summary ya kudikia leo 18/06/ 2025 kutoka mtandao wa www.hyperAuditor.com Mwambieni Mange Kimambi afanye yake, aachane na Watanzania. Maana badala ya kupunguza followers, hawa wasanii/ watu maarufu wote wameongeza idadi ya followers.
  10. youngkato

    Siri Iliyojificha kwenye Biashara ya Kuuza Followers   Na Jinsi Watu Wanavyotengeneza pesa nyingi sana kwa kuuza followers

    Siri Iliyojificha kwenye Biashara ya Kuuza Followers – Na Jinsi Watu Wanavyotengeneza pesa nyingi sana kwa kuuza followers. Hii biashara halali (Inajulikana), isiyo na stress, isiyo na gharama kubwa, na yenye faida KUBWA sana. Leo nitakuelekeza jinsi ya kuifanya. 1. Watu wengi mnawaona...
  11. Moto wa volcano

    Kuwa makini na followers wako sio wote wanakupenda mitandaoni

    Sio kila aliye ku follow , au anaye ku view WhatsApp status ni rafiki yako / anakupenda .. wengine wanga na hafurahii movement zako be cautious. Usidhani majambazi , wachawi , watu wenye husda hawapo mitandaoni . Kuna watu wapo wanakufwatilia kuliko unavyofikiria
  12. Heritage123

    Jinsi ya Kutengeneza Pesa na Crypto (Mwaka 2025 - Mwongozo kwa Watanzania)

    Katika ulimwengu wa leo wa kidigitali, njia za kutengeneza pesa zimepanuka sana — na mojawapo ya njia zinazokua kwa kasi zaidi ni kupitia Cryptocurrency. Kama umeona watu wakizungumza kuhusu Bitcoin, Ethereum, au USDT lakini hujui waanzie wapi, basi blogpost hii ni kwa ajili yako. ✅ Crypto ni...
  13. Last_Joker

    Vijana wa Siku Hizi na Nguvu ya Mtandao: Tunajenga au Tunabomoa?

    Siku hizi, mtu akisema hana social media tunamshangaa kama kiumbe cha ajabu. Kila kitu kipo mtandaoni—kuanzia meme, trending stories, biashara, hadi mahusiano. Ila swali linabaki: Vijana tunatumia nguvu hii kujenga maisha yetu au tunajiharibia? 🤔 Nguvu ya Mtandao: Fursa au Burudani Tu? Kuna...
  14. stabilityman

    Account ya tiktok yenye followers 6000 inuzwa

    Habari wakuu Account ya tiktok yenye followers 6000 inuzwa Account ni kama flem ya biashara 0615813053
  15. Zephiline F Ezekiel

    INAUZWA Facebook page inauzwa(12k followers)

    KUNA PAGE HAPA SINA KAZI NAYO NIPENI HELA MPIGE PESA ZA ZUCK Kama unataka ukurasa ambao una watu wengi tayari basi huu hapa nipe hela umalize kwa kuweka video 2 pekee na ukidhi masharti Haina kipengele chochote sababu mimi nina kurasa zingine hivyo kuliko kubaki na kurasa nyingi hii nimeona...
  16. Heritage123

    Jinsi ya kuanza biashara ya kuuza Maua bila mtaji

    Jinsi ya Kuanza na Kufanikiwa Kuuza Followers Bila Mtaji – Mwongozo wa Hatua kwa Hatua Kabla ya kuendelea kusoma makala hii, hakikisha unabonyeza REPOST pale juu. Tayari? Chukua popcorn zako na ufuatilie mpaka mwisho, hatua kwa hatua! Safari Yangu ya Kuuza Followers Nilianza biashara ya...
  17. chakula cha watoto

    Kili Paul ni nani hapa Tanzania mpaka anapata followers wote hawa?

    Huyu Masai Hana muda sana tangu aingie au kujiunga social media kama Instagram na TikTok ila followers wanazid Kwa Kasi ya 5G,na Hana hata miaka 4 . Diamond, Millard, Wema, Shilole na wengine hasipokuwa wabunifu anaenda kuwapita followers Kama upepo Je huyu ni nan? Ana mvuto gani mpaka aongoze...
  18. X

    Donald Trump ajiunga TikTok ndani ya masaa 24 tu amepata followers milioni 2

    Make China great again? App ileile ambayo alitaka kuifungia akiwa raisi. Mzee kachekecha akili akaona ili apate kura za vijana ajiunge TikTok Post yake ya kwanza tayari imepata likes zaidi kuliko posts zote kutoka kwa @BidenHQ katika muda wa miezi 4 ambao wamekuwa kwenye TikTok. Tutashuhudia...
  19. C

    SoC04 Kabla ya kuwaza jinsi gani ya kuiboresha Elimu zaidi nchini, tuiheshimu na tuipe nafasi Elimu tuliyonayo sasa katika nafasi mbalimbali za uongozi nchi

    Kiongozi ni mtu mwenye maono ambayo yatakayowawezesha watu wake kufikia malengo flani waliyopanga au aliyonayo mwenyewe kwa maendeleo ya watu anaowaongoza na jamiii kiujumla. Uongozi ni kitu muhimu kwenye kila kitu(ngazi) iwe Taifa, familia, Taasisi, Biashara na hata katika maisha ya mtu...
  20. LIKUD

    Ushuhuda: Nimepata followers laki 2 na elfu 80+ instagram kwa sababu ya kukomenti tu

    Wakati wa vuguvugu la corona niliamua kufungua account ya ziada instagram kwa ajili ya kuwa huru kukomenti chochote. Fast forward now account yangu ina followers laki 2 na 80. Nimepata followers hao kwa sababu ya kukomenti tu kama ' Xavier" wa Quora. Kila nikicomenti kwenye trending...
Back
Top Bottom