fizikia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fbn

    Mnara wa babeli uliangushwa na kukosekana fizikia wala msimuweke Mungu

    Leo waafrika dini zimewapumbaza mfano mtu unajua siasa unajibiwa na mtengeneza muvi.Hapa ndio utambue kuwa hata mnara wa babeli uliangushwa na wachambuzi ambao akili zao zilikuwa ndogo kwenye ujenzi. Leo chawa ndio washauri wa kila jambo.
  2. Munch wa Annabelle

    Je, unaubavu wa kuisolve navier stokes? Kama wewe unajifanya mbabe wa fizikia na hesabu billioni 2 zinakusubiria

    Wana Jamii, Tunaongea sana kuhusu "fizikia ni rahisi", au "hesabu za shule zinatosha kuelewa dunia"... lakini leo twendeni mbali zaidi kidogo. Kuna equation moja ya dunia halisi—Navier–Stokes—ambayo inakataa kutii akili za watu kwa zaidi ya karne moja. Na ndio, anayefanikiwa kuielewa...
  3. R

    Walimu na wanafunzi wa Fizikia - Tamkeni vema jina Albert Einstein

    Najua si watu wengi hapa kwetu wamejifunza lugha ya Kijerumani na wala siwalaumu walimu wetu wa Fizikia kwa kutolitamka vema jina la nguli wa hisabati na newtonian mechanics - Albert Einstein. Tafadhalini walimu na wanafunzi tamkeni jina lake hivi: ALBART AINSHTAIN. Kwenye sarufi ( grammar) ya...
  4. Hot bird

    Hongereni uongozi wa SUA kwa kufuta kozi za fizikia

    Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano. Leo napenda kuupongeza uongozi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA) kwa kufuta udahili wa kozi za shahada ya elimu zenye somo la fizikia. Wamefanya hivi baada ya kukosa wanataaluma wenye uwezo na weledi wa kufundisha kozi husika ijapokua...
  5. O

    Fizikia katikati ya COVID-19

    Katikati ya mwezi wa tano mwaka 2020, dunia ilikuwa katika sintofahamu kubwa iliyoletwa kutokana na janga la corona. Ni kipindi ambacho ratiba pamoja mienendo mingi ya wanaaajamii duniani kote ilipaswa kubadilika ili kuendana na nyakati zile. Watu walipaswa kukaa mbali mbali(angalau mita moja)...
  6. K

    Serikali Iongeze nguvu kwenye masomo ya Hisabati na fizikia

    Habari za usiku wana jamvi tukiwa na furaha na ufaulu wa vijana wetu kidato cha nne kwa hakika wanastahili sifa wamefanya vizuri kama matokeo yatakuwa ni ya kweli. Lakini pamoja na kufanya vizuri nadhani changamoto imebaki katika masomo makuu mawili. Fizikia na hisabati kwa ujumla...
  7. P

    Nafasi ya kazi ya Ualimu katika Masomo ya Fizikia na Kemia

    Naitwa Mwl. Paulo Yamola Masanja Ni mhitimu wa shahada ya Ualimu wa sayansi katika masomo ya Physics na Chemistry. Lengo kuu ni kuomba nafasi ya kazi ya kufundisha kama Mwalimu katika sekondari yenye uhitaji. Kwa maswali na ufafanuzi zaidi, napatikana kupitia 0767582599 Email...
  8. bahati93

    Siri ya watoto kupenda maputo

    Hello wanajamii, Waweza kujiuliza maputo yana siri gani mpaka kupelekea watoto kuridhika na kufarijika sana pale wanapopata puto la kuchezea. Basi nitawaeleza siri ya puto. Kwanza yakupasa kujua ya kwamba kwenye ulimwengu ambao tumejikuta tunaishi kuna force kuu nne ambazo zinafanya kila...
Back
Top Bottom