Mimi hua na advocate mambo kadhaa kuhusu maiaha ya mwanaume, ikiwemo
mwanaume kuwa mzuri sio tatizo, and it is religiously accepted, mwanaume kunukia hakuna shida, mwanaume kukumbatiwa na mke wako wakati wa kulala sio shida, kufanyiwa masaji na mambo kibao.
Mwanzoni nilipata mtu wa kuniunga...