Kwa sababu ya umaskini, kuna watu walizika imani zao toka moyoni..
Kwa sababu ya hali duni ya maisha, wapo waliokimbiia familia zinazowahitaji..
Kwa sababu ya upofu wa fikra, wapo waliotoa kafara, wazazi waliowazaa..
Kwa sababu ya ubinafsi, wapo wanaojiona wao ndio wanastahili vyote..
Kwa...