engine

  1. Money Bags

    JamiiForums Tanzania Toyota 1 HZ Engine & Gear Box For Sale

    Hi Husika Na Kichwa Cha Habari Nauza Toyota 1HZ Engine na Gear Box Yake Tsh Million 8,500,000 /= Engine nzima haina tatzo lolote ilikua kwenye Land Cruiser GX 105 nikabadilisha nikaweka 1HDT cz nimetaka niwe na turbo na mwendo. Engine & Gear Box Ipo Home, Mikocheni, Dar es Salaam for viewing...
  2. Sambinyakwe kitololo

    JamiiForums Tanzania Kuna aliewahi fanya rebuild engine hii?

    Msaada Kuna mwana jf yoyote aliewahi fanya engine rebuild ya 2.7L tdv6 ilioko kwa baadhi ya discovery na range sport za nyuma kidogo around 2004 - 2007 Kuna matatizo kama crankshaft failure Gharama zake zikoje kwa hapa bongo kufix versus kununua engine nyingine na air suspension ku fail...
  3. Sitaki kuamini

    JamiiForums Tanzania Diesel engine powered block machine

    Kwa wale ambao site zenu hazina umeme,kuna hii engine ya diesel unafungiwa ni very economy! Tupo mwenge Dar es salaam 0770446052
  4. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Cadillac kuingia Formula 1 GP kuanzia msimu ujao wa 2026. Kwa kuanza, watatumia engine za Ferrari.

    Wazee, kuna hii habari nzuri kwa wapenzi wa Formula 1. Tumezoea kuona team 10 kwenye F1 Grand Prix, ila kuanzia mwakani 2026 zitakua 11 ikiongezeka ya Cadillac, ilio chini ya General Motors (GM), Ila watatumia power unit na gearbox kutoka kwa Ferrari. Habari nzuri haijaishia hapa, ila ni...
  5. Wernery G Kapinga

    JamiiForums Tanzania Natafuta engine ya pikipiki sinoray 150 au 180 (bush road) isiyo ya timing chain

    Habari wadau wote wa usafiri. Natafuta engine kwa ajili ya kufufua pikipiki yangu. Sinoray 150 au 180 naielewa zaidi. Isiwe timing chain. Tafadhali tuwasiliane 0754004189
  6. jerry spare parts service

    JamiiForums Tanzania Jerry Spare Parts Wawazawadia Wateja Wao – Njoo Upate Engine Check na free car inspection Bila Malipo!

    Habari ndugu wanajamii, Katika kuhakikisha huduma bora na kuendeleza mahusiano na wateja wetu waaminifu, Jerry Spare Parts and Services tunayo furaha kuwajulisha kuhusu ofa maalum kwa wateja wote waliowahi kupata huduma kutoka kwetu! 📢 Ndiyo! Tunatoa Free Car Inspection na Engine Diagnosis bila...
  7. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Napendekeza mabasi 300 ya mwendokasi yaliyopaki Karakana kwa ubovu wa engine, yafungwe motor za umeme

    Mabasi haya yapatayo 300, kwa sasa hayafanyi kazi, yamepaki tu bure huku abiria wa Kimara wakiishi kama wapo Somalia, inashangaza na kusikitisha, Rais hata aibu haoni.., anataka mitano tena, aibu tupu!! Sasa basi, kwakuwa maintanance ya hizo engine na gearbox za Cummins inaonekana kuwa...
  8. Mfalme_wa_Nyika

    JamiiForums Tanzania Mekanika kaniwekea Diesel Engine Oil kwenye gari langu la Engine ya Petrol. Je kuna madhara!?

    Wataalam, natanguliza shukrani. Leo ilikua muda wa kufanya service gari yangu ( SUV) ambalo ni gari la engine ya Petrol, sasa nikafika garage na hapo hapo wanauza oil, mekanika nikamwambia na kwa uzoefu wake anajua magari madogo kama hilo langu ni gari la petrol hivyo nikamwacha afanye yake na...
  9. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Ripoti inaeleza kuwa njia ya mafuta ilikatwa kabla ya ajali iliyohusisha Air India

    Usitishwaji wa usambaji wa mafuta katika injini ya ngede kabla ya kuanza safari imetajwa kama sababu ya iliyosababisha ajali ya ndege ambayo imeua watu takriban 260 hii ni kwa mjibu wa ripoti ya uchanguzi ambayo imetoka kulingana na ripoti ya ofisi ya upelelezi wa ajali ya ndege ya india...
  10. Money Bags

    JamiiForums Tanzania 1HD FT Used Engine Ya Land Cruiser Inatafutwa

    Kwema Wajumbe 😁 Husika na Kichwa Cha Habari, Nina Land Cruiser GX 105 yenye engine ya 1HZ ipo poa nzima kabisa haina tatzo lolote ila nataka kufanya an upgrade niweke engine ya 1HD FT then ni install intercooler ili gari iwe more strong and efficient. Hvyo natafuta used 1HD FT engine ya hapa...
  11. Adolph Jr

    JamiiForums Tanzania Je, engine za TVS za kununua madukani ni sawa na zinazokuja na chombo ikiwa mpya?

    Kumekucha na makucha yake.. Ni muda Tena nimekuja na wazo la kuboresha usafiri wangu TVS baada ya kuona mafundi wamezidi kuchokonoa engine. Ninampango wa kununua engine mpya ya TVS dukani nifunge cc125 ila Nina wasi wasi isije ikawa kama vifaa vingine vya mipira maana 80% ni fake. Je vipi...
  12. T

    JamiiForums Tanzania FUNDI WA ENGINE ANAHUTAJIKA

    Natafuta fundi mashine mwenye uwezo wa kubadili dizel engene HP 20 kuweza kutumia LPG Gas. Lengo ni kupunguza gharama ya uendeshaji wa mashine
  13. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Toyota wazindua Rav 4 new Generation: Ni Hybrid na EV tu, hakuna Engine kavu!

    Hatimaye Generation ya 6 ya Rav 4 imezinduliwa leo tar 21 May huko Japan, na imejumlisha re-design ya kuanzia muonekano wa nje na ndani, hadi performance. Kuendana na kasi ya ukuaji wa magari ya umeme, generation hii ya Rav 4 itakuja kwa options mbili tu, either full EV (BEV) au Hybrid (PHEV)...
  14. Revolution 22

    JamiiForums Tanzania Je, huu ni mlio sahihi kwenye engine?

    Mamb vp wakuu Gari yangu inamlio Kama siuelewi hivi nahisi Kama engine Haitoi mlio sahihi Kama nilivyoambatanisha kwenye video hapo
  15. Ibanda1

    JamiiForums Tanzania Msaada tatizo la taa ya check engine kwenye premio 1NZ

    Habari wakuu Gari yangu imepata changamoto inawasha taa ya check engine, nikamtafuta fundi kwa ajili ya diagnosis, tukapata code p1656 (vvti sensor toyota) fundi akasema ni tatizo la vvti sensor tumbedilisha lakini bado taa inawaka. Kwa mtu aliyewahi kukutana na tatizo kama hili naomba msaada...
  16. Miguel Felix Gallardo

    JamiiForums Tanzania Hivi hiki Kiberiti Toyota Vits Engine 1 KR CC 990 vipi uimara wake kwa matumizi ya Mjini

    Natumai mpo vyema nyote wanajukwaa.Naombeni msaada kwa mwenye uzoefu na hivi VIBIRITI a.k.a BABY WALKER😁😁 Toyota vits ya 2013 engine 1KR CC 990. Natafuta kigari cha kuagiza Japani ila nimezurura huko beforward nimeona kukiagiza kanachezea millioni 8 na vichenchi kadhaa mpaka hapo Daslam...
  17. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Aliyebuni hizi engine za forester XT aishi milele huko aliko

    Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU. Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma...
  18. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Air Compressed machine & diesel engine Technician

    Utapewa pakulala. Kazi ni masaa 12. Mshahara 600k. Chakula ya asubuhi mchana na jioni utapewa na kampuni. Utafanya kazi zingine zitakazo husiana na mechanical.
  19. B

    JamiiForums Tanzania Mgao wa Umeme Tanzania Nzima, Kisa cha Engine ya Dizeli na Mradi Wa Stigler's HEP, matrilioni yetu Tumepigwa tena?

    Hii Nchi sasa inabidi ifanyiwe Factory Reset. La sivyo hakuna kitu kitasimama hata tujikakamue vipi. Ni lazima mnyororo na mkondo wa Mafisadi ukomeshwe. Nani wa kuukomesha? Mafisadi hawawezi kuukomesha. Likes dissolves like hii ni kanuni ya kikemia. Unachagua fisadi unamwingiza kwenye mfumo wa...
  20. C

    JamiiForums Tanzania Msaada tutani: 2grfse (Crown Athlete), inalia knock kwa mbali sometime hailii kabisa na iko fresh, engine power haipungui.

    Habari wadau, Nimekwama hapa, mana hakuna check engine light inayowaka. Gari inalia knock kwa mbali lakini nikiwa naendesha, huwa inapotea, ila nikisimama naanza kusikia mlio wa knock. Saa nyengine nikiwa idle, hakuna mlio wa knock kabisa, engine inanguruma vizuri tu, na sometime ikiwa idle...
Back
Top Bottom