emergency

An emergency is a situation that poses an immediate risk to health, life, property, or environment. Most emergencies require urgent intervention to prevent a worsening of the situation, although in some situations, mitigation may not be possible and agencies may only be able to offer palliative care for the aftermath.
While some emergencies are self-evident (such as a natural disaster that threatens many lives), many smaller incidents require that an observer (or affected party) decide whether it qualifies as an emergency.
The precise definition of an emergency, the agencies involved and the procedures used, vary by jurisdiction, and this is usually set by the government, whose agencies (emergency services) are responsible for emergency planning and management.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Safety and emergency settings in your phone

    Happy union day everyone! Leo nimewaza hiki kitu nikaona si vibaya kushare kinaweza kumsaidia mtu mahali. Hivi ulishajiuliza incase umepata emergency yoyote mahali, ikatokea hujielewi, watu watakusaidiaje? Mfano, umepata ajali, au umepoteza simu yako. Maana simu zetu muda wote zinakuwa na...
  2. matunduizi

    Emergency fund: Unatumia njia ipi kujiwekea aina hii ya akiba?

    Nimesoma vitabu na kusikiliza hotumbq mbalimbali youtube na machapisho kadhaa ya uchumi binafsi ( personal economy) nimeona wote wanasisitiza mtu kuwa na EMMERGENCY Fund. Hiki ni kiasi ambacho umekitunza kiko standby kwa lolote litakalokupata ghafla. Kama ni mfanyabiashara au muajiriwa ni kiasi...
  3. Jamii Opportunities

    Call For Expression Of Interest (Eoi) at World Food Programme Emergency (Cash Or In-Kind Food) Response January, 2024

    Call For Expression Of Interest (Eoi) Wfp Emergency (Cash Or In-Kind Food) Response Csp 2022-2027 Strategic Outcome 1 – Crisis Response BACKGROUND WFP Tanzania is seeking Expressions of Interest (EOls) from competent national and international NGOs with presence and operations in Tanzania...
  4. U

    Tangu Maharage aondoke, TAnesco emergency simu shida, Umeme kuunga tabu

    Inawezekana yasemwayo ni ya ukweli kuwa Maharage aliondolewa Tanesco na Siasa za wafanyakazi wa ndani, ambapo mifumo ya Maharage ilirahisisha kupata huduma na kupunguza bureaucracy hivyo kufanya mianya ya rushwa baina ya mteja na TANESCO kupungua. Toka Maharage ameondoka TANESCO kitengo Cha...
  5. Ritz

    Biden administration uses emergency authority to sell tank shells to Israel

    Wanaukumbi. The Biden administration has used an emergency authority to allow the sale of about 14,000 tank shells to Israel without congressional review, the Pentagon said on Saturday. The state department on Friday used an Arms Export Control Act emergency declaration for the tank rounds...
  6. Escrowseal1

    Emergency call kwa wazarendo wa nchi yetu ambao hawajaridhia maazimio ya bunge la CCM.

    Pamoja na hawa watu kujimwambafy kwamba wamepitisha hili azimio ovu biggest majority wanaugulia maumivu .ombi langu kwa hawa wafuatao. 1. Naomba experts wa JF waandae petition kukataa haya maazimio ambayo in reality hayareflect maoni ya wananchi. 2. Ombi la pili naomba expert wa jf waandae...
  7. Annie X6

    Mkuu wa Mkoa was Dar es Salaam tuma watu wako Mbezi Louis

    Tahadhali ubungo stendi ya daladala si salama. Stend ya daladala njia ya ngazi inayounganisha stend yq juu na chini sio salama. Sio usiku mchana Wala jioni watu ni wengi sana. Lete watu wenu wananusalama wasaidie yaani msongamano madhara makubwa yatatokea. Wizi. Magonjwa. KERO. Nktafadhalini
  8. BARD AI

    WHO yatangaza kumalizika kwa Dharula ya janga la COVID-19 duniani

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa ugonjwa wa UVIKO-19 sio tena "dharura ya afya duniani". Taarifa hiyo inawakilisha hatua kubwa kuelekea kumaliza janga hili na inakuja miaka mitatu baada ya kutangaza kiwango chake cha juu zaidi cha tahadhari juu ya virusi. ============= The World...
  9. GENTAMYCINE

    Hivi Taifa lolote likiwa na 'Crisis' ya Maji na Umeme 'Kiusalama' kutangaza 'State of Emergency' ni Kosa au Kujidhalilisha?

    Na je, Maadui ( wenye Utaalam na walioiva Kimedani ) hawawezi kutumia Crisis ya Kukosekana kwa Maji na Umeme katika Taifa lolote duniani katika Kujipanga Kimashambulizi na hata Kuliharibu ( Kuliteketeza ) Taifa na Kizazi chake? ONYO Katika haya Maelezo yangu hapa sijaitaja nchi yoyote ile sasa...
  10. Expensive life

    Huu mlango wa Emergency wa ndege unaozungumzwa ndio upi wajuzi naomba mnijuze

    Kumekuwa na sinto fahamu mitandaoni kila mmoja akiongea lake ikiwemo manusura wa ajali ya ndege iliyotokea mkoani Kagera. Ni kweli ukisikikiza maoni ya watu kwa makini unaona kuna hoja hapa ya kujadili, je mlango wa Emergency wa ndege ni upi hapa, muokoaji alitumia dhana gani kuufungua? Au...
  11. Wadiz

    Pendekezo la Kuundwa Tanzania Emergency and Rescue Agency (TERA)

    Kwa rejea ya pendekezo la Abdul Nondo kuhusu majanga na desirable responsiveness and proactive plans za kimamlaka, nimeanza na brainstorming ya jina la chombo hicho, karibuni wadau kwa maoni mbali wizara mama mlezi iwe ipi na kwanini. Hayo machache. nawasilisha wakuu.
  12. GENTAMYCINE

    Legal Guru mlioko hapa JamiiForums Taifa lolote likiwa na yafuatayo kutangaza 'State of Emergency' ni vibaya?

    1. Umeme wa taabu 2. Maji hakuna hata ya Kuchambia Nnya 3. Maharage Bei Juu 4. Condoms za Kuazimana 5. Watu Milioni Saba ni Mataahira 6. Anayetakiwa kutujali Watanzania kipindi cha shida hatujali na ndiyo anataka kwenda Kuchanja tena Uviko 19 kwa Wachina 7. Wananchi hatuaminiani tena...
  13. makaveli10

    Tire/tyre mobility kit (pump ya emergency) inauzwa

    Wazee nauza tire/tyre mobility kit, hii ni pump ya kuzaja upepo kwa emergency ama hata nyumbani pia inatumia umeme wa gari, unachomeka kwenye kibiriti pale, mambo mswano. Nimetestia kujazia tairi ya nissan xtrail na ikajaza 30psi ila gauge inaruhusu mpaka 90psi Ndani ya kit unapata/unakuta. 1...
  14. Willima

    Marekani yatangaza Monkeypox kuwa dharura ya afya ya umma

    Maafisa wa afya ya umma nchini Marekani wametangaza kuenea kwa ugonjwa wa Homa ya Nyani kuwa ni dharura ya afya ya umma. Tamko hilo litaweka huru rasilimali za ziada za serikali kusaidia kudhibiti kuenea kwa virusi. Kufikia Agosti 3, zaidi ya kesi 6,600 za marehemu zilikuwa zimethibitishwa...
  15. Willima

    US declares monkeypox a public health emergency

    US public health officials have declared the spread of the monkeypox disease a public health emergency. The declaration will free up additional government resources to help contain the spread of the virus. As of August 3, more than 6,600 cases of the disease had been confirmed in the US...
  16. D

    SoC01 How to solve the problem of communication barrier of hemiplegia patient incase of an emergency..

    Hemiplegia patient is the patient who is half paralysed. This patient can not show any kind of movement like walking, speaking, eating and so on. Paralysis occur due to brain damage or spinal cord injury. So, these patients are in need of help incase of emergency. The solution of this problem...
  17. Suley2019

    #COVID19 IMF: Tanzania lazima iweke wazi takwimu za COVID-19 ili ipate msaada wa dharura

    Tanzania inahitaji kuweka wazi data ya ueneaji kwa Covid-19 kabla ya kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Maamuzi hayo yanatokana hali ya kutojulikana kwa takwimu halisi za ugonjwa huo tangu Serikali ilipoacha kuziweka wazi Mei mwaka 2020...
  18. Mad Max

    Emergency Call Tanzania

    Wakuu habari. Nchi nyingi za wenzetu, mfano Marekani tunaona kwenye movie na tukigoogle kwamba wana emergency call 911 ambayo ikitokea issue unapiga hafu wanatuma mtu kutoa msaada kama ni ambulance, polisi au zima moto. Mfano, 911 ilianzishwa USA mnamo 1968 na hadi sasa ipo na imefikia ukipiga...
  19. MaxShimba

    Weka In Case Of Emergency (ICE) kwenye simu yako ya mkononi endapo utapata tatizo wasamaria wema waweze kuwasiliana na watu wako wa karibu

    Katika maisha ya sasa hivi ni kawaida mtu kuweka PASSWORD kwenye simu yake ili kulinda na kudhibiti matumizi asiyopenda watu wafanye bila idhini yake. Hivyo basi ni vema kuweka taarifa za muhimu sana kama namba za simu za kuwasiliana nazo hata kama simu iko LOCKED. Unaweza kuhifadhi namba za...
Back
Top Bottom