drogba

  1. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Ziara za Drogba na Rio ni sawa na kumhudumia mwanamke ambaye hakupi utamu

    Sasa kama Drogba na Rio hawapost chochote kuhusu ziara zao Tanzania kwenye kurasa zao kwenye mitandao ya kijamii si ni sawa na wale wanawake wanaokula hela za majamaa huku utamu hawatoi? Hizi ziara sio sawa kabisa. Siziungi mkono. Pia msemaji wetu kusema kuwa majamaa ni marafiki wa waziri kuwa...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Badala ya kutengeneza kina Drogba wa kwetu wenye dhamana wanagombea kupiga naye picha naona aibu!

    Waswahili wana msemo wao kwamba usione vyaelea ujue vimeundwa Ukweli ni kwamba nakereka sana kuona uongozi wa nchi yetu uko bize kupiga picha na Drogba raia wa ivory. Ni lini na sisi tutatengeneza wa kwetu ili tuache ulimbukeni wa kushabikia na kushobokea wa wenzetu?
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Rais Samia azungumza na Didier Drogba Ikulu Chamwino. Amuomba awe Balozi wa Tanzania kuelekea AFCON 2027

    Naona Didier Drogba ameshajipatia ajira mpya kutoka Tanzania vile atakavyokula kodi za wananchi kwa ulaini kabisa! Ila ajiandae kwa masimango kutoka kwa Watanzania wenye hasira kali na kodi zao ============== Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye...
  4. Nelson Kileo

    JamiiForums Tanzania Ni vile tu hatuna Taifa lenye uwajibikaji, ila hii ziara ya Drogba ina harufu ya ufisadi

    Unamuita Drogba wakati Sekta ya mpira ikiwa na matatizo lukuki, ukata mkubwa wa Vifaa na miundombinu ya Michezo Mashuleni na Mitaani, hatuna academy za kutosha nchini. Suala la Msingi: Wakati Didier Drogba akilipwa fedha nyingi kama "pambo" la usomaji wa hotuba ya bajeti, sekta ya michezo...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Didier Drogba tunaweza kumshitaki wapi kwa kubariki mauaji ya watanganyika?

    Didier Drogba apelekewe moto hadi ajue hatutaki usenge wa kusafisha wauwaji by Think Different Anakuja kuhalalisha mauaji ya watanganyika. Makonda anadhani kwa vile watanganyika ni malofa wa mpira watasahau mauaji! Hakupashwa kupokea mwaliko juu kwa vile hawa ni wauaji! "Tumshitaki" wapi?
  6. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo yamleta Didier Drogba Bungeni kushuhudia uwasilishaji wa bajeti ya wizara hiyo

    Mwanasoka wa zamani wa Chelsea, Galatasaray na timu ya taifa ya Ivory Coast ametua jijini Dodoma na kuelekea bungeni ambapo ni mualikwa wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo. Drogba akiwa bungeni atashuhudia uwasilishwaji wa bajeti ya wizara hiyo. Una maoni gani?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Didier Drogba atinga bungeni kushuhudia uwasilishwaji wa makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

    Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Ivory Coast na klabu ya Chelsea, Didier Drogba amewasili Bungeni Jijini Dodoma akiwa ni miongoni mwa wageni watakaoshuhudia uwasilishwaji wa makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2026/2027
  8. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Ile Ivory Coast ya kina Drogba, Kolo Toure, Didier Zokora na wakali wengine ilituhujumu waafrika.

    Wakuu nimetafakari kwa makini na kujiuliza maswali mengi sana ila binafsi nimeona ni hujuma tu hakuna sababu nyingine. Haiwezekani timu iliyokuwa na wakali wote waliokuwa wanavuma kwenye timu zao za Ulaya ishindwe kufanya la maana kwenye world cup au mashindano mengine makubwa. Hii Ivory Coast...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Cristiano Ronaldo and Didier Drogba vs Tottenham record

    THE MOTHER OF COINCIDENCEs! 🤯 Cristiano Ronaldo & Didier Drogba are The Oldest Players Ever to Both - Score & Assist a Goal in a Single Premier League Game — Both of them were Exactly The Same Age, when they achieved the feat - At 36 years and 267 days old. 😳 — Both of them achieved this feat...
  10. Slowly

    JamiiForums Tanzania Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

    Mambo si mambo huko Instagram, Mega Star wa Bongo fleva , Diamond Platnumz amemwaga Povu zito Kwa FORBES , jarida linalohusika na kutoa takwimu za ukwasi wa watu maarufu duniani , Kwa kutofanya utafti wa kutosha kuhusu Mali zake .... Kufuatia post hiyo mastaa mbali mbali wametia Nebo huku...
  11. Sinister

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Drogba slams racist COVID-19 comments.

    Drogba slams racist COVID-19 comments Apr 3, 2020 - 01:32 pm By Lorenz Kohler INTERNATIONAL Football legends Didier Drogba and Samuel Eto'o have slammed comments made by two French doctors that COVID-19 vaccines should be tested on Africans first. Drogba labelled the suggestion as taking...
  12. Kwetu Masaki

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz amtetemesha Didier Drogba Kwenye Birthday Yake {VIDEO}

    Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na C.E.O wa WCB Diamond Platnumz akiwa chini Ufaransa ameweza kufanya tukio kubwa sana la Kuperfom wimbo wa TETEMA kwenye birthday ya aliyewahi kuwa mchezaji wa Chelsea Didier Drogba
Back
Top Bottom