Sasa kama Drogba na Rio hawapost chochote kuhusu ziara zao Tanzania kwenye kurasa zao kwenye mitandao ya kijamii si ni sawa na wale wanawake wanaokula hela za majamaa huku utamu hawatoi? Hizi ziara sio sawa kabisa. Siziungi mkono.
Pia msemaji wetu kusema kuwa majamaa ni marafiki wa waziri kuwa...
Waswahili wana msemo wao kwamba usione vyaelea ujue vimeundwa
Ukweli ni kwamba nakereka sana kuona uongozi wa nchi yetu uko bize kupiga picha na Drogba raia wa ivory.
Ni lini na sisi tutatengeneza wa kwetu ili tuache ulimbukeni wa kushabikia na kushobokea wa wenzetu?
Naona Didier Drogba ameshajipatia ajira mpya kutoka Tanzania vile atakavyokula kodi za wananchi kwa ulaini kabisa!
Ila ajiandae kwa masimango kutoka kwa Watanzania wenye hasira kali na kodi zao
==============
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye...
Unamuita Drogba wakati Sekta ya mpira ikiwa na matatizo lukuki, ukata mkubwa wa Vifaa na miundombinu ya Michezo Mashuleni na Mitaani, hatuna academy za kutosha nchini.
Suala la Msingi:
Wakati Didier Drogba akilipwa fedha nyingi kama "pambo" la usomaji wa hotuba ya bajeti, sekta ya michezo...
Didier Drogba apelekewe moto hadi ajue hatutaki usenge wa kusafisha wauwaji by Think Different
Anakuja kuhalalisha mauaji ya watanganyika. Makonda anadhani kwa vile watanganyika ni malofa wa mpira watasahau mauaji!
Hakupashwa kupokea mwaliko juu kwa vile hawa ni wauaji!
"Tumshitaki" wapi?
Mwanasoka wa zamani wa Chelsea, Galatasaray na timu ya taifa ya Ivory Coast ametua jijini Dodoma na kuelekea bungeni ambapo ni mualikwa wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo.
Drogba akiwa bungeni atashuhudia uwasilishwaji wa bajeti ya wizara hiyo.
Una maoni gani?
Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Ivory Coast na klabu ya Chelsea, Didier Drogba amewasili Bungeni Jijini Dodoma akiwa ni miongoni mwa wageni watakaoshuhudia uwasilishwaji wa makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2026/2027
Wakuu nimetafakari kwa makini na kujiuliza maswali mengi sana ila binafsi nimeona ni hujuma tu hakuna sababu nyingine. Haiwezekani timu iliyokuwa na wakali wote waliokuwa wanavuma kwenye timu zao za Ulaya ishindwe kufanya la maana kwenye world cup au mashindano mengine makubwa.
Hii Ivory Coast...
THE MOTHER OF COINCIDENCEs! 🤯
Cristiano Ronaldo & Didier Drogba are The Oldest Players Ever to Both - Score & Assist a Goal in a Single Premier League Game
— Both of them were Exactly The Same Age, when they achieved the feat - At 36 years and 267 days old. 😳
— Both of them achieved this feat...
Mambo si mambo huko Instagram, Mega Star wa Bongo fleva , Diamond Platnumz amemwaga Povu zito Kwa FORBES , jarida linalohusika na kutoa takwimu za ukwasi wa watu maarufu duniani , Kwa kutofanya utafti wa kutosha kuhusu Mali zake ....
Kufuatia post hiyo mastaa mbali mbali wametia Nebo huku...
Drogba slams racist COVID-19 comments
Apr 3, 2020 - 01:32 pm By Lorenz Kohler
INTERNATIONAL
Football legends Didier Drogba and Samuel Eto'o have slammed comments made by two French doctors that COVID-19 vaccines should be tested on Africans first.
Drogba labelled the suggestion as taking...
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na C.E.O wa WCB Diamond Platnumz akiwa chini Ufaransa ameweza kufanya tukio kubwa sana la Kuperfom wimbo wa TETEMA kwenye birthday ya aliyewahi kuwa mchezaji wa Chelsea Didier Drogba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.