dp world

DP World is an Emirati multinational logistics company based in Dubai, United Arab Emirates. It specialises in cargo logistics, port terminal operations, maritime services and free trade zones. Formed in 2005 by the merger of Dubai Ports Authority and Dubai Ports International, DP World handles 70 million containers that are brought in by around 70,000 vessels annually. This equates to roughly 10% of global container traffic accounted for by their 82 marine and inland terminals present in over 40 countries. Until 2016, DP World was primarily a global port operator, and since then, it has acquired other companies up and down the value chain.

View More On Wikipedia.org
  1. mirindimo

    Kodi za TPA 2026 chini ya DP World

    1. Infrastructure Improvement Levy 2. Environmental Management Charge 3. Cargo Handling Charges 4. Container Handling Fees 5. Vehicle Handling & Clearance Charges 6. Storage Charges 7. Berth / Vessel Service Charges 8. Terminal Service Fees 9. Administrative & Port Service Fees
  2. M

    Ada mpya za Bandari zimeanza kutumika tangu Machi 8, 2026. Ni mwendo wa kukamuliwa mpaka tujute!

    Kwenye gharama za Wharfage ndio kuna maumivu makubwa. Wharfage (tozo ya kutumia gati/bandari) imeongezeka karibia mara 5–7 zaidi ya ilivyokuwa mwanzo. Kwa mfano, kama gharama ilikuwa 1,000 kwa kontena, now ni mara 5–7 yake. Kama mwanzo ulikuwa unapaswa kulipia 250,000 TZS, now jiandae kutoa...
  3. O

    Inawezekana DP World wa kweli yupo hapa hapa nchini

    Ameandika BAK Mwabukusi "DO NOT STOP ...FORGET ABOUT IT. TPA tuliambiwa haina uwezo wakaletwa wenye mtaji DP World je umewahi tangaziwa wamewekeza kiasi gani hapo Bandarini? Kwa hiyo ikifika kugharimia fedha za kuendeleza Miundombinu wanarudi kutubebesha mzigo watanganyika na hapo ndipo ndugu...
  4. Mtemi mpambalioto

    Boss wa DP WORLD katika kashfa za kuua baada ya kupishana na washirika kibiashara

    https://x.com/AboDantee/status/2022431434254987763 Boss wa DP world Sultan Ahmed bin Sulayem amejiuzulu nafas yake baada ya kuhusika na mauaji ya washirika wake kibiashara! Boss huyu ametajwa katika mafaili ya EPSTEN baada ya kuonekana akipika chakula kinachosemekana ni cha binadamu mtoto je...
  5. Jidu La Mabambasi

    Bosi(CEO) wa DP World aondolewa kwa kuhusika na danguro la Epstein.

    Dubai CEO named in Epstein files resigns from DP World Story by Omar Abdel-Baqui DUBAI—DP World Chairman and Chief Executive Sultan Ahmed Bin Sulayem resigned from the Dubai-based global ports operator Friday, after documents released by the Justice Department showed he had ties to convicted...
  6. O

    DP World imemfukuza kazi Sultan Ahmed bin Sulayem kutokana na madai ya mfanyabiashara huyo kuwa na uhusiano na Epstein

    DP World, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji na usimamizi wa mizigo inayomilikiwa na Falme za Kiarabu (UAE), imemwondoa Sultan Ahmed bin Sulayem katika nafasi ya mwenyekiti na mtendaji mkuu kufuatia uchunguzi mkali kuhusu urafiki wake na marehemu Jeffrey Epstein. Kampuni hiyo Ijumaa ilimteua...
  7. ChoiceVariable

    Ingizo la DP World Lawa Kimbilio Kwa Wasafirishaji.Tani Milioni 28 Zaingiza Mapato Trilioni 14 kupitia Bandari ya Dar

    My Take Kama sio juhudi za mageuzi ya kiuchumi za Rais Samia Leo Bandari ya Dar ingekimbiwa na wateja Kwa sababu za kipuuzi za miaka yote huku wanaojiita Wazalendo walishindwa kutoa suluhisho. Hivi navyoandika hapa Kwa mwaka huu wa 2025/26 tayari Kuna ongezeko la Mizigo Kwa zaidi ya asilimia...
  8. R

    Msigwa: Tunategemea Mkataba na DP World kudumu miaka 30

    Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza leo Januari 20, 2026 na vyombo vya habari amesema serikali mkataba NA DP World kudumu kwa miaka 30 Aidha ameeleza kuwa malengo yaliyowekwa na serikali ilikuwa kuwekeza dola Milioni 250 kwa kipindi cha miaka 5 ambapo ndani ya 2021 hadi 2022...
  9. Bawabu wa pili

    Msigwa: DP World imezalisha zaidi ya ajira 764 za moja kwa moja

    Katika press ya msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ameeleza namna ambavyo bandari ya DP World ilivyotatua changamoto ya ajira kwa viajana wasomi wa kitanzania ambapo amesema bandari hiyo imezalisha zaidi ya ajira 764 za moja kwa moja na ajira zisizo za moja kwa moja nyingi zimezalishwa...
  10. Nyankurungu2020

    Hizi propaganda mnazoeneza kuwa Hayati JPM alikumbatia mafisadi ni upuuzi. Jibuni tuhuma zenu. Why DP world? Why Nepotism.?

    Msiwawafanye watanzania ni wajinga na wapuuzi. Kwa nini Dp World ambao ni waarabu wapewe kandarasi ya kuendesha bandari wakati uwezo tunao. Kama ni kupanua na kujenga angepewa mkandasi akajenga na kuweka miundombinu ya kisasa. Watanzania wakapewa utaalamu na kuendesha bandari yao. Kuhusu...
  11. Genius Man

    Twendeni tukawasimilie dp world tuwafungishe virago waondoke kwenye nchi yetu nguvu ya wananchi

    Twendeni tukawasimilie dp world tuwafungishe virago waondoke kwenye nchi yetu nguvu ya wananchi
  12. Mafyangula

    GE2025 Makonda: Leo hakuna tena mjadala kuhusu uwekezaji wa bandari, kwa sababu matokeo ya kiuchumi yanaonekana wazi

    Huyu Makonda anacheo gani hadi kwenda kukagua bandari? Mbona mwaka vituko ni vingi Wakati sasa hivi alitakiwa kuwa kwenye jimbo analogombea ili aendelee kupiga kampeni zake lakini yeye kiguu na njia. Au ndio anaona kashapita? ============== Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini amempongeza...
  13. Genius Man

    Tutenda pale bandarini kwa DP world wengine bungeni, wengine nendeni ikulu nendeni, wengine nendeni kwenye tume huru

    Tutaenda pale bandarini kwa DP world wengine bungeni, wengine nendeni ikulu nendeni, wengine nendeni kwenye tume huru kudai mabadiliko wanajifanya hawasikii. Sasa tuone watalinda wapi.
  14. R

    COURT DISMISSES DP WORLD PETITION: What's next on the board to come

    COURT DISMISSES DP WORLD PETITION By FAUSTINE KAPAMA-Judiciary ........................................................... Judges Danstan Ndunguru, Mustafa Ismail and Abdi Kagomba ruled in favour of the Attorney General and three other Respondents after holding that the constitutional petition...
  15. K

    Uwekezaji wa DP world na wengine kwa Mama

    Yaani hiyo package wenyewe wanapata nini
  16. R

    Deni la taifa limefikia Trilioni 116, Nafasi ya DP World iko wapi? Tuliambiwa mapato yataongezeka hivyo kupunguza deni

    Salaam! Rais Samia na serikali yake walitwambia kuwa ujio wa DP World utaongeza mapato ya serikali kwa kiasi kikubwa na kufadhili budget yetu. Sasa maswali yanakuja je! Ikiwa mapato yameongezeka serikalini,iweje deni likue, kwanini lisilipwe kwa amount kubwa ikibidi limalizwe sababu ya ujio wa...
  17. D

    je wanachama wa simba tunaluhusiwa kuuza hisa zetu?? kuna kama 800k kila kadi kwa dp world na bakhresa

    I will be short kuna card za chana 50 k na kuna 40 billion on the table for simba sc shares. hapo kila mtu ana 800k kila card. Kama vipi simba tuuze tu, naona dp world na bakhresa wanavizia hisa za mo wakati wanachama tupo na kadi hazina hata faida. anyway ngivuu mmmoyaaa 😂
  18. GENTAMYCINE

    Haya sasa wana Simba SC wenzangu bahati hii imekuja, tafadhali tuitumieni na tuachane rasmi sasa na Tajiri Mo Dewji ambaye anatupotezea tu muda

    Taarifa zilizonifikia ni kwamba Kampuni Tajiri ya DP WORLD inataka Kuidhamini Simba SC na kuichukua kwa 49% tu.
  19. A

    KERO Ujio wa DP World mbona haujatupunguzia kero ndogondogo Wafanyakazi wa Bandarini?

    Huku Bandarini tangu DP World wamekuja mambo yamekuwa magumu kwa Wafanyakazi, hatuna over time. Pia wafanyakazi wengi wamehamishwa, yaani tafrani tupu, kubwa zaidi ni kuwa hatulipwi kwa wakati, mfano sasa hivi tulipaswa kupewa pesa zetu za rent tangu June mpaka leo tunaitafuta August 2025 bado...
  20. ChoiceVariable

    Plasduce Mbossa: DP World Imeigeuza Bandari ya Dar kuwa Kitovu cha Usafirishaji Afrika Mashariki na Kimbilio la Exporters

    Haya ndio matunda ya ubinafsishaji kama yalivyoelezwa na Director wa TPA. Bandari ya Dar es Salaam Yabadilika: Kutoka Kero hadi Kituo Bora cha Biashara Afrika Mashariki na Kati Hapo awali ilijulikana kwa msongamano, ucheleweshaji na urasimu mkubwa, lakini sasa bandari ya Dar es Salaam imepitia...
Back
Top Bottom