dotto magari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. shamimuodd

    Kumbe Dotto Magari alikuwa Teja?

    GTs, Kijana anayetukana wasomi alikuwa Teja la unga, je kipato chake ni halali au ndiyo kawa pusher halafu anadanganya watu ana akili biashara imekubali? Nadhani mamlaka ya kuthibiti madawa wamtembelee
  2. A

    DOKEZO Dotto Magari atasababisha watoto wengi kukataa shule

    Habarini za asubuhi. Kama mdau wa elimu sipendezwi na hawa watengeneza maudhui wa mtandaoni ambao wamekua wakikashifu wasomi na elimu kwa ujumla. 1. Ni ukweli usiopingika kwamba wasanii wengi imeonekana wamefanikiwa kuliko wasomi walio wengi lakini haimaanishi elimu haina umuhimu kwa kizazi...
  3. GENTAMYCINE

    Dotto Magari: Wanaondesha Gari za IST ni Washamba, Wapiga Mizinga, Wakopaji Wakubwa, Waongo, Wanafiki na wapenda Majungu mno

    Mleta huu Uzi GENTAMYCINE hata Baiskeli tu sina / hana, ila nimeamua / kaamua kuwa Mjumbe wa kuleta hiki alichosema Dotto Magari. Kazi Kwenu wenye IST zenu. Imeisha hiyo.....!!
Back
Top Bottom