Mapema kabisa hakikisha mke na yeyote aliye ndani ya himaya yako anatii na kufuata sheria ulizoweka. Kusiwe na majadiliano yoyote ili mradi humuonei mtu. Mke, mtoto, ndugu au mgeni aliye ndani ya nyumba yako afuate utaratibu. Kimsingi ukiwa BABA KATAA DEMOKRASIA NDANI YA FAMILIA. Udikteta ndo...
Hakuna jipya chini ya jua.
Tangu enzi na enzi, kila dikteta lazma awe na mtu wa kutekeleza mipango ya kimafia au unyama.
Mara nyingi watu hawa huwa hawawajibishwi na mamlaka zozote za kiserikali bali tu kwa wale wanaowatuma.
Idd Amin alikuwa na Brigedia Jenerali Isaac Malyamungu.
Huyu alikuwa...
Jumapili ni tulivu! Pamoja na kwamba Tuna PM wa mchongo, na wakati huo Namba moja na Namba mbili hawapatani wanaogopa kutiliana sumu tuangalie hapa chini
Haina ubishi wote mliokuwapo wakati wa Nyerere alikuwa dictator Lakin mwenye akili natoa mifano michache tu
1. Mzee mtei aliachana naye kwa...
Tume ya Fidia ya Gambia imeanza kulipa fidia kwa waathirika wa ukiukwaji wa haki za binadamu uliotekelezwa chini ya utawala wa aliyekuwa dikteta wa nchi hiyo, Yahya Jammeh, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Januari 13, 2026
Tume hiyo imesema hatua hiyo ni “hatua muhimu” katika kutimiza jukumu...
Alikuwa busy kuhakikisha rasilimali za umma zinawaletea maendeleo wananchi.
Akawaambia tuwe tunajikita kwenye ujenzi wa taifa baada ya uchaguzi. Then baada ya miaka mitano tunafanya siasa.Wakamuita dikteta uchwara
Leo hii wanaishi kwa uoga, hata kuweka comment Facebook na Watsap wanaogopa...
Magufuli alikuwa Dikteta lakini alikuwa mzalendo kwa nchi yake, kama ilivyo kwa Putini, lakini Samia yeye si mzalendo hata kidogo bali ni ........wa rasilimali za Tanganyika.
Na bado ameingia madarakani kimchongo si Rais halali na ameenda mbali zaidi akawauwa Watanganyika Wazalendo ambao...
Wanabodi
Hebu msikilizeni huyu jamaa, Mkenya anaitwa Rodgers Kaka Sungura
https://youtu.be/FFVNsTEI690?si=g-1g15frbAOn6yYz
Anatema uongo kumhusu Rais Samia, Anamtukana na kumuita Dikteta Iddi Amini Mama, amemtukana Rais wake Ruto kuwa ni Dikiteta Iddi Amini Baba, na kusema Uganda kulikuwa na...
Siongezi neno:
"Mwanamke aliyetarajiwa kufungua njia kwa wanawake wengine kuwa viongozi Afrika, kwa mshangao mkubwa, amegeuka kuwa dikteta hatari, na kuweka kiwango kipya cha udikteta, kiasi cha kumfanya M7 kuonekana ni mtakatifu"
"A woman who was expected to open new frontiers for women...
1.Kiongozi Dikteta ni Kiongozi wa Namna Gani?
Kiongozi dikteta ni mtu anayeshikilia madaraka makubwa ya kisiasa bila mipaka ya kikatiba au ridhaa halali ya wananchi. Mara nyingi:-
•Anapora mamlaka yote: Anadhibiti mihimili yote ya dola – Bunge, Mahakama, na Serikali.
•Hapokei ukosoaji...
Alikuwa na kiburi na akadhania yeye ni Mungu mtu kwa kutumia nafasi ya Ikulu
Lakini alikufa kama panzi mikononi kwa watoto wadogo.
Tunahitaji fairness kwenye taifa lefu, iwe ni suala la ajira, uchaguzi na hata haki za kuishi
https://youtu.be/wUu2W2Mk3k0
General Paul Kagame amezungumzia mgogoro wake na Congo. Moja ya vitu alivyovisema ni kwamba wale wote ambao wanaamini kwamba wanaweza kuitishia Kigali wakiwa mbali anao uwezo wa kuwafuata hukohuko makwao.
Akaendelea kusema kwamba, wale waliokuwa wanaiunga mkono...
Sio mwengine bali ni waziri mkuu wa mwanzo wa Singapore bwana Lee Kuan Yew.
Mbeba maono aliye ivusha Singapore ka eneo kadogo kaliko kataliwa na Malaysia na kujitenga na kupata nchi yake iliyo jaa umasikini uliotopea lakini mbeba maono huyo aliivusha Singapore toka eneo dogo Asia na dunia kwa...
Habari za Leo!
Unapomkoaa Boss au mtawala au kiongozi wako. Moja ya mambo muhimu ya kuzingatia ni mtazamo wake juu yako.
Je ni Negative au positive?
Kama mtazamo wake ni Negative, hata ukimkosoa kiungwana na kiupole kwake ataichukulia kama dharau, chuki na vita. Hivyo majibu yake yanaweza...
Si mwingine bali ni mtu mfupi wa kimo bali mrefu wa maarifa na kuona mbali kuhusu kesho ya taifa lake Deng Xiaoping
Mkomunisti na dikteta bora wa kichina aliye iokoa chini yake kutumbukia shimoni mwa umasikini uliotopea na mvurugano mkubwa wa kisiasa.
Deng Xiaoping alinusurika kuuwawa na...
Dikteta bora Park Chung Hee former South Korea Military General.
Rais wa Korea kusini 1963-1979.
Dikteta aliye itoa Korea Kusini kwenye matope na umasikini uliotopea kwa mkono wa Chuma.
Bintiye alikuja kuwa Rais wa Korea Kusini akaishia jela.
Toka harakati za uhuru Asia imewahi kubahatika...
https://www.facebook.com/share/v/1BgsNVZPy9/
Sikiliza kwa makini hii Video clip ndipo utajua nani ni Dikteta Tanzania anayeteka, kupoteza na kuua watu.
Akili za kuambiwa changanya na za kwako( Mbayuwayu style).
Tafakari
Ukimuangalia sura yake unaweza ukadanganyika lakini Samia Suluhu ni mwanamke katili rais Afrika kwa sasa.
Madikteta wenzake Afrika mashariki Yoweri Museveni wa Uganda na Kagame wa Rwanda kwa sasa hawamfikii Samia kwa ukandamizaji wa wapinzani wake wa kisiasa.
Mpinzani wake wa chama kikuu cha...
Hapo nyuma kidogo palisemwa kuwa Taifa lilipofikia linahitaji rais dikteta.
Dikteta akaingia na akatawala kidikteta kweli kweli
Upinzani makaminywa mazaga
Vyombo vya habari vikaminywa mazaga
Wapinzani wakatekwa
Wapinzani wakauwawa
Risasi zilirindima mchana kweupe
Utenguzi wa watendaji...