derby ya kariakoo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Damaso

    Uamuzi wa TFF kutafuta kampuni moja ya Betting kwa ajili ya Derby ya Kariakoo ni Uamuzi wa Ovyo sana

    Ligi kubwa duniani kama English Premier League (EPL) na LaLiga hazijawahi kuogopa sekta ya betting wala kuweka wazi kuwa Shirikisho la soka la FA litatafuta kampuni moja pekee kwa ajili ya michezo ya Manchester United dhidi ya Manchester City au Arsenal dhidi ya Tottenham Hotspur. Badala yake...
  2. Rico redi

    Kwahiyo kuna watu mlitegemea Kibu, Ahoua ndio wafungue defence ya Yanga? na mbinu zilizokuwa zinasemwa Simba Day ndiyo hizi au zingine?

    Mara ya 6 mfululizo simba anakaa hata yanga ya bakuli hawakuwahi kupigwa Mara 6 consecutively Huwezi ukaacha kusajili top players halafu ukategemea propaganda ilianza pira bovu simba day tukasema Mara oh ni reserve kwa ajili ya tar 16 na mbinu ndo hizi Huyu kante ndo alikua anaimbwa na ndo...
  3. DELETED ACCOUNT

    Sikiliza maoni ya huyu mwamba kuhusu derby ya kariakoo na siasa zetu halafu utoe maoni yako

    Unajua watanzania pamoja na kupenda kwetu hizi timu za kurithi, tuamue nini hasa ni muhimu kwa taifa hili na katika maisha yetu. Embu msikilize huyu mwamba anachosema kuhusiana na derby ya Kariakoo. Inakuwaje hadi bungeni eti wanajibizana kuhusu mpira tena katika misingi ya kishabiki, yaani...
  4. Inside10

    Mechi ya Yanga dhidi ya Simba, June 25 kuchezeshwa na Waamuzi kutoka Misri

    Mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga SC na Simba SC utachezeshwa na waamuzi kutoka nchini Misri. Mwamuzi wa kati atakuwa Amin Mohamed Amin Omar, msaidizi namba moja ni Mahmoud Ahmed Abo El Regal, huku msaidizi namba mbili akiwa Samir Gamal Saad Mohamed. Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga SC...
  5. Mshana Jr

    Kiki ya derby ya Kariakoo ndio imebamba ila tunaua soka letu

    Ujio wa NO REFORMS NO ELECTION na kukubalika kwakwe na Watanganyika kulizitikisa sana mamlaka za juu.. Lakini pia ishu ya TAL, Utekaji na mauaji na mengine mengi ya CHADEMA.. Sasa ili kufubaza haya yote ilibidi yatafutwe matukio yatakayokuwa gumzo kwa muda mrefu Kwenye hali kama hizi wasanii...
  6. M

    Hadi sasa derby ya Kariakoo tarehe 25, Yanga anaongoza 2-0 nje ya uwanja

    Kisaikolojia mbumbumbu wamepigwa knock out ya kushtukiza ambayo imewaacha wakiwa Awana la kufanya! Viongozi wao ni juzi tu wametoa kipeperushi cha kutokucheza mechi endapo itaghairishwa ya trh 15,,lakini kabla jogoo ajawika bodi ikatangaza kughairisha mechi na kupeleka trh 25! Sasa viongozi wao...
  7. Holoholo-Baba Kijacho

    Tetesi: Derby ya Kariakoo iliyopangwa kuchezwa june 15 kusogezwa mbele

    Wakuu, Kutoka ndani ya vyanzo vyangu vya habari na watu nyeti waliopo ndani ya bodi ya league kuu ya Tanzania wamenipenyezea taarifa kuwa derby hiyo haichezwi tarehe 15june 2025 badala yake itasogezwa mbele. au mchezo huo utafutwa kabisa. tukae kwa kutulia Mnyukano ni mkali sana.
  8. DuaZaMama

    Derby ya kariakoo serikali imewaachia mamlaka za mpira, huku ikifuatilia Kwa ukaribu mvutano uliopo

    Mbunge wa Jimbo la Makete (CCM) Festo Sanga ameitaka serikali kutoa kauli kuhusu mvutano unaoendelea kuhusu Dabi ya Kariakoo inayohusisha klabu za Simba na Yanga. Akijibu swali hilo Jumatano Juni 11,2025 Bungeni Jijini Dodoma Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amesema...
  9. The introvert

    Je, hali inayoendelea kuhusu derby ya Kariakoo ni mpango mkakati wa kisiasa?

    HABARINI ZA ASUBUHI WANAJAMVI. Naomba tushirikishane mambo machache kuhusu hali iliyopo kwa sasa kuhusiana na suala la derby ya kariakoo. Je hali hii endelevu ya sintofahamu iliyopo baina ya TFF, TPLB, SIMBA SC pamoja na YOUNG AFRICANS SC ni mpango maalumu wenye mlengo wa kisiasa kwa ajili ya...
  10. Heparin

    Bodi ya Ligi yapigilia msumali suala la derby, yasema ipo na lazima ipigwe Juni 15, 2025

    Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi kuu nchini Tanzania Almas Kasongo amesema kuwa kikao cha leo kilikuwa ni kikao cha kupokea matakwa ya Yanga Sc ambao wamekuja na matakwa manne ikiwa ni kujiuzuru kwa Mwenyeketi wa bodi ya ligi, kujihuzuru kwa Afisa Mtendaji mkuu wa TPBL, Katibu mkuu wa TFF na...
  11. Mhafidhina07

    Kama Derby ya Kariakoo ilihairishwa kwa sababu timu moja wapo iligoma kucheza basi si vibaya bodi ya ligi wakahairisha tena

    Mnamo 07/03/2025 mida ya saa 6 usiku klabu ya simba kupitia Idara ya habari ichapisha na kusambaza habari za kutoshiriki mchezo wa ligi ambapo ulipaswa kucheza keshi yake(08/03/2025) watu wengi tulipigwa na butwaa kwa maamuzi haya ambayo yaliipa hasara timu ya Yanga kutokana na maandalizi ndani...
  12. ngara23

    Kikosi cha Yanga siku ya derby ya Kariakoo June 15

    Tusikose mechi ya kukata na shoka Kikosi cha Yanga 1. Wallace Karia 2. Steven Mguto 3.Wilfred Kidau 4.Athman Nyamlani 5. Msafiri Mgoi 6 Karim Boimanda 7. Salum Madadi 8 Mangungu 9 Baraka Kizuguto 10 Almas Kasongo 11. Jemadari Said Waamuzi 1 Tatu Malogo 2 Kefa Kyombo 3 Japhet Smart 4 Abdallah...
  13. N

    Bodi ya ligi haitanii, yatoa ratiba ya derby ya Kariakoo. Sasa kupigwa Juni 15, 2025

    Bodi ha Ligi imetoa ratiba za viporo vilivyobaki, huku ikifanyia pia marekebisho ya tarehe kwa baadhi ya michezo. Jambo kubwa zaidi ni kuwa derby ya Kariakoo bado ipo palepale, itapigwa Juni 15, 2025, saa 11:00 Jioni uwanja wa Benjamin Mkapa. Hii inajiri masaa machache baada ya Klabu ya Yanga...
  14. M

    Summary ya Matukio na Maoni Yangu Kuhusu Derby ya Kariakoo

    Hii ni summary ya matukio yaliyojitokeza kuhusu Derby ya Kariakoo na Maoni yangu. Nagusia mambo muhimu tu, sitaorodhesha maoni sijui ya wachambuzi maana wengi wapo na bias: Inatangazwa tarehe ya Derby ya Kariakoo kama itachezwa tarehe 8 March Maandalizi yamepamba moto huku kila pande...
  15. LAPSE RATE

    Maoni yangu juu ya kuahirishwa kwa derby ya Kariakoo

    MAONI YANGU JUU YA KUAHIRISHWA KWA MECHI YA WATANI WA JADI KATI YA YANGA DHIDI YA SIMBA MAARUFU KAMA KARIAKOO DERBY YA TAR. 8/03/2025 Naanza kwa kuwasalimia wadau na wapenzi wa soka. Naomba nieleweke kwamba ninaandika makala hii nikiwa nimeweka ushabiki wangu pembeni. Iko hivi, yaliyotokea...
  16. Fundi mahiri wa Ujenzi

    SI KWELI Barua ya bodi ya ligi kuwaambia Simba mchezo upo kama kawaida, Kariakoo Derby Machi 8, 2025

    kuna ukweli juu ya hii taarifa au uzushi tu
  17. Waufukweni

    Tetesi: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF

    Wakuu Kama kweli adhabu ndio hizi una mtazamo gani? Kuna kitu kitapungua kwenye Soka la Bongo? Ikumbukwe, Mameneja hao wa Habari na Mawasiliano wa vilabu vya Simba Sc na Yanga Sc, Ahmed Ally na Ally Kamwe wote waliitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF)...
  18. Waufukweni

    Mzee Azim Dewji: Arajiga akichezesha najua Simba wataonewa

    Mdau mkubwa wa michezo nchini na Mwanachama wa Klabu ya Simba, Mzee Azim Dewji amefunguka kuhusu waamuzi ambao watachezesha Dabi ya Kariakoo. Wakati huo huo, kamati ya Waamuzi nchini inemtangaza Ahmed Arajiga kuwa ndio mwamuzi wa mchezo wa tarahe 8 pale Dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
  19. kavulata

    Derby ya Kariakoo TFF na Bodi ya ligi lindeni mali za uwanja kwa mchezo safi.

    Asikwambie mtu bhana, Simba na Yanga ndizo timu zinazoendesha biashara ya mpira nchini; hata timu nyingine na Dar na mikoani mapato yao yanazitegemea Simba na Yanga; wadhamini wooote wanadhamini mpira kwasababu ya Simba na Yanga. Hivyo, nisingeona ajabu kama mechi zoooote zinazozihusisha Simba...
  20. Just Pray

    Wachezaji wa kuchungwa kuelekea Derby ya Kariakoo, Yanga Vs Simba

    Derby ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba ni moja ya mechi kubwa zaidi nchini, ikijaa ushindani ndani ya uwanja na tambo kutoka kwa mashabiki wa timu hizo mbili za mtaa wa Kariakoo. Hapa ni nyota wa kutazama kwenye derby hii. Kibu Denis Tangu ajiunge na Simba, Kibu amekuwa mwiba hasa kwenye...
Back
Top Bottom