Vijana msishindane na serikali, mtulie, fanyeni kazi mule ugali na familia zenu
Siku ya maandamanlo ya tarehe 29 wengi waandamanaji walikuwa vibaka na wezi na ndl sababu wengi waliiibiwa
Sasa je,maandamano nikuaribu miundombinu? Ni kuiba maliza raia wenzenu?
Kwa wote waliouwawa bila hatia...