Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Ardhi Sports Club, leo Juni 20, 2026, imeendelea kung'ara katika CRDB Bank Bunge Grand Bonanza 2026 kwa kutwaa makombe mawili katika michezo ya kuvuta kamba na karata, ikionesha umahiri, mshikamano na ushindani wa hali ya juu.
Bonanza hilo...