congo

The Democratic Republic of the Congo (pronunciation French: République démocratique du Congo [kɔ̃ɡo]), also known as DR Congo, the DRC, DROC, Congo-Kinshasa, or simply the Congo, is a country located in Central Africa. It was formerly called Zaire (1971–1997). It is, by area, the largest country in sub-Saharan Africa, the second-largest in all of Africa (after Algeria), and the 11th-largest in the world. With a population of over 84 million, the Democratic Republic of the Congo is the most populous officially Francophone country, the fourth-most-populous country in Africa, and the 16th-most-populous country in the world. Eastern DR Congo has been the scene of ongoing military conflict in Kivu, since 2015.
Centred on the Congo Basin, the territory of the DRC was first inhabited by Central African foragers around 90,000 years ago and was reached by the Bantu expansion about 3,000 years ago. In the west, the Kingdom of Kongo ruled around the mouth of the Congo River from the 14th to 19th centuries. In the centre and east, the kingdoms of Luba and Lunda ruled from the 16th and 17th centuries to the 19th century.
In the 1870s, just before the onset of the Scramble for Africa, European exploration of the Congo Basin was carried out, first led by Henry Morton Stanley under the sponsorship of Leopold II of Belgium. Leopold formally acquired rights to the Congo territory at the Berlin Conference in 1885 and made the land his private property, naming it the Congo Free State. During the Free State, his colonial military unit, the Force Publique, forced the local population to produce rubber. From 1885 to 1908, millions of the Kongo people died as a consequence of disease and exploitation. In 1908, Belgium, despite initial reluctance, formally annexed the Free State, which became known as the Belgian Congo.
The Belgian Congo achieved independence on 30 June 1960 under the name Republic of the Congo. Congolese nationalist Patrice Lumumba was elected the first Prime Minister, while Joseph Kasa-Vubu became the first President. Conflict arose over the administration of the territory, which became known as the Congo Crisis. The provinces of Katanga, under Moïse Tshombe, and South Kasai attempted to secede. After Lumumba turned to the Soviet Union for assistance in the crisis, the U.S. and Belgium became wary and oversaw his removal from office by Kasa-Vubu on 5 September and ultimate execution by Belgian-led Katangese troops on 17 January 1961. On 25 November 1965, Army Chief of Staff Joseph-Désiré Mobutu, who later renamed himself Mobutu Sese Seko, officially came into power through a coup d'état. In 1971, he renamed the country Zaire. The country was run as a dictatorial one-party state, with his Popular Movement of the Revolution as the sole legal party. Mobutu's government received considerable support from the United States, due to its anti-communist stance during the Cold War. By the early 1990s, Mobutu's government began to weaken. Destabilisation in the east resulting from the 1994 Rwandan genocide and disenfranchisement among the eastern Banyamulenge (Congolese Tutsi) population led to a 1996 invasion led by Tutsi FPR-ruled Rwanda, which began the First Congo War.On 17 May 1997, Laurent-Désiré Kabila, a leader of Tutsi forces from the province of South Kivu, became President after Mobutu fled to Morocco, reverting the country's name to the Democratic Republic of the Congo. Tensions between President Kabila and the Rwandan and Tutsi presence in the country led to the Second Congo War from 1998 to 2003. Ultimately, nine African countries and around twenty armed groups became involved in the war, which resulted in the deaths of 5.4 million people. The two wars devastated the country. President Laurent-Désiré Kabila was assassinated by one of his bodyguards on 16 January 2001 and was succeeded eight days later as President by his son Joseph.
The Democratic Republic of the Congo is extremely rich in natural resources but has had political instability, a lack of infrastructure, issues with corruption and centuries of both commercial and colonial extraction and exploitation with little holistic development. Besides the capital Kinshasa, the two next largest cities Lubumbashi and Mbuji-Mayi are both mining communities. DR Congo's largest export is raw minerals, with China accepting over 50% of DRC's exports in 2012. In 2016, DR Congo's level of human development was ranked 176th out of 187 countries by the Human Development Index. As of 2018, around 600,000 Congolese have fled to neighbouring countries from conflicts in the centre and east of the DRC. Two million children risk starvation, and the fighting has displaced 4.5 million people. The sovereign state is a member of the United Nations, Non-Aligned Movement, African Union, and COMESA.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame: Umwagaji Damu nchini DR Congo hauihusu Rwanda

    Rais Paul Kagame amesema matatizo ya Congo hayakuundwa na Rwanda na si matatizo yao pia hawezi kuwajibika kwa matatizo yanayosababishwa na Wakongo wenye asili ya Rwanda wanaodai kunyimwa Haki zao kama raia. Kauli ya Kagame inakuja kukiwa na ongezeko la vifo na mwagaji damu katika maeneo...
  2. BARD AI

    JamiiForums Tanzania DR Congo: Mafuriko yaua watu 141 na kuharibu nyumba 38,000, Rais atangaza siku 3 za Maombolezo

    Taarifa ya Wizara ya Afya imesema hadi kufikia leo Desemba 14, 2022 imehesabu miili 141 na kuongeza kuwa idadi inaweza kuongezeka kadri utafutaji unavyoendelea. Zaidi ya nyumba 38,000 zimekumbwa na Mafuriko na nyingine 280 zikiporomoka jijini Kinshasa, eneo lenye Wakazi Milioni 15...
  3. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Mtoto wa Museveni Kainerugaba atema cheche kuhusu Rwanda na DR Congo. Afrika Mashariki wanyamaza

    Kipindi flani hawa Rwanda na Uganda wasingetamba hivi. Mimi nawaonea huruma sana DR Congo. Hawa miaka mingi wanachezewa. Toka miaka ile na wakoloni na sasa Waafrika wenyewe kwa wenyewe. Tena wa hapahapa East Africa. Hapana kwa kweli. Ningekuwa na uwezo ningewasaidia Congo. Hawa wapuuzi...
  4. Akilihuru

    JamiiForums Tanzania M23 yatuma salam za uimara wake kwa vikosi vya KDF na FDNB vilivyopelekwa Congo kuthubutu kuwapokonya silaha

    Za asubuhi wakubwa, weekend inaendeleaje? Leo nawaletea muendelezo wa kile kinachojiri huko Congo katika oparation ya jeshi la kanda yetu hii ya EAC. Oparation hii mahsusi imebuniwa kwa lengo la kuwapokonya silaha waasi wote waliopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ila walengwa haswa wa...
  5. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Serikali ya DR Congo yamuonya Kagame kumuongelea vibaya Rais Tshisekedi

    Msemaji wa Serikali Patrick Muyaya amesema Rais Paul Kagame ana lengo la kumdhoofisha Rais Tshisekedi kwenye Uchaguzi ili aendelee kufanya uporaji wa madini kwenye maeneo yenye migogoro Muyaya amesema Kagame hana sifa ya kuongelea masuala ya Utawala Bora kwa kuwa kwenye suala la Demokrasia...
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame: Naunga mkono amani ya Congo DR, ila Rwanda ikichokozwa itajibu mapigo na watajuta kuifahamu

    "Nimeshiriki mazungumzo ya amani ya Congo DR na hata kushauri mambo mema ila nasikitika mwenzangu hataki kuwajibika kwa upande wake." "Wanasema Rwanda inaipiga Congo DR ila hawasemi wala hawaoni jinsi Congo DR inavyoivamia mara kwa mara Rwanda." "Napenda mno amani na sipendi machafuko kwani...
  7. IamBrianLeeSnr

    JamiiForums Tanzania Mzozo wa DRC: Matumaini mapya baada ya mazungumzo ya Amani ya DR Congo kuanza nchini Kenya

    Rais wa Kenya William Ruto (aliyekaa kushoto), Evariste Ndayishimiye wa Burundi (katikati) na rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta (kulia), pamoja na mjumbe maalum wa umoja wa mataifa katika mziwa makuu Huang Xia (wa 3 kutoka kulia kwa waliosimama) Nairobi Kenya Nov 29, 2022 Rais wa Rwanda Paul...
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa M23: Hatujashirikishwa katika Mazungumzo ya Amani Nairobi hivyo Kipigo kitaendelea huko Congo DR

    "Hii ni mara ya Pili M23 tunabaguliwa na hatushirikishwi katika Mazungumzo ya kutafuta Amani ya Kwetu Congo DR kama haya ya Leo Nairobi Kenya hivyo nasi tutaendelea Kuwapambania Wakongo kwa Kupambana na Utawala wa Rais Tshisekedi ambao ni wa Kibaguzi hasa kwa Wakongo tutokao Mashariki" Wille...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mataifa mengine EAC mnaojiandaa kupeleka Wanajeshi wenu Congo DR hakikisheni wanagawa Urithi kabisa

    Waasi wa M23 hawana Masihara kabisa hivyo GENTAMYCINE nawaonya mapema msije Kukurupuka nanyi Kuwaiga Wakenya waliopeleka Wanajeshi ( Askari ) Wao 901 na Kukurupuka kupeleka Wenu kwani kwa Uhodari wa Waasi wa M23 kuna uwezekano nanyi mkipeleka wenu 500 watakaorejea Hai ni Wawili ( 2 ) au hata...
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kabla ya 'Bwege Nation' nanyi kuwapeleka Wenu Congo DR, waulizeni wa Kenya kinawakuta nini huko sasa kwa M23

    Wanajeshi wa Kenya waliosakiziwa na Rais wao Mgeni Madarakani kuwa waende Kuungana na Jeshi Bovu na Goi Goi la Congo DR ili Wapambane na Waasi wenye Akili Kubwa za Kitutsi wa M23 sasa Wanajuta kwanini walikurupuka kwenda huko kutokana na Kipigo Kitakatifu wanachokipata. Nichukue Fursa hii...
  11. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya kutumia Tsh. Bilioni 86.1 kupeleka wanajeshi DR Congo

    Bunge la Kenya limepitisha kiasi hicho cha fedha kwa Wanajeshi 1,000 kuelekea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ikiwa ni bajeti ya miezi 6. Imeelezwa ruhusa hiyo ya Dola Milioni 37 imetolewa siku mbili baada ya Waziri wa Ulinzi, Aden Duale kukutana na Kamati ya Ulinzi ya Bunge. Fedha hizo...
  12. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Rwanda Wailaani DR Congo kwa ndege yao ya kivita kutua Rwanda

    Wataalam wa mambo hii siyo 'act of aggression' kweli? Katika wakati mgumu kama huu unarusha ndege ya kijeshi, sio ya kiraia. Au ndiyo Congo wameamua kutokuwa wanyonge tena? Pia sidhani kama Kagame atakubali huu utoto. Bila shaka ndiyo kipenga kimepulizwa hivyo. #BREAKING: Rwanda says a fighter...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Nani ndio super power wa ukweli ukanda wa maziwa makuu kudhibiti mikwara ya Rwanda na Congo

    Siku zote panapofuka moshi ujue kuna moto hivyo kila jambo linalotokea huwa halikosi sababu. Kenya ameonekana kujiandaa kupekeka mamia ya wanajeshi Congo baada ya waasi kupata nguvu mashariki ya Congo na kukua kwa uhasama kati ya congo na Rwanda. Ikumbukwe mwaka 2013 Tanzania alipeleka...
  14. kavulata

    JamiiForums Tanzania Ukraine kama Rwanda na Urusi kama DR Congo

    Nchi za Magharibi na Marekani ziko nyuma ya migogoro ya Ukraine na DR Congo. Nchi hizi zinaisaidia Ukraine kuishambulia Urusi na Rwanda kuishambulia DR Congo kwa maslahi yao. Migogoro duniani haitakwisha hadi hapo nchi zinazoendelea zitakapopata ujasiri wa kususia misaada na mikopo kutoka nchi...
  15. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Wacongo wangejitambua tangu wakati wa Lumumba wangefika mbali sana

    Hawa Wacongo wangejitambua enzi za Lumumba wakifanikiwa sana wameamua kutumia nguvu ya umma kuungana na kuandamana kuutangazia ulimwengu kwamba wanaibiwa madini yao mwizi wanamfahamu ,na bahati nzuri mwizi anajulikana. Nawatakia kila kheri kwenye MAPINDUZI .
  16. T

    JamiiForums Tanzania Rwanda yatuma majeshi yake mpakani na nchi ya DRC Congo, yasema iko tayari kwa vita!

    Rwanda imetuma wanajeshi kwenye mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, saa chache baada ya DRC kumfukuza balozi wa Rwanda kwa madai ya DRC kwamba serikali ya rais Paul Kagame inawaunga mkono waasi wa M23. Msemaji wa serikali ya Rwanda, Alain Mukurarinda amesema kwamba “wakiamua...
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Tanzania mnasema Rwanda inapora Mali za Congo DR mbona hamzionyi pia France na Belgium wanaopora 24/7 huko?

    Kwa huu Unafiki Wenu, Wivu na Chuki Kubwa dhidi ya Rwanda Taifa lenu japo kuwa ni Kongwe ila hadi leo Umeme ni wa Shida, Maji ya taabu japo mna Mito mingi na Maziwa mengi, Elimu yenu ikiwa ICU kwa sasa na Mwezi huu Utafiti umeonyesha pia kuwa Watanzania Milioni Saba (7) wana Ugonjwa wa Akili...
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwa Mzozo huu wa Congo DR na Rwanda nani ananibishia kuwa EAC haiendi kufa na Wazungu kufurahia?

    Tayari Tanzania, Burundi na Nusu ya Wakenya wanaisapoti Congo DR huku pia Uganda na Nusu ya Wakenya wakiisapoti Rwanda. Wazungu ambao Siku zote hawataki Kuiona Jumuiya hii ya Afrika Mashariki ikistawi wamefanikiwa Kutugombanisha na kwa Uzuzu wa Wanaogombanishwa wamekubali Kuingia katika huu...
  19. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania DRC: Balozi wa Rwanda apewa saa 48 za kuondoka Nchini humo

    Balozi Vincent Karega ameamriwa kuondoka Nchini ndani ya saa 48 kutokana na tuhuma za mara kwa mara za Rwanda kuunga mkono Waasi wa #M23, madai ambayo Rwanda imekuwa ikikanusha mara kwa mara Uamuzi wa kumfukuza Karega unatarajiwa kuzua zaidi mvutano kati ya Nchi hizo Mbili ambazo uhusiano wao...
  20. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Congo DR: Watu 11 wafariki kwa kukanyagana kwenye tamasha la Fally Ipupa

    Waziri wa Mambo ya Ndani nchini humo amesema mkanyagano ulisababisha vifo vya watazamaji tisa na maafisa wawili wa polisi wakati wa tamasha lhilo kwenye uwanja mkubwa zaidi wa michezo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Watu wengi sana walikuwa wameruhusiwa kuingia katika...
Back
Top Bottom