cia

The Central Intelligence Agency (CIA) is a civilian foreign intelligence service of the federal government of the United States, tasked with gathering, processing, and analyzing national security information from around the world, primarily through the use of human intelligence (HUMINT). As one of the principal members of the United States Intelligence Community (IC), the CIA reports to the Director of National Intelligence and is primarily focused on providing intelligence for the President and Cabinet of the United States.
Unlike the Federal Bureau of Investigation (FBI), which is a domestic security service, the CIA has no law enforcement function and is mainly focused on overseas intelligence gathering, with only limited domestic intelligence collection. Though it is not the only agency of the Federal government of the United States specializing in HUMINT, the CIA serves as the national manager for coordination of HUMINT activities across the U.S. intelligence community. Moreover, the CIA is the only agency authorized by law to carry out and oversee covert action at the behest of the President. It exerts foreign political influence through its tactical divisions, such as the Special Activities Center.Before the Intelligence Reform and Terrorism Prevention Act of 2004, the CIA Director concurrently served as the head of the Intelligence Community; today, the CIA is organized under the Director of National Intelligence (DNI). Despite transferring some of its powers to the DNI, the CIA has grown in size as a result of the September 11 attacks. In 2013, The Washington Post reported that in the fiscal year 2010, the CIA had the largest budget of all IC agencies, exceeding previous estimates.The CIA has increasingly expanded its role, including covert paramilitary operations. One of its largest divisions, the Information Operations Center (IOC), has shifted focus from counter-terrorism to offensive cyber-operations.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyani Ngabu

    Kumbe ilikuwa ni CIA waliofanya ujasusi dhidi ya Ayatollah na wenzake!

    https://youtu.be/OGPcWKBWiz0?si=LN83QgAZlt2Zufl6 Kama nilivyokuwa nahisi, kazi ya ujasusi dhidi ya Ayatollah ilifanywa na CIA ya USA. CIA kumbe walikuwa wanamfuatilia kwa kipindi kirefu tu ili kuijua mienendo yake. Na ni CIA hao hao ndo waliowapenyezea IDF taarifa za kwamba Bw. Ayatollah...
  2. mcTobby

    TANZIA Aldrich Ames, Jasusi wa CIA afariki dunia akiwa na miaka 84

    Aldrich Ames, aliyekuwa afisa wa CIA kitengo cha counterintelligence afariki akiwa na miaka 84. Huyu bwana alikamatwa na makachero wa FBI mwaka 1994 kwa tuhuma za kuuza siri za shirika la CIA kwa KGB kama double agent na kujipatia mamilioni ya dola... Alihukumiwa kifungo cha maisha jela...
  3. mngony

    Je, Makamu wa Rais wa Venezuela ndiye mtu wa ndani mshirika wa CIA aliyeisaidia Marekani kumkamata Maduro?

    Kufuatia Operesheni ya kumkamata Rais Maduro, Serikali ya Marekni ilitoa taarifa kuwa mtu wa ndani ya Serikali ya Venezuela na mshirika wa CIA alisaidia kuwezesha kujua mienendo ya Rais Maduro na kufanikisha kukamatwa kwake. Ikumbukwe Rais Trump, alitamka kuwa Makamu wa Rais wa Venezuelea Delcy...
  4. Richard

    Marekani yajiandaa kuishambulia Colombia ili kumchukua Rais Gustavo Petro, majasusi wa CIA tayari wapo kwenye miji ya Bogota na Cucuta

    Raisi Donald Trump amesema Marekani ni lazima iwe na uhakika wa usalama wake pale tu endapo eneo lake la Marekani ya Kusini ( Western Hemisphere) litakuwa salama na tulivu. Rais Trump amesema rais wa Colombia Gustavo Petro ni mgonjwa na kwa muda sasa rais Petro amekuwa chini ya vikwazo kadhaa...
  5. I

    Kwa CIA, usalama ni kwa ajili ya nchi. Si kwa ajili ya chama fulani

    Tunapoanza mwaka 2026 na kusherehekea miaka 250 ya Taifa letu, CIA inaendelea kujitolea kikamilifu kuunga mkono vipaumbele na misingi ya usalama wa taifa wa Marekani. Kila siku—kwa ari na dhamira ileile ya waliotutangulia—maafisa wetu hutumia uwezo wa kipekee kukusanya, kuchambua, kutathmini na...
  6. Mikopo Consultant

    Post ya CIA imenifikirisha: Wamelisifia Ziwa Malawi (Ziwa Nyasa) pasipo kuitaja Tanzania!

    Wakati wenye mamlaka wakiwa busy kuponya majeraha ya MO29, kwa kuyakanusha na kupindua taarifa za ukweli; wenye dunia yao huko duniani, hawachoki kuitafiti dunia na ku shape geopolitics kulingana na taarifa sahihi za kiuchunguzi. Jana niliingia Instagram, kwenye post ya CIA, nikakuta wameweka...
  7. mcTobby

    Frank Olson: Afisa wa CIA aliyekufa baada ya kuonjeshwa sumu yake Mwenyewe

    Wakati vita baridi ikianza kupamba moto miaka ile ya 1950s na 1960s, shirika la kijasusi la CIA lilianzisha program kadhaa zilizohusisha utengenezaji wa silaha za kibayolojia au tuseme silaha za sumu. Silaha hizi za sumu zilijumuisha utengenezaji na utumiaji wa kemikali za kudhibiti akili za...
  8. mcTobby

    Mfahamu Robert Ames. Afisa wa CIA aliyewakutanisha Yitzhak rabin P.M wa Israeli na Yasser Arafat wa palestina

    Ilikuwa ni siku ya jumatatu ya mwezi wa 9 mwaka 1983. Siku ambayo anga lilikuwa angavu na bluu ikimaanisha hali ya joto kiasi ndani ya makao makuu ya nchi ya marekani Washington d.c. Hakika siku na tarehe hii ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa na watu wengi na sio tu wamarekani bali...
  9. Mende mdudu

    Makachero wa jf tukutane hapa. Je Rusia kua na taarifa za mashambulizi ya marekani uko Iran. Ni kudorola kwa ufanisi wa FBI na CIA?

    Bila kubeza ubora wa idara za ki usalama za Rusia toka kipindi cha Coldwar, ikasemekana KGB ndo shirika tishio kwa intelengnce kwa kipindi icho ikafatiwa na wana wa malkia MI6 , CIA walikua wanapata taarifa kutoka kwao, na japo kwa ishikiano wote ila bado walikua wana salimu amri kwa ubora wa...
  10. 6 Pack

    Jinsi CIA na USA walivyoihujumu Israel na Netanyahu

    Niaje waungwana Kilichotokea Middle East kati ya Iran na Israel, ni kama vile kitu kilikuwa kimepangwa, au kuandaliwa muda mrefu na serikali ya Marekani kwa kushirikiana na shirika lao la kijasusi la CIA. 1. Kwanza tukumbuke kuwa raisi Trump ni mtu asiependa kuona Marekani ikiendelea kufanywa...
  11. Mi mi

    Rais Trump akutana na gaidi aliyekuwa akitafutwa kwa udi na uvumba na CIA

    CIA iliweka mezani kiasi cha fedha za kimarekani $10 million kwa yoyote atakaye mpata Muhammad Al-Jawlani https://x.com/USEmbassySyria/status/864144602584035328?t=jV1xFNQFpYt4svya5WAz6w&s=19 Leo hii Rais wa marekani kakutana na gaidi la magaidi lililokuwa linatafutwa tutegemee Trump kulamba...
  12. Lord Denning

    Manipulation: Mbinu iliyotumika na CIA kukichukua kisiwa huko Ufilipino na Sakata la Sumu Ofisi za Chadema huko Mbeya.

    Kuelekea Vita kuu ya Pili ya Dunia Marekani alikuwa na uhitaji mkubwa sana wa visiwa katika Bara la Asia kwa ajili ya kujenga Kambi zake za kijeshi.Moja ya maeneo yaliyotambuliwa na Marekani ni visiwa vilivyopo karibu na Nchi ya Ufilipino. Pamoja na kutumia mbinu zote kuwashawishi wakazi wa...
  13. mcTobby

    Mfahamu Dimitri Polyakov, MOLE wa CIA ndani ya KGB aliyechomeshwa na Afisa wa CIA Aldrich Ames

    Ngoja nikupe mfano kwa kitu nachotaka ku share nawe hapa. Chukulia wewe ni mfanyakazi ambaye tuseme ni msaidizi wa CEO wa kampuni ya AB. Kila kitu kuhusu AB ,mipango ,waajiri pamoja na shughuli zote(safi na chafu) unazijua. Ikatokea kwamba kampuni ya AB unayoifanyia kazi imeajiri kwa siri watu...
  14. Meja Jenerali Isamuhyo

    Baada ya mafile ya Kifo cha JFK kuwekwa wazi kwa Umma, Israel ilishirikiana na CIA kumuua JFK

    March 18, 2025 ndio siku rasmi ambapo Documents zote za siri kuhusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy ziliwekwa wazi. Hiyo ni baada ya takribani miaka 52 baaada ya kifo chake. Ikumbukwe John F. Kennedy aliuwawa November 22 Mwaka 1963. Mafile zaidi ya 2,000 yanayohusu kifo...
  15. Kinyungu

    CIA: Vituo vya Siri vya Operesheni za CIA Vilivyosambaa Duniani Vyatajwa kwenye Mafile ya JFK Yaliyowekwa Hadharani na Trump

    Nyaraka muhimu zinazohusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Marekani John F. Kennedy ambazo Rais Trump ameruhusu ziwekwe hadharani zimetaja kwa kina Miji ambayo CIA wana vituo vya kuendeshea operesheni zao duniani. Miongoni mwa miji iliyotajwa kuwa na vituo hivyo kipo Nairobi nchini Kenya. Miji...
  16. Yoda

    Tetesi: Trump anataka kufukuza wafanyakazi wote wa CIA ili aajiri upya!

    Huko Marekani Trump anataka wafanyakazi wote wa shirika la ujasusi la Marekani(CIA) waondoke atawalipa miezi 8 bure ili aajiri upya, wengi wanasema anataka kuajiri watu MAGA tu katika serikali nzima katika taasisi zote! Marekani imeharibika sana, imekuwa kama kinyago cha mpapure.
  17. Mi mi

    CIA walitumia wa Uyghurs kuiharibu China na kumuondosha Assad Kanali wa US anatoa siri

    Huyu kanali wa US anatoa siri kuwa US kupitia CIA waliwatumia wa Uyghurs katika jimbo la Xinjiang ili kuiharibu China kwa ndani utokee mvurugano ili waweze kuidhibiti China. Pia anasema wanatumia military power kuharibu mpango wa China wa B.R.I pia kagusia suala la US kupeleka majeshi...
  18. J

    Yeriko Nyerere: CIA waliamini Mtu aliyepaswa kukabidhiwa Nchi ya Tanganyika baada ya Wakoloni Waingereza kuondoka ni Mangi Thomas Mariale!

    Taarifa za siri za CIA za miaka ya 1953 zinaonyesha kwamba shirika hilo liliamini kwamba baada ya Wakoloni Waingereza kuondoka Tanganyika, mtu aliyepaswa kukabidhiwa nchi alikuwa ni kiongozi wa Wachaga Thomas Mariale. (Soma kielelezo cha nyaraka hiyo chini ya CIA)Lakini katika nyaraka za...
  19. Jidu La Mabambasi

    HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

    Rais Tinubu wa Nigeria ni jasusi la CIA. Kanunuliwa, yuko mfukoni. Nimesikitika, nimeshangaa, nikakasirika, halafu nikaisikitikia Mama Afika. Sikiliza na uone tulivyo bado watumwa.
Back
Top Bottom