chuoni

Chuoni Football Club abbreviated as Chuoni FC is a Premier League football club in Zanzibar based in Unguja Island.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    KERO SUA kuna wanafunzi hasa wa 1st year wanateseka sana. Mpaka sasa hawajapata pesa ya kujikimu

    Hapa chuoni Sua Kuna wanafunzi hasa wa first year wanateseka sanaa mpaka sasa hawapata pesa ya kujikimu huku loan officer akiwaambia wawe watulivu watapata pesa.
  2. F

    Binadamu unapataje GPA below 4.8 chuoni?

    Binadamu wa kawaida unapataje GPA below 4.8 we ni binadamu wa kawaida? Hivi mniambie binadamu hasa unapata GPA below 4.8 wewe utakuwa binadamu au mnyama sasa unatofuti gani na kuku ambae wanasema Hana akili? Serikali ipige marufuku kuwaajiri hawa watu wanaleta ufanisi mdogo serikali nyie ndiyo...
  3. M

    Hivi inakuaje mwanaume mzima unapata GPA below 4.5 chuoni?

    Hivi sometimes najiuliza hawa watu wanaopata GPA below 4.5 ni binadamu wa kweli hawa?how binadamu aliyekamilika anapata GPA below 4.5 kwamba huko chuo mlienda kufanya nini? Au mlienda kuuza sura ama nini? Utakuta mwanaume mzima anajiita mwanaume kamili anatembea kabisa barabarani na kutongoza...
  4. ngara23

    Nipeni mbinu za kuaga wazazi kwenda kufanya SUP chuoni

    Niko njia panda naagaje kwenda kusapua course 1 ilinikamata na wazazi wanakuja fika vyuo vikuu vinafunguliwa mwezi 10 Sasa Mimi nasapua mwanzoni wezi wa 9 Nimebuni mbinu hizi ila wapi? 1.Tumeitwa na mama Samia anataka kuongea na sisi baadhi ya wana chuo 2. Nawahi kufatilia masuala ya mikopo...
  5. I

    ushauri wa kozi za chuoni

    Wakuu nimefanikiwa kuhitimu kidato cha sita mwaka huu PCM nikiwa na BBA naombeni mawazo mazuri kuhusu kozi kwangu mm napendelea electrical engineering
  6. Luca Paguro

    Nisome nini chuoni mwaka huu 2025?

    Wakuu mimi ni mkazi wa Lindi nimesoma PCM shule moja uboizini huko Mbeya na nimemaliza mtihani wa taifa siku chache tu zilizopita. Hapa bado nawaza niende JKT au nipumzike home hii miezi kadhaa Kwa nilivyofanya mtihani najua nitapata Division 1 ya point 6 hadi 8. Sasa kuna Jambo linanitatiza...
  7. Munch wa Annabelle

    Utasikia unaweza kuwa na GPA kubwa chuoni lakini kichwani hauna kitu, lakini huwezi sikia GPA ndogo ni wengi hawana kitu kichwani

    Hvi hii mentality ya kudharau GPA ni Duniani kote au hapa Tanzania kuhalalisha ujinga wa kundi Fulani, maana maneno Yao mengi utaskia GPA za ngono sjui rushwa sjui vyuo vya kata Tena anasema GPA ya 2.5 UDSM ni sawa na GPA ya 4.0 chuo Fulani hivi huyu mtu anaakili timamu kweli? Hatukatai rushwa...
  8. Foffana

    Kesi ya Incomplete chuoni natoboaje wakuu

    Habari za asubuhi wakuu I hope mnaendelea vyema na Ujenzi wa Taifa letu Kuna jambo moja naliwasilisha kwenu ili kupata mawazo yenu na ushauri wenu wakubwa zangu kuhusiana na suala hili linalonisibu.Nina imani nitapata msaada humu jukwaani Kama ilivyo ada masuala ya chuoni kuna changamoto...
  9. Lugano Edom

    Mwanachuo usomapo usisahau kutafuta connection kutoka nje

    NDUGU Mwana CHUO* Usomapo Usisahau kutafuta connection kutoka nje. Ili ujue Baada ya kumaliza chuo utafanya kazi gani. Chuo kuna TIMETABLE LAKINI Haijasema uwe Unaenda chuo kila Dakika. Au Haina Maana uwepo chuo asubuhi Mpaka Jioni. *Ule muda wa free ndio muda wa kujitafuta na Kufanya mambo ya...
  10. Mr Beach Boy

    Niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza, mbona siwaoni?

    Nikiwa O Level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza Mbona huku chuo siwaoni? AU wanakuwa wapi? Mbona kila nikitongoza nakataliwa? Mbona mademu wanapenda Hela?
  11. P

    Masomo yangu chuoni

    Habari ndugu zangu, Naitwa Paschal, nipo Dar es Salaam, Kigamboni. Nimekumbana na changamoto ya kimatokeo, kwani inatakiwa niingie mwaka wa tatu katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere. Hata hivyo, naona kuna uwezekano mkubwa wa kushindwa kuendelea kutokana na somo moja la semester ya...
  12. E

    Tatizo la kushindwa kupata Msimbo kutoka NACTE ili kusajiliwa chuoni, tusaidieni jinsi ya kutatua changamoto kama hii

    TATIZO LA WANAFUNZI WA DIPLOMA WALIOENDA KULIPOTI MWAKA WA KWANZA LAKINI WAKAPATA CHANGAMOTO YA KUPATA MSIMBO ILI KUSAJILIWA CHUONI MNATUSAIDIAJE WAKUBWA ZETU
  13. Lugano Edom

    Huwa mnawakanya mambo muhimu ya kuzingatia huko vyuoni?

    Oya wana Jamiiforums hivi hawa madogo kabla ya kwenda Chuo Kuenjoy na bata sijui Boom. Hivi huwa mnawakanya mambo muhimu ya kuzingatia huko vyuoni.... ✍️
  14. M

    Je ngazi ya certificate chuoni kuna muda ina expire.?

    Habar wakuu! Naomba kuuliza je latesay ulimaliza certificate miaka mi5 au 6 iliyopita nasasa unataka kuendelea na diploma je inawezekana kuendelea kupitia hiyo certificate yako au nilazima uanze upya ngazi ya cheti?? Kuna mtu ameniambia chet chako kikizidi miaka mitatu huwez kuendelea nacho...
  15. One yes

    Naomba msaada wa ufadhili wa masomo chuoni kwa wenye uwezo binafsi au taasisi

    Habari wakuu!! Naomba msaada wa masomo kwa atakae guswa au anae fahamu shirika lolote linalotoa msaada kwa ngazi ya diploma. Nitangulize shukrani zangu za dhati kwa wana JF kwa wale wote watakao changa michango yao. Me ni kijana mwenye umri wa miaka 19,niliitimu kidato cha nne mwaka jana...
  16. Kson Investment

    Vitu vya kuepuka chuoni

    Ni vitu gani vinakwamisha kitabu kusonga mbele ukiwa chuo kikuu mfano UDOM?
  17. A

    KERO Tuliambiwa tufike Chuoni St. Francis kwa gharama zetu sababu mitihani tuliofanya imepotea kwa ahadi ya kuwa refunded, sasa wanagoma kutulipa

    Naomba niwasilishe changamoto zetu kwa mamlaka husika kupitia nyie ili tupate ufafanuzi wa kulipwa gharama tunazowadai chuo. Wanafunzi wa Chuo cha Udaktari St. Francis (Morogoro, Ifakara) tulipokea taarifa ya kuitwa chuoni siku ya jumatatu bila kukosa wakati tupo likizo bila kuambiwa sababu ya...
  18. G

    Binamu yangu ana matatizo? Baada ya kusoma mwaka wa kwanza chuoni akiwa kwangu nimemwacha huru aishi gheto lakini nasikia hakuna binti kawahi kuvusha

    Ni mwaka jana huyu binamu yangu alianza degree alikuwa anaishi kwangu kwasababu ni karibu na chuo pia alikuwa mgeni kwenye mkoa. Niliona namnyima uhuru wa maisha yake ya kimapenzi maana chuoni ndiko wengi tuli experience mapenzi kwa uhuru, nikamruhusu aende kupanga awe na gheto lake, uzuri ni...
  19. M

    Nauza (Tshirt printing machine), inamfaa sana kijana aliyopo chuo. ni Biashara nzuri ya kufanywa na kijana chuoni.

    habari vijana. nauza brand new machine ya kuprint tshirts fasta fasta. bei ni laki nane tu ( 800,000/=) manufacture anaitwa ADKINS. ukihitaji piga namba 0616 577 289 mashine ipo kimanga Dar es salaam, ni brand new haijawai tumika. kwa kijana uliyopo mazingira ya chuo itakusaidia sana...
Back
Top Bottom