Salamu,wadau!
Nina umri zaidi ya miaka 45, sina cheti cha kuzaliwa.
Nahitaji kitambulisho hicho kwa dharura ili niweze kuomba passport.
Nina kitambulisho cha taifa (National ID), kitambulisho cha kazi, na TIN Number.
Je, nifanyeje kupata cheti cha kuzaliwa?