Waswahili walisema, ukila na kipofu usimguse mkono.
Kwa kauli za waZanzibari, wengine mawaziri , za hivi karibuni, sasa Bunge limewaka.
Mbunge Waitara kutoka Mara amemtaka mbunge wa Zanzibar, Simai aliyetoa matamshi kuwa kuna Msaliti Yuda ndani ya Serikali ya Samia, mbunge Waitara amemuonya...