Sisi CHADEMA ,tunamtaka Mabadiliko , hatutaki mbeleko, tunataka tushinde Kwa Haki na tushindwe Kwa Haki.!!.
Hivi ACT Wazalendo, SAU, TADEA, ADC, AFP, DP, UPDP, UDP, NCCR? ina maana nyinyi mnaona sawa Wenzenu CHAUMMA wapewe Magari, Helkopita, Fedha, Wasanii ?
Kwanini na nyinyi msidai hayo tena...