Niende moja kwa moja katika mada,napenda kuchukua fursa hii,Kwa kuwapongeza viongozi wandamiz wa CHADEMA,Kwa kuwafukuza wasaliti wote wa chama,
Ni Bora wabaki wachache waliosafi kuliko kubaki wengi mbao sio wasafi, unapotaka kufanya mageuzi msisikilize,inzi,mende,vyura Wala sisimizi,tumia dawa...